Katuni ya Leo

Katuni ya Leo

Ilulu

Senior Member
Joined
Mar 22, 2008
Posts
161
Reaction score
31
KATUNI(361).jpg

Hakika suala la ruzuku ni balaa!!!!
 
Safari hii CCM kikidhania ya kwamba Dowans nayo ni kuku laini basi ndio wasubiri kuingiza sumu midomoni mwao wenyewe.
 
laiti wote tungelijua nguvu iliyo kenye katuni kwenye suala la kurahisisha uelewa, basi wachora katuni wetu pia wengeletewa 'mwalimu' kutoka nje kama raisi alivyofanya kwa maximo, riadha na netiboli. ...au liko kwenye mpano???
 
laiti wote tungelijua nguvu iliyo kenye katuni kwenye suala la kurahisisha uelewa, basi wachora katuni wetu pia wengeletewa 'mwalimu' kutoka nje kama raisi alivyofanya kwa maximo, riadha na netiboli. ...au liko kwenye mpano???

Mbona hakuna gumu hapo? Makamba alikuwa natarajia kuku mzima (JK 80.3%) kaambulia kipapatio (JK 61%)....
 
Back
Top Bottom