Sammo Hung
JF-Expert Member
- Aug 4, 2017
- 1,151
- 1,321
Masoud Kipanya ni miongoni mwa wachoraji katuni wanaofanya kazi nzuri hapa nchini kwetu, katuni ya Kipanya imetokea kuwavutia wengi kutokana na jinsi inavyoelimisha, kuburudisha, kuchekesha na hata kufikirisha.
Nimekuwa nikifuatilia katuni ya Kipanya kwa muda mrefu ila nilichogundua ni kuwa Masoud ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana wa kufikiri na kudadavua mambo na ndio maana katuni yake imeweza kupata mashiko na kupendwa miongoni mwa jamii.
Uzi huu ni maalum kwaajili ya kuweka katuni ya Kipanya ambayo uliipenda na kama kuna ambayo uliiona na hukuielewa basi iweke hapa wadau wakusaidie kuitolea maana.
NB: Weka katuni ya muda wowote hata kama sio ya mwaka huu.
Huu utabiri wa hali ya hewa ulitimia.. [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuwa nikifuatilia katuni ya Kipanya kwa muda mrefu ila nilichogundua ni kuwa Masoud ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana wa kufikiri na kudadavua mambo na ndio maana katuni yake imeweza kupata mashiko na kupendwa miongoni mwa jamii.
Uzi huu ni maalum kwaajili ya kuweka katuni ya Kipanya ambayo uliipenda na kama kuna ambayo uliiona na hukuielewa basi iweke hapa wadau wakusaidie kuitolea maana.
NB: Weka katuni ya muda wowote hata kama sio ya mwaka huu.
Huu utabiri wa hali ya hewa ulitimia.. [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app