Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado sijapata jibu sahihi kuhusu huu mchoro!Imekaaje hii wakuu
MEK_TZView attachment 1959827
Mwizi huyu hana elimu, hana watu serilikalini wala si kada wa chama vipi atafufuka aje apenye awe fisadi namba moya kisha ahonge Takukuru, maafisa kwenye idara ya usalama na huko Kwa pilato? We unamuona si rahisi kiasi hichoAngalia katuni hiyo hapo chini Mimi sijaichora ila kama wewe ni mdokozi wa nyama nyumbani kwa mama yako, Mwizi uko mtaani, JAMBAZI unapanga kwenda kuiba Benki tafadhali EPUKA kuchomwa na taili pitia hapa upate njia ya kuiba na kula Bata.View attachment 2374391
Kuna jambazi kauwawa sengerema?Angalia katuni hiyo hapo chini Mimi sijaichora ila kama wewe ni mdokozi wa nyama nyumbani kwa mama yako, Mwizi uko mtaani, JAMBAZI unapanga kwenda kuiba Benki tafadhali EPUKA kuchomwa na taili pitia hapa upate njia ya kuiba na kula Bata.
View attachment 2374391