Katuni za Masoud Kipanya (Special thread)

Katuni za Masoud Kipanya (Special thread)

Screenshot_20211108-080952_Instagram.jpg
 
1644571997544.png


Mnyororo - sheria zilizowekwa kwa mujibu wa katiba yao

Polisi - TZ vyombo vya dola vipo juu ya sheria Watu - TZ Raia wote wapo chini ya sheria

Macho ya polisi yapo kwa CHADEMA

NB; mtoto aliyevaa vidoti vya zambarau na kofia ya kijani ni ACT Wazalendo wamebeba agenda za CCM

Chanzo bofya spoiler
 
Angalia katuni hiyo hapo chini Mimi sijaichora ila kama wewe ni mdokozi wa nyama nyumbani kwa mama yako, Mwizi uko mtaani, JAMBAZI unapanga kwenda kuiba Benki tafadhali EPUKA kuchomwa na taili pitia hapa upate njia ya kuiba na kula Bata.View attachment 2374391
Mwizi huyu hana elimu, hana watu serilikalini wala si kada wa chama vipi atafufuka aje apenye awe fisadi namba moya kisha ahonge Takukuru, maafisa kwenye idara ya usalama na huko Kwa pilato? We unamuona si rahisi kiasi hicho
 
Angalia katuni hiyo hapo chini Mimi sijaichora ila kama wewe ni mdokozi wa nyama nyumbani kwa mama yako, Mwizi uko mtaani, JAMBAZI unapanga kwenda kuiba Benki tafadhali EPUKA kuchomwa na taili pitia hapa upate njia ya kuiba na kula Bata.

View attachment 2374391
Kuna jambazi kauwawa sengerema?
 
Back
Top Bottom