[emoji23] wana dhambi sana hawa watu, na most of the times akili zao hua zinakuwa kama za wanafunzi au much worseZingine zina ukweli kabisa, kama ile ya 5 mwalimu wetu alikuwa anapenda kuisema sana tukimkosea huku akifoka
Kauli zao zinachoma sana aisee zikiwa na ukweli mtupu01. Kila mtu kaja na begi lake, ataondoka na begi lake.
02.Kenge nyie, kazi tu kubinua visketi.
03. Ungebaki tu huko nyumbani uwalee wadogo zako/uolewe[emoji23].
04. Kuna wengine hapa wanawasindikiza tu wenzao.
05. Katika msafara wa mamba na kenge wamo.
Kweli..Sema kwa muda huo unakuwa waona wanakupigia mikelele tu... Ila siku unaiaga shule ndo akili inakukaa...Kauli zao zinachoma sana aisee zikiwa na ukweli mtupu
Halafu wengine walikuwa wanatukana matusi ya nguoni kabisa kwa wasichana[emoji23] wana dhambi sana hawa watu, na most of the times akili zao hua zinakuwa kama za wanafunzi au much worse
Kuna head master wetu mmoja aliwaambia hivi mademu baada ya kukuta uchafu kwenye mlango wa darasa
"Hivi nyie kwa mfano mnavochukuaga toilet papers mnafutia hiyo mikund* yenu huwa mnazitupa kwenye mlango wa choo ?"
Hapo ilikua tupo assembly
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], kama hawakuelewa kwa mfano huo, hawatakaa waelewe..[emoji23] wana dhambi sana hawa watu, na most of the times akili zao hua zinakuwa kama za wanafunzi au much worse
Kuna head master wetu mmoja aliwaambia hivi mademu baada ya kukuta uchafu kwenye mlango wa darasa
"Hivi nyie kwa mfano mnavochukuaga toilet papers mnafutia hiyo mikund* yenu huwa mnazitupa kwenye mlango wa choo ?"
Hapo ilikua tupo assembly
Ndio.Watu wengi walikuwa wanatamani wamalize shule kwa sababu ya usumbufu wa walimu bila kujali atafaulu au la
Ndio mkuu, plus kuwalaHalafu wengine walikuwa wanatukana matusi ya nguoni kabisa kwa wasichana
Hahaha au ile ya kuchagua randomly afu unaulizwa,Mimi nilikua sipendi ikifika pale anasema sasa tunajibu kwa kifuata mstari nilikua natamani niingie chini ya dawati!