GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna ticha angu mmoja almwona jamaa town jtatu akamwita assembly .. Akamwambia geuka nyuma akasema " hili tako nmeliona town Jana""" mbarikiwe waalim[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hiyo Na. 2 na Na.9 sio mchezo, yaani huyo ticha akimaliza tu kuongea na kichwa cha kwenye kidevu kinamfuataUnakumbuka ipi hapa??
Je ni kauli Mbaya na si Kauli za Kweli?
1. Mkimaliza kuongea niambieni. niendelee kufundisha
2. Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'ombe mwingine shule
3. Kama unajua kuliko mimi njoo ufundishe wewe
4. Ulikuja peke yako na utaondoka peke yako
5. Hata msiponisikiliza mshahara wangu uko pale pale
6. Baba yako anahangaika kulipa ada wewe unafanya utumbo tu
7. Hata nikeshe nafundisha wengine ni mizigo hawatoki na lolote
8. Tunavisaidia tu kwani vikifanikiwa mbeleni hata salamu vinatoa?
9. Bichwa kubwa ubongo nukta
10. Wengine hapa wamekuja kukua tu
C&P
Ongezea na nyingine....
si kweli mkuu hakuna mwalimu anayeweza kumtolea maneno machafu mwanfunzi mwenye kujielewa adabu na bidii darasani..Watu wengi walikuwa wanatamani wamalize shule kwa sababu ya usumbufu wa walimu bila kujali atafaulu au la
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], sasa si ungejibu...Huoni kama ulimuonesha madharau..[emoji23][emoji23]Hahaha au ile ya kuchagua randomly afu unaulizwa,
Kuna siku O level teacher mmoja hakua vizuri na lugha ya malkia akaniuliza
Eehn lucas what we learn yesterday ? Nilicheka sana kumbe akaweka kinyongo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna ticha angu mmoja almwona jamaa town jtatu akamwita assembly .. Akamwambia geuka nyuma akasema " hili tako nmeliona town Jana""" mbarikiwe waalim[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi nilikua sipendi ikifika pale anasema sasa tunajibu kwa kifuata mstari nilikua natamani niingie chini ya dawati!
Ha ha ha![emoji23] wana dhambi sana hawa watu, na most of the times akili zao hua zinakuwa kama za wanafunzi au much worse
Kuna head master wetu mmoja aliwaambia hivi mademu baada ya kukuta uchafu kwenye mlango wa darasa
"Hivi nyie kwa mfano mnavochukuaga toilet papers mnafutia hiyo mikund* yenu huwa mnazitupa kwenye mlango wa choo ?"
Hapo ilikua tupo assembly
imekuaje we mtoto wa kike na iyo avatar01. Kila mtu kaja na begi lake, ataondoka na begi lake.
02.Kenge nyie, kazi tu kubinua visketi.
03. Ungebaki tu huko nyumbani uwalee wadogo zako/uolewe[emoji23].
04. Kuna wengine hapa wanawasindikiza tu wenzao.
05. Katika msafara wa mamba na kenge wamo.