Kauli 10 mbaya za walimu darasani

Kauli 10 mbaya za walimu darasani

Niliwahi ambiwa nikiwa darasa la saba.

"Tatizo lako una akili nyingi kichwa kidogo"

Kwa akili nilizokuwa nazo nilijua tuu anasema kinyume chake.
 
Kuna ticha angu mmoja almwona jamaa town jtatu akamwita assembly .. Akamwambia geuka nyuma akasema " hili tako nmeliona town Jana""" mbarikiwe waalim[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
... Mali za nyumbani ni za Baba yako, amekuleta hapa ili na wewe usome uchume za kwako.
 
"Form Four Ndio Maisha, Ukiharibu Hapa Maisha Yako Yote Utakuwa Mtumwa Wa Wenzio Humu Darasani " Nilikuwa Sipendi Elimu Ila Nikisikia Huu Msemo Afu Nipo Dakika Za Majeruhi Kwenda Necta, Akili Haikawi Sawa Mpaka Nilikonda Cha Ajabu Nilichaguliwa Special School- Uzumbeni.
 
Unakumbuka ipi hapa??
Je ni kauli Mbaya na si Kauli za Kweli?

1. Mkimaliza kuongea niambieni. niendelee kufundisha

2. Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'ombe mwingine shule

3. Kama unajua kuliko mimi njoo ufundishe wewe

4. Ulikuja peke yako na utaondoka peke yako

5. Hata msiponisikiliza mshahara wangu uko pale pale

6. Baba yako anahangaika kulipa ada wewe unafanya utumbo tu

7. Hata nikeshe nafundisha wengine ni mizigo hawatoki na lolote

8. Tunavisaidia tu kwani vikifanikiwa mbeleni hata salamu vinatoa?

9. Bichwa kubwa ubongo nukta

10. Wengine hapa wamekuja kukua tu

C&P

Ongezea na nyingine....
Hiyo Na. 2 na Na.9 sio mchezo, yaani huyo ticha akimaliza tu kuongea na kichwa cha kwenye kidevu kinamfuata
 
Kuna mwalimu mzee mzee hivi, tuko darasa la 3 akamtukana dogo mmoja eti hashangai kwa yeye kufeli, maana hata baba yake alikuwa ni sifuri.

Dogo kaenda home kumweleza mdingi (mdingi alifundishwa na huyo mzee pia)...

Kilichotokea!
 
Watu wengi walikuwa wanatamani wamalize shule kwa sababu ya usumbufu wa walimu bila kujali atafaulu au la
si kweli mkuu hakuna mwalimu anayeweza kumtolea maneno machafu mwanfunzi mwenye kujielewa adabu na bidii darasani..
sote tumeona wanafunzi waliokuwa wanalowa matuzi ni wale enye viburi kujifanya manunda na utii sifuri..hakuna mwalimu anayefurahia darasa lisilokuwa na heshima...
mimi kwa upande wangu sikuwai kutolewa lugha mbaya na mwalimu yoyote tangu naanza msingi ununda husaidii lolote zaidi ya majuto baadaye
 
Hahaha au ile ya kuchagua randomly afu unaulizwa,
Kuna siku O level teacher mmoja hakua vizuri na lugha ya malkia akaniuliza
Eehn lucas what we learn yesterday ? Nilicheka sana kumbe akaweka kinyongo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], sasa si ungejibu...Huoni kama ulimuonesha madharau..[emoji23][emoji23]
 
Kuna ticha angu mmoja almwona jamaa town jtatu akamwita assembly .. Akamwambia geuka nyuma akasema " hili tako nmeliona town Jana""" mbarikiwe waalim[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa sisi ambao hatujapita shule kabisa hapa tuwe wasomaji tu
 
[emoji23] wana dhambi sana hawa watu, na most of the times akili zao hua zinakuwa kama za wanafunzi au much worse
Kuna head master wetu mmoja aliwaambia hivi mademu baada ya kukuta uchafu kwenye mlango wa darasa

"Hivi nyie kwa mfano mnavochukuaga toilet papers mnafutia hiyo mikund* yenu huwa mnazitupa kwenye mlango wa choo ?"

Hapo ilikua tupo assembly
Ha ha ha!
 
01. Kila mtu kaja na begi lake, ataondoka na begi lake.

02.Kenge nyie, kazi tu kubinua visketi.

03. Ungebaki tu huko nyumbani uwalee wadogo zako/uolewe[emoji23].

04. Kuna wengine hapa wanawasindikiza tu wenzao.

05. Katika msafara wa mamba na kenge wamo.
imekuaje we mtoto wa kike na iyo avatar
 
Back
Top Bottom