''siyo wote waniitao bwana bwana watauona ufalme wa mungu" hiyo ilikuwa ni kauli ya mwl mmoja wa basic mathematics kigoma sec!
alikuwa anakuja na mathematical tables(four figures?) za kutosha darasa zima lakini anazigawa kwa baadhi ya wanafunzi wanaojua hesabu tu.
Zinazobaki anaziweka mezani! hilo lilikuwa jibu la mwanafunzi aliyehoji ni kwa nini wengine hawajagawiwa wakati zimebaki za kutosha darasa zima!?
You just crame, you will understand leter!
Kwanza huwa haitoki kwenye mtihani
Tafadhali unione ofisini kwangu baada ya kipindi
Ninyi wanaume tunaelewana? Na ninyi wanawake imeingia?
[Kazee fulani hivi UDSM]
mna miandiko mibaya kama bata anaparua
i WILL HELP YOU TO FAIL...Huyu ni Profesa wa Chuo Kikuu
Yani mmeharibu nauli zenu kuja hapa Ndanda ili mfaulu PCB au PGM? bora hamia HKL au HGK la sivo mtarudi kwenu kama mlivokuja,hasa wewe unaenikodolea macho (akaninyoshea kidole).