''siyo wote waniitao bwana bwana watauona ufalme wa mungu" hiyo ilikuwa ni kauli ya mwl mmoja wa basic mathematics kigoma sec!
alikuwa anakuja na mathematical tables(four figures?) za kutosha darasa zima lakini anazigawa kwa baadhi ya wanafunzi wanaojua hesabu tu.
Zinazobaki anaziweka mezani! hilo lilikuwa jibu la mwanafunzi aliyehoji ni kwa nini wengine hawajagawiwa wakati zimebaki za kutosha darasa zima!?
alikuwa anakuja na mathematical tables(four figures?) za kutosha darasa zima lakini anazigawa kwa baadhi ya wanafunzi wanaojua hesabu tu.
Zinazobaki anaziweka mezani! hilo lilikuwa jibu la mwanafunzi aliyehoji ni kwa nini wengine hawajagawiwa wakati zimebaki za kutosha darasa zima!?