Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
1: Mkimaliza kuongea, niambieni niendelee kufundisha.
2: Baba yako aliuza ng'ombe ili alete ng'ombe mwingine shuleni.
3: Kama unajua kuliko mimi, njoo ufundishe wewe.
4: Ulikuja peke yako na utaondoka peke yako.
5: Hata msipoelewa, mshahara wangu uko pale pale.
6: Baba yako anahangaika kulipa ada wewe unafanya utumbo tu.
7: Hata nikeshe nafundisha, wengine ni mizigo hawatoki na lolote.
8: Bichwa lako kubwa lipo kwa ajili ya kutenganisha masikio yako.
9: Bichwa kubwa ubongo nukta.
10: Wengine hapa wamekuja kukua tu.
Unayo nyingine? Mkumbuke mwalimu wako.................
2: Baba yako aliuza ng'ombe ili alete ng'ombe mwingine shuleni.
3: Kama unajua kuliko mimi, njoo ufundishe wewe.
4: Ulikuja peke yako na utaondoka peke yako.
5: Hata msipoelewa, mshahara wangu uko pale pale.
6: Baba yako anahangaika kulipa ada wewe unafanya utumbo tu.
7: Hata nikeshe nafundisha, wengine ni mizigo hawatoki na lolote.
8: Bichwa lako kubwa lipo kwa ajili ya kutenganisha masikio yako.
9: Bichwa kubwa ubongo nukta.
10: Wengine hapa wamekuja kukua tu.
Unayo nyingine? Mkumbuke mwalimu wako.................