Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,353
- 1,234
Kama Mbwai ni mbwai, timua huko usiniwekee usiku....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mimi sijawahi kuambiwa maneno kama haya??
Mbona mimi sijawahi kuambiwa maneno kama haya??
ata mimi sijakutana nayo, lakini yapo.
ukiniacha ntapata zaidi yako babu
kwani lazima tukiingia chumbani uni do leo?hapo unapimwa kama una kifua cha kuvumilia au ww ni wa kumega na kusepa,,,mara nyingi hii huwa ni ngumu kumeza,ilishanitokea live lodge palikuwa hapatoshi