Kauli chafuzi TikTok, vijana tafuteni hela (Godfather)

Kauli chafuzi TikTok, vijana tafuteni hela (Godfather)

Pure Scientific

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
716
Reaction score
643
Habari.

Kuna mwamba mmoja TikTok anaitwa Godfather, ana kauli mbiu yake moja ya "Vijana tafuteni hela". Kiuhalisia mimi kwa upande wangu naona anachoongea ni kweli, sema changamoto ni kwenye uwasilishaji Tu.

Vijana wamecharuka na kuanza kumpiga majungu kwa kuwa, anamiliki Crown na hela anazoonyesha ni za mchongo, wengine wanamwita Freemason.

Hiko kiuhalisia mimi ni kijana Ambaye ninasimama na kauli yake, vijana tutafute hela, bila hela lazima utadharaulika sana. Siyo kanisani, mtaani, ukweni hata nyumbani, pale utakaposhindwa kumnunulia mama mzazi kanga ya Elfu 10 kariakoo.

Inaumiza sana kijana kukosa hela.
 
Jamani mambozzz.

Habari ya mjini kwa pisi kali ni TIK tok kwa sasa.

Sasa kuna kajamaa Anaitwa Tajiri Ginimbi au chief Godlove anasumbua sana Tik tok kwa kuwaambia et vijana Tutafute hela watu wamemuashia moto eti kama tutafute hela mbona wewe unaendesha crown na kila siku Tshirt hizo hizo.

Jamani mm naona kijana wa watu anaongea point sema ndo kuvimba sana mpaka watu wamenuna maana maisha haya bila kutafuta hela utaishia kudanga na mwisho mashabab wakuombe kwa mpalange.
 
..mmemuona kijana mwenyewe
Screenshot_2022-10-17-21-35-10-833_com.facebook.lite.jpg
 
Acha ujinga na ww kaungane na chimakwekwe
Kwani chimakeke na chief godlove si wanaambia ukweli wanaume mtafute hela mwanaume maisha yako yapo kwenye hela nje na hapo kila mtu utamuona mbaya.

Sisi wanawake tunagharama
 
Hivi hii desturi ya kuvimba kujionesha kama una pesa ni ulimbukeni kwa sisi ngozi nyeusi au vipi? Mbona wenzetu hasa (white people) Huwa hizi mambo hawana.
 
Back
Top Bottom