Kauli hii Moja tu ya Sabaya inatosha kabisa kumkamatisha Makonda na kuhojiwa na kisha kupelekwa Mahakamani

Kauli hii Moja tu ya Sabaya inatosha kabisa kumkamatisha Makonda na kuhojiwa na kisha kupelekwa Mahakamani

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,475
Akinukuliwa na makamera, mlalamikaji ambae ni mfanyabiashara wa hoteli alisikika na akionekana kusema kuwa amejitoa Mhanga, yuko tayari kwa lolote.

Alisema hivi,"Sabaya alinitaka nimpe milioni tano, na utaamua mwenyewe uiite rushwa au MAKONDA style". Mwisho wa kunukuu.

Hii kauli ikitokea kwa Mkuu wa Wilaya ndugu Sabaya kwenda kwa mfanyabiashara yule akimlazimisha ampe hela hizo bila shughuli yoyote.

Kama ingekua ni nchi zenye haki Leo hii Bashite angekua anachunguzwa akiwa nyuma ya nondo. Mfano tu Silivio Belusconi aliekua Raisi wa Italia na nadhani hali so nzuri kwa Nikolas Sarkozy,ama Waziri Mkuu Fulani wa Japan.Ama hata rafiki yetu Jacob Zuma.

Ila nakumbuka kuna kauli nyepesi kabisa waliwahi kutamka akina Mbowe, Lissu na hata akina Lema, kwa kweli Polisi wetu walipata kazi ya kufanya, waliwaita ama kwa hiari ama kwa Lazima waende wenyewe kuhojiwa. Walienda walihojiwa wa liowekwa ndani waliwekwa.
Makonda haijulikani ni nini kinaendelea.

Tanzania ya CCM hii.
 
Tatizo ambalo lipo kwa Makonda ( Bashite ) ni kwamba mambo yake mengi sana alokuwa anafanya alikuwa anapata back up ya Meko , katika matukio yote hayo alikuwa akishirikiana na watu wa TISS na vyombo vyengine vya Dola, sasa kama Makonda akiwekwa kizuizini au kushitakiwa kwa matendo yake , tishio lake nikwamba kama nyinyi mnamwaga mboga, yeye atamwaga ugali.

Yaani ni msururu wa watu wengi sana katika hili. Na usishangae katika ishu ya Bashite wakaweza KUMKOLIMBA ili kulinda SIRIKALI.
 
Tatizo ambalo lipo kwa Makonda ( Bashite ) ni kwamba mambo yake mengi sana alokuwa anafanya alikuwa anapata back up ya Meko , katika matukio yote hayo alikuwa akishirikiana na watu wa TISS na vyombo vyengine vya Dola...
Maana ukweli Ni kwamba matukio ya bashite Sabaya akasome.

Nikikumbuka Yale makontena bandari I,nikikumbuka Ile gari ya Waarabu wa Tanga,nikikumbuka,GSM,nikikumbuka ishu ya MO,nikikumbuka Ishu ya Roma Mkatili aisee Sabaya ni Cha Mdoli tu.

Nikikumbuka alivyotoka Dodoma kwa Kasi siku Ile.Dah.
 
Bashite ameshaumia mbona, ila hajasoma alama za nyakati bado. Tafakari;

1) Tony Blair Foundation - Imeajiriwa na Tanzania Kuwa Balozi Wa Mapamabano Ya Covid 19 sambamba Na Kurudisha MAHUSIANO NA MATAIFA YA NJE.

Hii Foundation Ya Tony Blair ni miongoni mwa taasisi kubwa zinazounga mkono ushoga duniani. Albert Bashite lazima atolewe kafara ili kurudisha imani kwamba tanzania inahitaji mahusiano yaimarike na mataifa ya nje, waliowatibua wahisani lazima watolewe kafara (Note That; Ameshapigwa Ban Za Visa na USA sambamba na mataifa mengine ya nje).

Ushauri wa kuwajibishwa kwa bashite utatolewa na hii Foundation kwanza.

Ubalozi wa Marekani Tanzania ndio utakua kiherehere namba moja wa kutaka awajibishwe. Na wito huo utaungwa mkono na balozi zingine nchini, kama German Embassy, European Union Embassy e.t.c

Serikali isipomtoa kafara mapema, basi mataifa ya nje yatatoa tamko la kuwajibishwa kwake kwanza kuonesha nia njema ya kufuata sheria za nchi na kutaka kurudisha mahusiano mazuri (Hapa wanaweza kutoa wito kama mafumbo kwamba wote waliovunja haki za binaadamu wawajibishwe - wote maana yake Baahite na wenzake).

#Ushoga Hatutaki Tanzania, Ila Bashite Tunataka Awajibishwe.

2) SSH lazima ajioneshe kwamba hayuko biased kwenye utawala wake, kuonesha dunia kwamba yeye anajali misingi ya sheria. So haiwezekani aina ya matendo aliofanya Ole Sabaaya na Albert Bashite yafanane, ila mmoja awajibishwe halafu mwingine asiwajibishwe (Yani sheria ina macho mawili, kwa mmoja ni kosa na kwa mwingine sio kosa).

3) Vikao vitafanyika vya ndani kwa ndani kupata vetting ya kumsulubu au kutokumsulubu Albert Bashite. Taasisi nyingi kubwa za serikali hazitokua upande wake, hizi ni kuanzia TAKUKURU, POLICE, TISS n.k kwasababu hakukaa nao vizuri pindi ana mamlaka. Atatolewa kama mbuzi wa kafara.

NOTE THAT; File zake zinamatukio mengi sana, issue ya "KUTEKWA ROMA MKATOLIKI, KUTEKWA MO DEWJ, SHAMBULIO LA TUNDU LISSU, KURIPULIWA OFISI ZA WANASHERIA kina FATMA KARUME n.k"

Ni swala la muda tu, huyo lazima atawekwa kwenye mabano.

Hamkawii kusikia Bashite ameamua kuchukua maamuzi magumu sana baada ya kupata msongo wa mawazo. Suicide
 
Awe muungwana TU na ajipeleke mwenyewe kituo chochote Cha polisi na awaombe wamfungulie mashtaka atakayoamua yeye! Kama aliweza kuwaambia kina Idrisa wajipeleke wenyewe polisi, yeye anashindwaje kujipeleka huku akijua na kuyatambua makosa yake? Akaripoti polisi ili kuweka mizani sawa!
 
Alisema hivi,"Sabaya alinitaka nimpe milioni tano, na utaamua mwenyewe uiite rushwa au MAKONDA style". Mwisho wa kunukuu.
Samia na Makonda Style ni mashoga wa kufa na kuzikana.
Tusubibiri huo ushoga wao upite kwanza, ndio huenda, labda …
Nchi ngumu sana hii.
 
Bashite ameshaumia mbona, ila hajasoma alama za nyakati bado. Tafakari;

1) Tony Blair Foundation - Imeajiriwa na Tanzania Kuwa Balozi Wa Mapamabano Ya Covid 19 sambamba Na Kurudisha MAHUSIANO NA MATAIFA YA NJE.

Hii Foundation Ya Tony Blair ni miongoni mwa taasisi kubwa zinazounga mkono ushoga duniani. Albert Bashite lazima atolewe kafara ili kurudisha imani kwamba tanzania inahitaji mahusiano yaimarike na mataifa ya nje, waliowatibua wahisani lazima watolewe kafara (Note That; Ameshapigwa Ban Za Visa na USA sambamba na mataifa mengine ya nje).

Ushauri wa kuwajibishwa kwa bashite utatolewa na hii Foundation kwanza.

Ubalozi wa Marekani Tanzania ndio utakua kiherehere namba moja wa kutaka awajibishwe. Na wito huo utaungwa mkono na balozi zingine nchini, kama German Embassy, European Union Embassy e.t.c

Serikali isipomtoa kafara mapema, basi mataifa ya nje yatatoa tamko la kuwajibishwa kwake kwanza kuonesha nia njema ya kufuata sheria za nchi na kutaka kurudisha mahusiano mazuri (Hapa wanaweza kutoa wito kama mafumbo kwamba wote waliovunja haki za binaadamu wawajibishwe - wote maana yake Baahite na wenzake).

#Ushoga Hatutaki Tanzania, Ila Bashite Tunataka Awajibishwe.

2) SSH lazima ajioneshe kwamba hayuko biased kwenye utawala wake, kuonesha dunia kwamba yeye anajali misingi ya sheria. So haiwezekani aina ya matendo aliofanya Ole Sabaaya na Albert Bashite yafanane, ila mmoja awajibishwe halafu mwingine asiwajibishwe (Yani sheria ina macho mawili, kwa mmoja ni kosa na kwa mwingine sio kosa).

3) Vikao vitafanyika vya ndani kwa ndani kupata vetting ya kumsukulubu au kutokumsulubu. Taasisi nyingi kubwa za serikali hazitokua upande wake, hizi ni kuanzia TAKUKURU, POLICE, TISS n.k kwasababu hakukaa nao vizuri pindi ana mamlaka.

Ni swala la muda tu, huyo lazima atawekwa kwenye mabano.

Hamkawii kusikia Bashite ameamua kuchukua maamuzi magumu sana baada ya kupata msongo wa mawazo. Suicide
Umenikumbusha haki ya kuishi
 
Masikini wana roho mbaya sana.

Na wote wanaotaka bashite akamatwe ni wahafidhina.
 
Tatizo ambalo lipo kwa Makonda ( Bashite ) ni kwamba mambo yake mengi sana alokuwa anafanya alikuwa anapata back up ya Meko , katika matukio yote hayo alikuwa akishirikiana na watu wa TISS na vyombo vyengine vya Dola, sasa kama Makonda akiwekwa kizuizini au kushitakiwa kwa matendo yake , tishio lake nikwamba kama nyinyi mnamwaga mboga, yeye atamwaga ugali.

Yaani ni msururu wa watu wengi sana katika hili. Na usishangae katika ishu ya Bashite wakaweza KUMKOLIMBA ili kulinda SIRIKALI.
Hakunaga cha kumwaga mboga mimi namwaga ugali. A government has a long hand. Hakunaga mkubwa zaidi yake.Hata President yuko chini ya 'serikali' na serikali iko chini ya wenye serikali na hao sio wao tu katika serikali.

It is a very complex with a complicated system. Viongozi ni display tu ya wenye serikali. Serikali ni kama msitu mnene, kwa nje au aerial views unaonekana umepangika vizuri but in reality it is a dense forest with intertwined bushes, trees and the likes even grasses. Usimfariji Makonda.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Maana ukweli Ni kwamba matukio ya bashite Sabaya akasome


Duui hatariiii
 
Bashite ameshaumia mbona, ila hajasoma alama za nyakati bado. Tafakari;

1) Tony Blair Foundation - Imeajiriwa na Tanzania Kuwa Balozi Wa Mapamabano Ya Covid 19 sambamba Na Kurudisha MAHUSIANO NA MATAIFA YA NJE.

Hii Foundation Ya Tony Blair ni miongoni mwa taasisi kubwa zinazounga mkono ushoga duniani. Albert Bashite lazima atolewe kafara ili kurudisha imani kwamba tanzania inahitaji mahusiano yaimarike na mataifa ya nje, waliowatibua wahisani lazima watolewe kafara (Note That; Ameshapigwa Ban Za Visa na USA sambamba na mataifa mengine ya nje).

Ushauri wa kuwajibishwa kwa bashite utatolewa na hii Foundation kwanza.

Ubalozi wa Marekani Tanzania ndio utakua kiherehere namba moja wa kutaka awajibishwe. Na wito huo utaungwa mkono na balozi zingine nchini, kama German Embassy, European Union Embassy e.t.c

Serikali isipomtoa kafara mapema, basi mataifa ya nje yatatoa tamko la kuwajibishwa kwake kwanza kuonesha nia njema ya kufuata sheria za nchi na kutaka kurudisha mahusiano mazuri (Hapa wanaweza kutoa wito kama mafumbo kwamba wote waliovunja haki za binaadamu wawajibishwe - wote maana yake Baahite na wenzake).

#Ushoga Hatutaki Tanzania, Ila Bashite Tunataka Awajibishwe.

2) SSH lazima ajioneshe kwamba hayuko biased kwenye utawala wake, kuonesha dunia kwamba yeye anajali misingi ya sheria. So haiwezekani aina ya matendo aliofanya Ole Sabaaya na Albert Bashite yafanane, ila mmoja awajibishwe halafu mwingine asiwajibishwe (Yani sheria ina macho mawili, kwa mmoja ni kosa na kwa mwingine sio kosa).

3) Vikao vitafanyika vya ndani kwa ndani kupata vetting ya kumsukulubu au kutokumsulubu. Taasisi nyingi kubwa za serikali hazitokua upande wake, hizi ni kuanzia TAKUKURU, POLICE, TISS n.k kwasababu hakukaa nao vizuri pindi ana mamlaka.

Ni swala la muda tu, huyo lazima atawekwa kwenye mabano.

Hamkawii kusikia Bashite ameamua kuchukua maamuzi magumu sana baada ya kupata msongo wa mawazo. Suicide
Hili bandiko litatimia hata kama ni baada ya miaka mi5 kuanzia sasa
 
Back
Top Bottom