Kauli hii ya Kardinal Pengo,inatukumbusha "upande wa pili" wa Kanisa Katoliki

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii kauli ya tumwombeee sometimes huwa ina nitia hasira kama tunapaswa tumwombee mpaka askofu basi tuna kazi kubwa sana kwa maana we ye shida watasahaurika
 
Barafu umenena sana,tutoe hoja tuache matusi,kihistoria msaliti anatoka ndani ya wasalitiwa,Yuda alinunuliwa ili amsaliti Yesu kwa kuwa alikuwa karibu nae,na aita tokea msaliti awe mbali na wasalitiwa,tukae tutambue Pengo sio malaika ni binadamu aliyezaliwa na mwanadamu, answers kuanguka kiroho kama mwanadamu yoyote yule,tusimuone kuwa hawezi kukosa,mfano mzuri ni sakata la ESCROW viongozi wa dini wapo,na waumini tulikuwa tuna waamini kuwa hawezi kufanya jambo kama hilo,wengi return tulishangaa kwa kuwa tuna waamini kuliko tunavyopaswa kuamini,tukae tutambue hawa ni wanadamu na siku ya kihama tutakuwa upande mmoja wa kuukumiwa tukisubili ukumu,aina mana kuwa wao viongozi wa dini basi mambo safi kule wanapita tu sizani kama itakuwa hivyo.

Pili tunapaswa kujiuliza umri wa Pengo ni kiasi gani,tunaweza kumlaumu kumbe uwezo wake wa kufikili umeshuka,tumeambiwa katika maandiko dini kuwa umri wa kuishi kwa mwanadamu wa sasa ni miaka kadhaa nje ya hapo ujaa tabu,tujiulze Pengo katika huko,inawezekana mtu aliyeenda kumtumia mpaka akatamka hayo aligundua uzaifu wa kufikili wa uyu mzee ili ajinufaishe katika utawala.

Naomba niishie hapa na wengine waje na yao.
 
Imani yangu imekuwa imesinyaa baada ya matamko ya Pengo, kuna kila uwezekano ni kweli hizi dini ni project za watu tu, nitaendelea kuamini Mungu mmoja na kuwa jesus follower lakini si kuwafuata hana kina pengo.

mtu asiyejuwa hata kilo ya mchele wala unga inanunuliwa bei gani na wala hajui kodi ya nyumba hii January inalipwa bei gani, na wala hajui mtu mwenye watoto watatu wote wanahitaji ada ya shule kiasi gani cha pesa kinahitajika kuhudumia familia, halafu anatokea mtu ambaye hana hata mke analeta porojo za siasa kwenye maisha ya watu hili halikubaliki.
 
Hakusema kwa bahati mbaya...
Huwa nawaeleza watu hapa akitokea dikteta wa kuzipiga marufuku hizi dini mbili pendwa hapa Tanzania nitamuunga mkono hizi dini mbili ni kitovu cha ujinga.

hivi mtu kama Pengo anaongea upuuzi na bado kuna watu wanajawa hofu kumjibu wakati ni mtu anayepaswa kuambiwa ukweli amevimbiwa na matoleo ya waumini, aje mtaani aone wananchi tunavyoishi kwa shida, kwa yeye Pengo muulizeni shule za kanisa ada wanatutoza bei gani? tuache unafiki.
 
Natamani kujua Pengo kasema nini?
 
Asubiri tu utoaji sadaka ukianza kupungua kanisani ndio atakubali
Kwamba hali ni ngumu
Ushapungua sana
Kwa mwaka jana ilikua 10mil
Mwaka huu 3/4 mil
Hawa viongoz wa din buana..mung anawaona
 
Mara nyingi Pengo amekua akijiinua na kusimama kama kielelezo cha Kanisa. Pengo ni mtata sana, pengo ni jeuri, Pengo ana dharau, Pengo si mnyenyekevu, Pengo ni mjivuni. Kuna nyakati huwa hasiti kuyapinga hadharani hata Yale maamuzi ya Baraza la Maaskofu.

Ila, ieleweke pia kwamba, Pengo ni shujaa, mwenye msimamo, asiyeogopa. Pengo ni mwanadamu Mwenye mapungufu. Huwa namkubali sana lakini usimtegemee kabisa, huwa haongei kwa lengo LA kufurahisha mtu au kikundi. Unahitaji kuwa na akili binafsi ili kumuelewa.

Pengo anapaswa kuongoza mihadhara vyuoni na kwenye makongamano si kusimama kwenye mimbali kutoa tathmini. Pengo huyu huyu, serikali itaanza kumlalamikia, hasa serikali yenyewe ukichukulia ni serikali ya muonja asali...
 
Kwa inchi ilipokua imefikia imla ni lazima,hats ung'ekuwa wewe
Usimamizi kwa maana ya kizungu supervision ambao ni sehemu ya utaalamu wa uongozi unafuata ethics na kanuni zile zile duniani kote. Hata maimla lazima yatumie hizo kanuni ili kufikia malengo yao. Hapa naona uimla wetu ni muhali kufikia malengo.
 
Mi nashauri waumini wamwonyeshe kwa vitendo tu sadaka zikipungua atajua kama kweli namba watu wanazisoma
 
Kinachompa kiburi ni kwamba kanisani wakipitisha mchango hata Mara tano ndani ya ibada moja waumini wanatoa maana wanaona aibu lakini uhalisia ni huo Mimi mwenyewe mkatoliki lakini unafiki wa kutoa mchango wakati uhakika wa kula sina pengo na viongozi wenzao wanisamehe kama ni mchango heri kusaidia hata watoto ombaomba mtaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…