Kauli hii ya Kardinal Pengo,inatukumbusha "upande wa pili" wa Kanisa Katoliki

Hivi mtuhumiwa anajipeleka polisi ajieleze makosa yake?

Kinawashinda nini kuanisha uongo?

Barua za serikali hazinihusu.

Kama umetumwa kawaambie huu upuuzi wenu unafahamika na tupo wengi hatufurahii licha ya kwamba hamlisaidii taifa.
Looks like trying to make logical argument with you my efforts will be futile. Unaendeshwa na hisia sio uhalisia.
 
Mtuhumiwa ni serikali kwamba imetoa maagizo hayo ya upendeleo kama unavyotaka kutuaminisha.
Mtoa tuhuma dhidi ya serikali ni wewe ambae tunakuomba lete ushahidi kuthibitisha tuhuma zako.
Nithibitishie wewe ni mahakama na una shauri gani mahakamani ili niwe shahidi wako.

Tupo kwenye mjadala kama hizi unaona ni tuhuma zipeleke kunakostahili zifanyiwe kazi.
 
umegonga nini leo

hilo ni giza au kanga

big up
 
Asili ya kanisa katiliki si kutetea wanyonge, bali kujilimbikizia mali na maeneo makubwa ya vitega uchumi.
 
Wakati mwingine nikikumbuka kauli za Gwajima kwa Kardnal Pengo Nina pata Ukweli halisi juu ya kufikiri kwa kiongozi wetu.
 
Reactions: SDG
Kumbe ndo maana tuna wakengeufu wengi sana hata CDM waliingizwa mkenge kwenye UKUTA mwanzo ati viongozi wa dini wanaongea na mkulu kumbe viongozi wenyewe ilikuwa poza joto wala haikuwepo kuongea na mkulu wala nini mpaka Leo hakuna report kama waliingea au lah.
 
Wakati mwingine nikikumbuka kauli za Gwajima kwa Kardnal Pengo Nina pata Ukweli halisi juu ya kufikiri kwa kiongozi wetu.
Tumuombee Mwandhama;ili akae ktk kile ambacho wanyonge na masikini wa Kanisa Katoliki wanakionja ktk dhiki na taabu ya maisha yao ya kila siku
 
Umeeelezea vzuri sana sana!!
 
THE ANIMAL FARM...walioshiba hawajui shida za wenzao..hawa jamaa ukifatilia mambo yao ya JESUITS,OPUS DEI unakata tamaa kabisa na dhehebu hilo hata kwa Hitler walimsaidia sana kufanya aliyoyafanya
 
Mimi mwenyewe sijaamini kama kusema hivyo alikuwa amedhamiria,, inawezekana maneno yalimtoka bahati mbaya.. ila hata kipindi fulani maaskofu walitoa waraka juu ya katiba mpya, ila yeye akaja kupingana nao.. Mungu atusaidie sana..
Aliipata fresh kutoka kwa Gwajima
 
THE ANIMAL FARM...walioshiba hawajui shida za wenzao..hawa jamaa ukifatilia mambo yao ya JESUITS,OPUS DEI unakata tamaa kabisa na dhehebu hilo hata kwa Hitler walimsaidia sana kufanya aliyoyafanya
Siyo hvyo tu.... Nawasihi tusome tena biblia kwa wale wakristo (vitabu vya Daniel, Ufunuo na Ezekiel ) kwa umakini na kufuatilia vizuri unabii na historia na ndipo utalielewa vzr kanisa katoliki duniani na siyo Tanzania pekee..ya kuwa Maneno ya Pengo aliyatoa kwa bahati mbaya au alidhamiria?!
 
Reactions: SDG
Nilikuja inbox mkuu.. naomba ureply if posible
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…