Kauli hii ya Makamu Rais wa Kenya Rutto huenda ikasababisha machafuko muda wowote huko Kenya

Exactly Mkuu. Kama inapingana na Kenyatta alisema andamaneni kwa amani
 
Kama kenya kutakuwa na vita basi Raila na NASA wameshiriki Kwa Kiasi kikubwa kuanzisha
Tuliwaambia zamani miaka kumi (2007-2008 PEV) kwamba Raila ndiye alikuwa chanzo cha machafuko Kenya hamkuamini.Yule jamaa ni mchochezi na mtu mwenye ubinafsi sana.
 
Afadhari ya maneno hayo na watu wakaelewa kuwa vita inakuja kuliko na wakajipanga kuliko vita vya kimya kimya vinavyoendelea katika nchi ya kusadikika na tukiendelea kushuhudia viroba vya maiti vikiopolewa baharini,hii ndio vita mbaya zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…