Kauli hizi za bodi ya nyama ni viashiria vya kutaka kuua biashara ya Mr. Manguruwe

Kauli hizi za bodi ya nyama ni viashiria vya kutaka kuua biashara ya Mr. Manguruwe

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
1,831
Reaction score
5,489
Jamaa aliyepata umaarufu mitandao kwa uuzaji wa Kitimoto alimaarufu kama nguruwe atimbiwa na Bodi ya Nyama iliyochini ya Serikali. Bodi hiyo imefika katika eneo la Bwana huyo ambaye pia ni maarufu kwa jina la Mr. Manguruwe na kukagua maneno ya banda hilo la nguruwe. Alianza kupata umaarufu baada ya kuahidi kumpatia Mchezaji wa Simba Clatous Chama endapo atafunga Goli. Mfugaji huyo alisikiaka na kujizolea umaarufu kwa kushawishi watu kula nyama ya kitimoto na kusema kitimoto inasaidia kuongeza maumbo ya wanawake, na pia akisema kitimoto wake ni wa kipekee na wamenona, jambo lililopelekea serikali kupitia bodi ya nyama kuamua kutia kambi katika eneo lake.

Ukisikiliza kwa umakini utagundua wawikilishi hapo wapo kwa ajili ya kuiua biashara ya mfugaji huyo, kauli za kufukuza wateja badala ya kumuhamasisha na kumtia nguvu.

View: https://www.instagram.com/reel/C7HQZEEieqh/?igsh=MWI2dHpjMnFybHF4OA==
 
Akili zKo hazina tofauti na Mr manguruwe.ni sawa na papaa wa mapinga anayeuza chapati zinazotoka Nairobi
 
Jamaa aliyepata umaarufu mitandao kwa uuzaji wa Kitimoto alimaarufu kama nguruwe atimbiwa na Bodi ya Nyama iliyochini ya Serikali. Bodi hiyo imefika katika eneo la Bwana huyo ambaye pia ni maarufu kwa jina la Mr. Manguruwe na kukagua maneno ya banda hilo la nguruwe. Alianza kupata umaarufu baada ya kuahidi kumpatia Mchezaji wa Simba Clatous Chama endapo atafunga Goli. Mfugaji huyo alisikiaka na kujizolea umaarufu kwa kushawishi watu kula nyama ya kitimoto na kusema kitimoto inasaidia kuongeza maumbo ya wanawake, na pia akisema kitimoto wake ni wa kipekee na wamenona, jambo lililopelekea serikali kupitia bodi ya nyama kuamua kutia kambi katika eneo lake.

Ukisikiliza kwa umakini utagundua wawikilishi hapo wapo kwa ajili ya kuiua biashara ya mfugaji huyo, kauli za kufukuza wateja badala ya kumuhamasisha na kumtia nguvu.

View: https://www.instagram.com/reel/C7HQZEEieqh/?igsh=MWI2dHpjMnFybHF4OA==

👆 👆 👆 👆 Alimuahidi atampa nini ? Mchezaji wa simba mbona haujabainisha ?
 
Niliwahi soma humu kitambo sana

Unapoanza harakati za biashara kama kampuni

1. Epuka media
Kuna wakati haiepukiki kwa sababu ili upate wateja pia unahitaji kusikika,

Bodies, Agency na authority zingine zijikite kwenye kuwawezesha zaidi watu kama gawa kuliko kuwadidimiza,

in fact wanadhani wanamkomoa individual lkn the truth ni kwamba wanaikosesha serikali mapato pia kwa hiyo ni kama agent wa umasikini wa watanzania.
 
Huyo jamaa nilijua ni walewale akina Vanilla Village na Mr Kuku.

Mara Ben Paul kawekeza million kadhaa mara Dotto Magari, lilikuwa suala la muda tu kuliza watu hapo!

BTW:Wala sijafungua hiyo clip!
 
Jamaa aliyepata umaarufu mitandao kwa uuzaji wa Kitimoto alimaarufu kama nguruwe atimbiwa na Bodi ya Nyama iliyochini ya Serikali. Bodi hiyo imefika katika eneo la Bwana huyo ambaye pia ni maarufu kwa jina la Mr. Manguruwe na kukagua maneno ya banda hilo la nguruwe. Alianza kupata umaarufu baada ya kuahidi kumpatia Mchezaji wa Simba Clatous Chama endapo atafunga Goli. Mfugaji huyo alisikiaka na kujizolea umaarufu kwa kushawishi watu kula nyama ya kitimoto na kusema kitimoto inasaidia kuongeza maumbo ya wanawake, na pia akisema kitimoto wake ni wa kipekee na wamenona, jambo lililopelekea serikali kupitia bodi ya nyama kuamua kutia kambi katika eneo lake.

Ukisikiliza kwa umakini utagundua wawikilishi hapo wapo kwa ajili ya kuiua biashara ya mfugaji huyo, kauli za kufukuza wateja badala ya kumuhamasisha na kumtia nguvu.

View: https://www.instagram.com/reel/C7HQZEEieqh/?igsh=MWI2dHpjMnFybHF4OA==

Wacha nikae kimya
 
Miyeyusho tu wamuache afanye hiyo biashara maana siyo haramu,au wanataka auze bangi ili wamzingue vizuri,
 
Jamaa aliyepata umaarufu mitandao kwa uuzaji wa Kitimoto alimaarufu kama nguruwe atimbiwa na Bodi ya Nyama iliyochini ya Serikali. Bodi hiyo imefika katika eneo la Bwana huyo ambaye pia ni maarufu kwa jina la Mr. Manguruwe na kukagua maneno ya banda hilo la nguruwe. Alianza kupata umaarufu baada ya kuahidi kumpatia Mchezaji wa Simba Clatous Chama endapo atafunga Goli. Mfugaji huyo alisikiaka na kujizolea umaarufu kwa kushawishi watu kula nyama ya kitimoto na kusema kitimoto inasaidia kuongeza maumbo ya wanawake, na pia akisema kitimoto wake ni wa kipekee na wamenona, jambo lililopelekea serikali kupitia bodi ya nyama kuamua kutia kambi katika eneo lake.

Ukisikiliza kwa umakini utagundua wawikilishi hapo wapo kwa ajili ya kuiua biashara ya mfugaji huyo, kauli za kufukuza wateja badala ya kumuhamasisha na kumtia nguvu.

View: https://www.instagram.com/reel/C7HQZEEieqh/?igsh=MWI2dHpjMnFybHF4OA==

Mbona mimi sijaona ubaya katika maelezo ya hao maafisa wa bodi ya nyama? Mbona maelezo yao ni ya kitaalam na wametoa tahadhari nzuri?

Sio kila kitu ni cha kupinga, kukitokea mlipuko hapo mtaanza kulaumu bodi ilikuwa wapi.
 
Back
Top Bottom