Kauli kutoka bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu soma hapa

Kauli kutoka bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu soma hapa

hapana jamani mimi ni mfanyakazi wa hapo bodi ya mikopo ila ni kwamba imeonekana idadi kubwa ya wadahiliwa walikimbilia ualimu hivyo inatukoroga akili mpaka sasa,pia majibu nazani mpaka leo juma tatu saa sita kila kitu kitakua wazi ila hakuna mwanafunzi mwenye haki ya kupata mkopo atakosa ila ikitokea umekosa basi ujue huna vigezo yaani
---wewe sio kipaombele cha taifa mf digree ya sheria,kiswahili nk
----imeonyesha wazazi wako wana uwezo kulingana na education background yako
-----na mengineyo mengi
AHSANTENI

Hiyo leo saa sita itafika tu hamna tabu kabisa!! I'll ndo jiandae na mabango ikitokea umedanganya!!
 
Msimamo Wangu ni Uleule Kama nilivyosema mwanzo "KWA SASA BODI YA MKOPO HAINA PESA YA KUTOSHA KULIPIA ADA KILA MWANAFUNZI " HASAHASA WALE NDUGU ZANGU WA NON-PRIORITY KAMA NILIVYOWAAMBIA MWANZE KUJICHANGACHANGA KWA SASA HIVI LA SIVYO MTAAMBULIA MAUMIVU MAKALI MITHILI YA MTU ALIYENG'ATWA NA NG'E..!!
Kwa wale ndugu zangu wa Priority eebhana eeh... MKOPO unapata wewe usiwe na wasiwasi kabisa ingawa wanaweza kupa kulingana na vigezo vyao wanavyoangalia mfano
1. Shule uliYOSOMA
2. Kama ulituma Pasi Ya kusafiria badala ya kitambulisho cha mpiga kula umekwisha utapewa ka % kadogo mfano. 0,10,20, or 30
3. Kwenye Birthcertificate wataangalia Kazi za wazazi wako..mfano engineer, businessman/woman..kama kawaida hizo % za hapo juu zinakuhusu...

NB:
1.kwa wale waliojaza Kozi za utabibu, kilimo, engineers na ualimu wa sayansi Hapa hawataangalia hivyo vigezo Vyao hapo juu So mwisho Wa siku Utalamba 100%..!!
2.Na wale ndugu zangu wa Non-priority wengi wenu mtakosa mkopo Hiyo ni Hakika ingawa kuna wengine wamepatapata % ndogondogo kama nilivyo orodhesha hapo Juu !!
3. Rasmi kitu mpaka tarehe 1-3 mwezi wa 10
OVERRRR....

Hata wangesema ni tarehe 10 October itafika tu! siku hazigandi bhana
 
Kwa habari za kutia kiwewe hili jukwaa linatisha mno...maana sasa presha yangu ilikuwa kawaida, ila naona sasa mwazidi kuipandisha....!
 
Sasa hivi naona kule heslb.com kuna 13 bots online
wewe mfanya kazi wa HESLB hiyo inamaanisha nini??
 
hapana jamani mimi ni mfanyakazi wa hapo bodi ya mikopo ila ni kwamba imeonekana idadi kubwa ya wadahiliwa walikimbilia ualimu hivyo inatukoroga akili mpaka sasa,pia majibu nazani mpaka leo juma tatu saa sita kila kitu kitakua wazi ila hakuna mwanafunzi mwenye haki ya kupata mkopo atakosa ila ikitokea umekosa basi ujue huna vigezo yaani
---wewe sio kipaombele cha taifa mf digree ya sheria,kiswahili nk
----imeonyesha wazazi wako wana uwezo kulingana na education background yako
-----na mengineyo mengi
AHSANTENI

Mkuu we kama mtumishi wa heslb, fafanua kipengele hiki "In addition the system (means test system) shall make an adjustment to cover for loan applicants with special social economic disadvantages such as orphanage, applicants with disabilities and single parency" Pia fafanua %<50%, i.e, 49%-0% hupewa applicants category ipi, kwani priority programmes under means testing zina garantee not below 50%. Waiting.....
 
hapana jamani mimi ni mfanyakazi wa hapo bodi ya mikopo ila ni kwamba imeonekana idadi kubwa ya wadahiliwa walikimbilia ualimu hivyo inatukoroga akili mpaka sasa,pia majibu nazani mpaka leo juma tatu saa sita kila kitu kitakua wazi ila hakuna mwanafunzi mwenye haki ya kupata mkopo atakosa ila ikitokea umekosa basi ujue huna vigezo yaani
---wewe sio kipaombele cha taifa mf digree ya sheria,kiswahili nk
----imeonyesha wazazi wako wana uwezo kulingana na education background yako
-----na mengineyo mengi
AHSANTENI

kama ulivyokimbia CCM,angalia ucjeukakimbia na huku JF kwa kutupa matumaini hewa. Haya tutahakikisha tu hivi punde.
 
mona utata hauishi? ipi ni ipi? sa6 au tar. 1-3, apatikane wa kumaliza utata bac
 
Mkuu NIMEKIMBIA CCM, hili ni jukwaa la GREAT THINKERS unatakiwa kila unapotoa comments andaa mazingira ya watu kukuamini, kiukweli watu tumechoshwa na hizi kauli za kesho.keshoo,keshooo,keshoooo,
ina maana cku zote hz watu wanabishana,kuhusu heslb we hujaona mbona haukutukuweka wazi??
je una uhakika na leo saa sita?
 
Ambaye yuko na access na gazeti la NIPASHE la leo asome atuelezee kuna habari kuhusu bodi ya mikopo
 
hapana jamani mimi ni mfanyakazi wa hapo bodi ya mikopo ila ni kwamba imeonekana idadi kubwa ya wadahiliwa walikimbilia ualimu hivyo inatukoroga akili mpaka sasa,pia majibu nazani mpaka leo juma tatu saa sita kila kitu kitakua wazi ila hakuna mwanafunzi mwenye haki ya kupata mkopo atakosa ila ikitokea umekosa basi ujue huna vigezo yaani
---wewe sio kipaombele cha taifa mf digree ya sheria,kiswahili nk
----imeonyesha wazazi wako wana uwezo kulingana na education background yako
-----na mengineyo mengi
AHSANTENI

si umeona ulivyo LIONGO!!!!! nenda kajipange huko...sijui umekimbia ccm umeenda wapi wakati wewe ni lifisadi tena liongo!!!!!
 
hapana jamani mimi ni mfanyakazi wa hapo bodi ya mikopo ila ni kwamba imeonekana idadi kubwa ya wadahiliwa walikimbilia ualimu hivyo inatukoroga akili mpaka sasa,pia majibu nazani mpaka leo juma tatu saa sita kila kitu kitakua wazi ila hakuna mwanafunzi mwenye haki ya kupata mkopo atakosa ila ikitokea umekosa basi ujue huna vigezo yaani
---wewe sio kipaombele cha taifa mf digree ya sheria,kiswahili nk
----imeonyesha wazazi wako wana uwezo kulingana na education background yako
-----na mengineyo mengi
AHSANTENI

lazima uwe mlinzi wa getini heslb
taarifa yako ya kiongo ongo
 
Msimamo Wangu ni Uleule Kama nilivyosema mwanzo "KWA SASA BODI YA MKOPO HAINA PESA YA KUTOSHA KULIPIA ADA KILA MWANAFUNZI " HASAHASA WALE NDUGU ZANGU WA NON-PRIORITY KAMA NILIVYOWAAMBIA MWANZE KUJICHANGACHANGA KWA SASA HIVI LA SIVYO MTAAMBULIA MAUMIVU MAKALI MITHILI YA MTU ALIYENG'ATWA NA NG'E..!!
Kwa wale ndugu zangu wa Priority eebhana eeh... MKOPO unapata wewe usiwe na wasiwasi kabisa ingawa wanaweza kupa kulingana na vigezo vyao wanavyoangalia mfano
1. Shule uliYOSOMA
2. Kama ulituma Pasi Ya kusafiria badala ya kitambulisho cha mpiga kula umekwisha utapewa ka % kadogo mfano. 0,10,20, or 30
3. Kwenye Birthcertificate wataangalia Kazi za wazazi wako..mfano engineer, businessman/woman..kama kawaida hizo % za hapo juu zinakuhusu...

NB:
1.kwa wale waliojaza Kozi za utabibu, kilimo, engineers na ualimu wa sayansi Hapa hawataangalia hivyo vigezo Vyao hapo juu So mwisho Wa siku Utalamba 100%..!!
2.Na wale ndugu zangu wa Non-priority wengi wenu mtakosa mkopo Hiyo ni Hakika ingawa kuna wengine wamepatapata % ndogondogo kama nilivyo orodhesha hapo Juu !!
3. Rasmi kitu mpaka tarehe 1-3 mwezi wa 10
OVERRRR....

hv ikatokea ukakosa mkopo na priority yako hiyo utasemaje na umejipa 100 sure lazma upate?? Kuna pips zinapga civil eng,,science eductn wamechaguliwa last year na wamekosa n still kuna pipo zinapga sociology na mkopo wanao,,,unasemaje hapo??? Au unafkr hz prio na non prio zimeanza dic year????....kiroho safi tu,,,,,
 
Nimekimbia ccm naweze kukunga mko coz kuna mdau yupo huko huko heslb ameniambia k2 hcho hcho!
 
Back
Top Bottom