Uchaguzi 2020 Kauli Mbiu ya CHADEMA: Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu


Kwani sasa hazingii nenda k/koo madukani ukaone tumia elimu na maarifa
 
Uhuru hadi kwenye ushoga. Mtaipenda kama siyo kukoma.
 
Sera nzuri sana inafurahisha hongereni sana CDM tupo nanyi.
 
Mleta mada nikupongeze walau kwa kuleta hiyo ilani nashukuru hiki ndicho wananchi wataka kukisikia hongera kuitoa sababu mikutano ya Chadema ilikuwa imejaa porojo tu Lisu anapiga porojo hewa za kutunga kichwani mwanzo mwisho

Nikushukuru Tena ni matumaini yangu kuwa hizo mtazinadi kwenye majukwaa hazitaushia Jamii forums ili.muondokane na aibu ya porojo majukwaa
Nina reservation nyingi kwenye hiyo ilani ila kwa Sasa niwapongeze walau mna kakitu ka kuongelea hata Kama Ni la ilani hewa hewa

Nitaichambua baadaye ngoja ninywe chai
 
Lisu na Mbowe huo Uhuru , haki na maendeleo wameshindwa kuleta ndani ya CHADEMA yao ndio wataweza kuwaletea watanzania wote?

Na msijifanye mmesahau kumbukeni kuwa mna laana ya dk Slaa
 
Mapungufu kwenye sera ya Chadema

1.Masuala ya madini haijagusa kabisa!!! Naona ike aibu ya MIGA Chadema waneona waichomoe kimya kimya isiwe kesi


2.Uhuru wa habari Chadema haupo sababu wanataka vyombo vya habari visiwe na Uhuru wa kutangaza kile vinavyotaka Bali watangaze kile Chadema eanachotaka.Mfano TBC walifukuzwa sababu walikataa kutangaza kile Chadema wanachotaka.Kuwa lazima watangaze like Chadema wanachotaka!!! Uhuru wa habari Ni pamoja na kutoa Uhuru kwa chombo Cha habari kutangaza kinachotaka.Huo Uhuru sio one way traffic Ni two way traffic . Chadema kwa hili wameshindwa kwa kuinyima Uhuru TBC kutangaza wanachokitaka Kama sehemu yao ya uhuru wa habari .Kwa Chadema Uhuru wa habari maana yake Ni wao ndio wenye haki ya kusema kitangazwe kipi na chombo Cha habari.Chombo Cha habari hakina huo Uhuru wa kujiamulia kitangaze Nini


3.Kuhusu wafanyakazi wa umma kupandishwa mishahara na madaraja Chadema wamechemka wanasema watapandisha na kulipa malimbikizo hii sera imepitwa na Wakati wafanyakazi wa umma wamekuwa wakipandishwa mishahara na madaraja kimya kimya kuepuka mfumuko wa bei mitaani .Mishahara na vyeo kupanda Ni Siri Kati ya mwajiri na mwajiriwa .Wamekuwa wakipandishwa na kulipwa malimbikizo kimya kimya maofisini hivyo Chadema mkinadi hii sera wafanyakazi wa umma wataangua vicheko kuwa mnanadi vitu hewa!!!

Sasa hivi nyongeza haxitangazwi zilikuwa zikiyangazwa tu kesho Bei za vitu juu Ni strategy ya awamu ya tatu kudhibiti mfumuko wa Bei naona Chadema mko gizani au Kuna mtu kawapa hii kuwahujumu muangukie pua kwenye kampeni!!!
 
Ni bora, tuko huru na tuko na maamuzi na mambo yetu wenyewe..na bado vinaendela kujengwa.
Hatuja wahi kuwa huru chini ya CCM, kuchaguliwa viongozi wa kutuongoza, wapinzani kuteswa, kuwekwa ndani na kufungwa jela. Rais anafanya maamuzi kama Sultan.
 
Kama vyombo vya habari vingekua huru Magifuli asingehangaika kuangalia hotuba za Lissu kwenye groups za whatsup.

Kama wafanyakazi wangepandishwa mishahara kimya kimya wasingekua wanalalamika.

haya yote ni kama vile viwanda hewa 600 mlivyojenga.
 
Usawa huu kweli alofanya Magufuli kuna Mtanzania wa kudanywa!! Yan wapinzani mkifkisha kura milioni 3.5 mfanye na sherehe kabisa maana vitu vilivyofanywa na Magufuli kwa Mtanzania yoyote mwenye akili timamu awez kupoteza kula yake kuwapa wapinzani tena waliotetea mabeberu hili waendelee kubeba madini yetu bule.
 
Viwanda vinahamasishwa au vinajengwa?.Hebu nitajie basi ata hivyo vinavyohamasishwa tuvijue.
 
Kama vyombo vya habari vingekua huru Magifuli asingehangaika kuangalia hotuba za Lissu kwenye groups za whatsup.
Na nyie Chadema Kama mnapenda Uhuru wa habari kwa Nini mlitaka TBC watangaze mnachotaka nyie? Si mungeacha watangaze watakacho sababu ndio Uhuru wenyewe wa habari kwa Nini mliwadhibiti na kueafukuza wasitumie Uhuru wao was kutangaza watakacho?
 
.

Kama wafanyakazi wangepandishwa mishahara kimya kimya wasingekua wanalalamika.
Wanalalamika wapi? Tatizo nililoliona kwenya sera za Chadema mengi wamechukua humu jamii Forums !!! Mitandao sio reliable source hasa jamii Forums.Mengi wamebeba humuna kuyageuza sera ukienda kwenye uhalisia sio kweli likiwemo Hilo la yanayoitwa malalamiko ya wafanyakazi!!

Chadema wameshindwa kufanya homework yao kabla ya kutengeneza hiyo sera want rely jamii forums tu
 
Viwanda vya maziwa kwa ajili ya watoto
 
Na nyie Chadema Kama mnapenda Uhuru wa habari kwa Nini mlitaka TBC watangaze mnachotaka nyie? Si mungeacha watangaze watakacho sababu ndio Uhuru wenyewe wa habari kwa Nini mliwadhibiti na kueafukuza wasitumie Uhuru wao was kutangaza watakacho?
Kuna faida gani ya TBC kuwepo pale wakati Lema au Lissu akiongea wanazima sauti?
 

Sera nzuri sana.
 
Hoja haipigwi rungu mkuu. Jikite kwenye hoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…