Uchaguzi 2020 Kauli Mbiu ya CHADEMA: Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu

Uchaguzi 2020 Kauli Mbiu ya CHADEMA: Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu

Ni mpumbavu tu ndo aliwaza funguo ya Noah, mie ni mkulima, SGR inajengwa itasaidia kusafirisha kwa gharama nafuu bidhaa zangu za kilimo, Mwl Nyerere HEP linajengwa, litapunguza gharama za umeme na hivyo kupunguza gharama za uzalishaji kwenye hatchery zetu wafugaji, pesa hizi ni pamoja na hizo za Acacia ambazo nyie mlisema tutashitakiwa, nchi hii ni yetu sote si ya wafanyakazi tu, wakati wafanyakazi wakiongezwa mishahara miaka nenda rudi mkulima aliongezwa nini? wafanyakazi wanaelewa hilo na wamefunga mikanda ili kidogo hiki tufaidi sote.
Kumbe unachuki zako na wafanyakazi pole sana. Subiri SGR na HEP zitakuja kukusaidia mkulima ahhhhhh.
Zinduka mdanganyika..
 
Yani uwezo mdogo wa kufikili ni shida, Mara hutaki kuwa na bidhaa nyingi nchini utegemee viwanda vya ndani, umebadilika tena eti mnakusanya kodi.
Kweli mtaji wa ccm ni elimu na wametuweza sana kwenye hilo la elimu. Ila tunashukuru Mungu vilaza wanazidi kupungua nchini kwahiyo ccm itaondoka tu ili tupate maendeleo ya kweli.
Zinduka wewe mdanganyika.
Teh teh...yaani wakiitwa wenye akili we nawe utapita, kweli vyeti feki lilikuwa tatizo, hasira zenu za kufutwa kazi kwa vyeti feki zisifikie hatua ya kushabikia nchi kuuzwa, haturudi huko kwenye kuifanya nchi dampo, tuko kwenye kuifanya nchi ikompiti kuuza bidhaa zake nje.
 
Sio watabeza, ni takataka, alisema atafuta kodi, kwamba Leo kuna kodi 15 kwa wafanyabiashara na hazitaji, kwamba akifuta kodi bidhaa kutoka nje zitamwagika nchini, nani alimwambia tunahitaji kurudi kwenye ukoloni wa kuifanya nchi yetu dampo la bidhaa za mabeberu? UPUUZI.
Umemaliza kila kitu mkuu, nilishangaa sana kusikia jamaa tena mwanasheria akitangaza kuifanya nchi dampo tena bila kukusanya kodi, nikajiuliza hayo mengi anayoahidi atapata wapi pesa bila kukusanya kodi? nikapata jibu kwamba TUTAUZWA.
 
Sio watabeza, ni takataka, alisema atafuta kodi, kwamba Leo kuna kodi 15 kwa wafanyabiashara na hazitaji, kwamba akifuta kodi bidhaa kutoka nje zitamwagika nchini, nani alimwambia tunahitaji kurudi kwenye ukoloni wa kuifanya nchi yetu dampo la bidhaa za mabeberu? UPUUZI.
Duh.. kweli huyu jamaa katumwa.
 
Umemaliza kila kitu mkuu, nilishangaa sana kusikia jamaa tena mwanasheria akitangaza kuifanya nchi dampo tena bila kukusanya kodi, nikajiuliza hayo mengi anayoahidi atapata wapi pesa bila kukusanya kodi? nikapata jibu kwamba TUTAUZWA.

Nani atatununua, Trippi?
 
Wasalaam wakuu,
Poleni sana na shughuli mbalimbali za kujenga taifa.

Sote katika jukwaa la siasa tumekwisha shuhudia la mgambo likilia kwa vyama mbalimbali kuanza kampeni za uchaguzi wa tarehe 28, oktoba 2020.

Tayari vyama vimekwisha anza kunadi sera zao kupitia wagombea wao. Binafsi nimefurahishwa sana na ilani ya chama cha demokrasia na maendeleo, CHADEMA. Kufurahishwa kwangu huko kumetoka na sera zao ambazo kiukweli zinagusa uchumi wa taifa letu(MACROECONOMICS) na pamoja na uchumi wetu sisi wananchi mmoja mmoja (MICROECONOMICS).

Sera za CHADEMA zenye fungamanisho la sekta ya umma na sekta binafsi (PPP or public-private partnership) ni nguzo katika kukuza uchumi wa nchi na uchumi wa watu wake.

Katika sera hizi mgombea wa CHADEMA nafasi ya Urais Mh. Tundu Antipas Lissu ameanza kuelezea vyema utekelezaji wa sera hizi atakazozisimamia katika kipindi chake cha utawala wa miaka mitano( 2020-2025).

Sera hizi zimekwisha anza kupokelewa na watu wengi maana zinagusa kila kundi ikiwa ni pamoja na Wafanyakazi, Wakulima, Wajasiriamali, Wawekezaji, Wasomi na Wanafunzi wa elimu kuanzia msingi mpaka vyuo vikuu.

Summary ya Sera za CHADEMA katika ilani yake ya 2020:


1.Katiba Mpya (ikiyasimamia maoni ya kamati ya Warioba)

2. Uhuru wa vyombo vya habari.

3. FAO LA KUJITOA LINARUDI
-ukiwa na utayari wa kusitisha mkataba wa kazi, utapokea mafao yako kulingana na mfuko wako mafao.

4. Maduka yasiyotozwa Kodi jeshini yanarudi.

5. Riba za mikopo ya elimu ya juu itashuka kutoka 13% mpaka 3%.

6. Sheria kandamizi zote zenye upendeleo kwa makundi fulani zitafutwa.

7. Maendeleo yatalenga watu na si vitu, kwamba ili nchi ipate maendeleo lazima kwanza watu wake waendelezwe kielimu(maarifa na ujuzi), kiafya na malazi(makazi Bora).


8. Kodi ya ongezeko la thamani VAT itakua 10% kutoka 18% ya Sasa hivi, ili kuchochea na kurudisha matumaini ya watu kurudi katika biashara na kuongeza uzalishaji mali na hivyo kuinua pato la Taifa.


9. Kodi ya ardhi itapunguzwa ili kuifufua sekta ya makazi ambayo katika kipindi hiki cha miaka mitano imefifia.

10. Kupandisha madaraja na mishahara ya wafanyakazi; swala ambalo lipo kisheria na litafanywa na serikali ya CHADEMA chini ya Rais wake Mh. Tundu Antipas Lissu.

11. Mazingira Bora ya uwekezaji. CHADEMA imepanga kuboresha mazingira mazuri ya uwekezaji ikitumia mbinu ya ubia wa sekta ya umma na binafsi katika kuwavutia wawekezaji kupitia punguzo la kodi na uendelezwaji, ufufuaji na uanzishwaji wa maeneo maalum ya kimkakati ya kiuchumi yaani SEZ(Special Economic Zones).

12. Matibabu kwanza malipo baadae; Kupitia bima ya Afya kwa wananchi wote serikali ya CHADEMA imejiandaa kutoa bima kwa wananchi wote ili kuhakikisha wananchi wake wanapata huduma ya Afya bora katika muda wote. Hii itapunguza vifo ambavyo mara kadhaa vimesababishwa na wagonjwa kukosa fedha za matibabu kwa wakati.


13. Kodi ya wafanyakazi kwenye mshahara (PAYE) haitazidi 8%. Serikali ya CHADEMA chini ya Mh. Tundu Antipas Lissu imepanga kutoza kuchukua kodi ya PAYE isiyozidi 8% ili kupunguza kodi kubwa ambayo ni mzigo kwa Wafanyakazi.


14. Masharti ya mikopo kwa Vijana itakua nafuu. Wanafunzi wa elimu ya juu hawata daiwa madeni yao waliyokopeshwa na HSLEB mpaka pale watakapoajiriwa either katika sekta ya umma ama binafsi.

15. Upatikanaji wa Maji Safi na salama kwa gharama nafuu. Serikali ya CHADEMA ikishirikiana na sekta binafsi imejipanga kusambaza na kutengeneza miundombinu ya maji Safi na salama kwa ustawi wa Watanzania.



16. kuboresha miundombinu vijijini. Vijijini ikiwa ndiyo sehemu inayokaliwa na watu wengi ambao ni wazalishaji wa Chakula na malighafi kwa ajili ya viwanda, serikali ya CHADEMA chini ya Mh. Tundu Antipas Lissu imepanga kuimarisha miundombinu vijijini ili kuunganishwa maeneo ya kimkakati ya uzalishaji malighafi shambani na bidhaa viwandani.

Nawasilisha haya machache.

#Mpiga-kura_huru
#Uchaguzi2020
#TUKAPIGE_KURA
#TANZANIA-AFRICA
#VISION2025
#AGENDA2063


View attachment 1552566View attachment 1552568View attachment 1552569View attachment 1552570View attachment 1552571View attachment 1552572
Hiyo slogan ya saccos ya kusema utaleta maendeleo ya watu ni huwafanya watu ni wajinga, kwani ili uweze kufanikiwa ktk hilo ni lazima uwepo kwa yale yalio fanywa na awamu ya tano,hivyo wanavyofanya saccos ni kusaidia treni na kutaka kujifanya kwamba wao ndio walio liona wakati sera ya awamu ya tano ni kufanya hivyo kwa kuanza na miundo mbinu, ambayo sasa inatuwezesha kwenda hilo la watu kwa ubora zaidi
 
Wasalaam wakuu,
Poleni sana na shughuli mbalimbali za kujenga taifa.

Sote katika jukwaa la siasa tumekwisha shuhudia la mgambo likilia kwa vyama mbalimbali kuanza kampeni za uchaguzi wa tarehe 28, oktoba 2020.

Tayari vyama vimekwisha anza kunadi sera zao kupitia wagombea wao. Binafsi nimefurahishwa sana na ilani ya chama cha demokrasia na maendeleo, CHADEMA. Kufurahishwa kwangu huko kumetoka na sera zao ambazo kiukweli zinagusa uchumi wa taifa letu(MACROECONOMICS) na pamoja na uchumi wetu sisi wananchi mmoja mmoja (MICROECONOMICS).

Sera za CHADEMA zenye fungamanisho la sekta ya umma na sekta binafsi (PPP or public-private partnership) ni nguzo katika kukuza uchumi wa nchi na uchumi wa watu wake.

Katika sera hizi mgombea wa CHADEMA nafasi ya Urais Mh. Tundu Antipas Lissu ameanza kuelezea vyema utekelezaji wa sera hizi atakazozisimamia katika kipindi chake cha utawala wa miaka mitano( 2020-2025).

Sera hizi zimekwisha anza kupokelewa na watu wengi maana zinagusa kila kundi ikiwa ni pamoja na Wafanyakazi, Wakulima, Wajasiriamali, Wawekezaji, Wasomi na Wanafunzi wa elimu kuanzia msingi mpaka vyuo vikuu.

Summary ya Sera za CHADEMA katika ilani yake ya 2020:


1.Katiba Mpya (ikiyasimamia maoni ya kamati ya Warioba)

2. Uhuru wa vyombo vya habari.

3. FAO LA KUJITOA LINARUDI
-ukiwa na utayari wa kusitisha mkataba wa kazi, utapokea mafao yako kulingana na mfuko wako mafao.

4. Maduka yasiyotozwa Kodi jeshini yanarudi.

5. Riba za mikopo ya elimu ya juu itashuka kutoka 13% mpaka 3%.

6. Sheria kandamizi zote zenye upendeleo kwa makundi fulani zitafutwa.

7. Maendeleo yatalenga watu na si vitu, kwamba ili nchi ipate maendeleo lazima kwanza watu wake waendelezwe kielimu(maarifa na ujuzi), kiafya na malazi(makazi Bora).


8. Kodi ya ongezeko la thamani VAT itakua 10% kutoka 18% ya Sasa hivi, ili kuchochea na kurudisha matumaini ya watu kurudi katika biashara na kuongeza uzalishaji mali na hivyo kuinua pato la Taifa.


9. Kodi ya ardhi itapunguzwa ili kuifufua sekta ya makazi ambayo katika kipindi hiki cha miaka mitano imefifia.

10. Kupandisha madaraja na mishahara ya wafanyakazi; swala ambalo lipo kisheria na litafanywa na serikali ya CHADEMA chini ya Rais wake Mh. Tundu Antipas Lissu.

11. Mazingira Bora ya uwekezaji. CHADEMA imepanga kuboresha mazingira mazuri ya uwekezaji ikitumia mbinu ya ubia wa sekta ya umma na binafsi katika kuwavutia wawekezaji kupitia punguzo la kodi na uendelezwaji, ufufuaji na uanzishwaji wa maeneo maalum ya kimkakati ya kiuchumi yaani SEZ(Special Economic Zones).

12. Matibabu kwanza malipo baadae; Kupitia bima ya Afya kwa wananchi wote serikali ya CHADEMA imejiandaa kutoa bima kwa wananchi wote ili kuhakikisha wananchi wake wanapata huduma ya Afya bora katika muda wote. Hii itapunguza vifo ambavyo mara kadhaa vimesababishwa na wagonjwa kukosa fedha za matibabu kwa wakati.


13. Kodi ya wafanyakazi kwenye mshahara (PAYE) haitazidi 8%. Serikali ya CHADEMA chini ya Mh. Tundu Antipas Lissu imepanga kutoza kuchukua kodi ya PAYE isiyozidi 8% ili kupunguza kodi kubwa ambayo ni mzigo kwa Wafanyakazi.


14. Masharti ya mikopo kwa Vijana itakua nafuu. Wanafunzi wa elimu ya juu hawata daiwa madeni yao waliyokopeshwa na HSLEB mpaka pale watakapoajiriwa either katika sekta ya umma ama binafsi.

15. Upatikanaji wa Maji Safi na salama kwa gharama nafuu. Serikali ya CHADEMA ikishirikiana na sekta binafsi imejipanga kusambaza na kutengeneza miundombinu ya maji Safi na salama kwa ustawi wa Watanzania.



16. kuboresha miundombinu vijijini. Vijijini ikiwa ndiyo sehemu inayokaliwa na watu wengi ambao ni wazalishaji wa Chakula na malighafi kwa ajili ya viwanda, serikali ya CHADEMA chini ya Mh. Tundu Antipas Lissu imepanga kuimarisha miundombinu vijijini ili kuunganishwa maeneo ya kimkakati ya uzalishaji malighafi shambani na bidhaa viwandani.

Nawasilisha haya machache.

#Mpiga-kura_huru
#Uchaguzi2020
#TUKAPIGE_KURA
#TANZANIA-AFRICA
#VISION2025
#AGENDA2063


View attachment 1552566View attachment 1552568View attachment 1552569View attachment 1552570View attachment 1552571View attachment 1552572
Hiyo slogan ya saccos ya kusema utaleta maendeleo ya watu ni huwafanya watu ni wajinga, kwani ili uweze kufanikiwa ktk hilo ni lazima uwepo kwa yale yalio fanywa na awamu ya tano,hivyo wanavyofanya saccos ni kusaidia treni na kutaka kujifanya kwamba wao ndio walio liona wakati sera ya awamu ya tano ni kufanya hivyo kwa kuanza na miundo mbinu, ambayo sasa inatuwezesha kwenda hilo la watu kwa ubora zaidi
 
Kumbe unachuki zako na wafanyakazi pole sana. Subiri SGR na HEP zitakuja kukusaidia mkulima ahhhhhh.
Zinduka mdanganyika..
Kaongea ukweli, uzuri sisi wafanyakazi tunaona pesa inakoenda, tuliambiwa tufunge mikanda hivyo tunaelewa, zingekuwa zinakusanywa na wanafanya ya hovyo kingeshanuka, nchi ni yetu sote, hizo pesa TL anazotuahidi kutupa atazitoa wapi wakati hapohapo anaahidi kufuta kodi?
 
Teh teh...yaani wakiitwa wenye akili we nawe utapita, kweli vyeti feki lilikuwa tatizo, hasira zenu za kufutwa kazi kwa vyeti feki zisifikie hatua ya kushabikia nchi kuuzwa, haturudi huko kwenye kuifanya nchi dampo, tuko kwenye kuifanya nchi ikompiti kuuza bidhaa zake nje.
Sawa awamu ya viwanda vya cherehani 6 aka ushonaji.
Wewe mkulima ndio una chuki na wafanyakazi maana ulikimbia shule ,huna budi ukomae na kilimo cha jembe la mkono tu.
Mdanganyika.
 
Mtaji wa ccm ni kuwanyima watu Elimu wanashindwa hata kujitambua tu.
Wadanganyika bado wengi.
 
Umemaliza kila kitu mkuu, nilishangaa sana kusikia jamaa tena mwanasheria akitangaza kuifanya nchi dampo tena bila kukusanya kodi, nikajiuliza hayo mengi anayoahidi atapata wapi pesa bila kukusanya kodi? nikapata jibu kwamba TUTAUZWA.
Sijui wanatuchukuliaje hawa watu aisee.
 
Sawa awamu ya viwanda vya cherehani 6 aka ushonaji.
Wewe mkulima ndio una chuki na wafanyakazi maana ulikimbia shule ,huna budi ukomae na kilimo cha jembe la mkono tu.
Mdanganyika.
Hehe..unaona mlivyo, mnahubiri uhuru wa vyombo vya habari na mnayotenda kabla ya kushika madaraka kwa wanahabari yanaogofya, nani kawadanganya nchi ya wafanyakazi pekee hii?
 
Wasalaam wakuu,
Poleni sana na shughuli mbalimbali za kujenga taifa.

Sote katika jukwaa la siasa tumekwisha shuhudia la mgambo likilia kwa vyama mbalimbali kuanza kampeni za uchaguzi wa tarehe 28, oktoba 2020.

Tayari vyama vimekwisha anza kunadi sera zao kupitia wagombea wao. Binafsi nimefurahishwa sana na ilani ya chama cha demokrasia na maendeleo, CHADEMA. Kufurahishwa kwangu huko kumetoka na sera zao ambazo kiukweli zinagusa uchumi wa taifa letu(MACROECONOMICS) na pamoja na uchumi wetu sisi wananchi mmoja mmoja (MICROECONOMICS).

Sera za CHADEMA zenye fungamanisho la sekta ya umma na sekta binafsi (PPP or public-private partnership) ni nguzo katika kukuza uchumi wa nchi na uchumi wa watu wake.

Katika sera hizi mgombea wa CHADEMA nafasi ya Urais Mh. Tundu Antipas Lissu ameanza kuelezea vyema utekelezaji wa sera hizi atakazozisimamia katika kipindi chake cha utawala wa miaka mitano( 2020-2025).

Sera hizi zimekwisha anza kupokelewa na watu wengi maana zinagusa kila kundi ikiwa ni pamoja na Wafanyakazi, Wakulima, Wajasiriamali, Wawekezaji, Wasomi na Wanafunzi wa elimu kuanzia msingi mpaka vyuo vikuu.

Summary ya Sera za CHADEMA katika ilani yake ya 2020:


1.Katiba Mpya (ikiyasimamia maoni ya kamati ya Warioba)

2. Uhuru wa vyombo vya habari.

3. FAO LA KUJITOA LINARUDI
-ukiwa na utayari wa kusitisha mkataba wa kazi, utapokea mafao yako kulingana na mfuko wako mafao.

4. Maduka yasiyotozwa Kodi jeshini yanarudi.

5. Riba za mikopo ya elimu ya juu itashuka kutoka 13% mpaka 3%.

6. Sheria kandamizi zote zenye upendeleo kwa makundi fulani zitafutwa.

7. Maendeleo yatalenga watu na si vitu, kwamba ili nchi ipate maendeleo lazima kwanza watu wake waendelezwe kielimu(maarifa na ujuzi), kiafya na malazi(makazi Bora).


8. Kodi ya ongezeko la thamani VAT itakua 10% kutoka 18% ya Sasa hivi, ili kuchochea na kurudisha matumaini ya watu kurudi katika biashara na kuongeza uzalishaji mali na hivyo kuinua pato la Taifa.


9. Kodi ya ardhi itapunguzwa ili kuifufua sekta ya makazi ambayo katika kipindi hiki cha miaka mitano imefifia.

10. Kupandisha madaraja na mishahara ya wafanyakazi; swala ambalo lipo kisheria na litafanywa na serikali ya CHADEMA chini ya Rais wake Mh. Tundu Antipas Lissu.

11. Mazingira Bora ya uwekezaji. CHADEMA imepanga kuboresha mazingira mazuri ya uwekezaji ikitumia mbinu ya ubia wa sekta ya umma na binafsi katika kuwavutia wawekezaji kupitia punguzo la kodi na uendelezwaji, ufufuaji na uanzishwaji wa maeneo maalum ya kimkakati ya kiuchumi yaani SEZ(Special Economic Zones).

12. Matibabu kwanza malipo baadae; Kupitia bima ya Afya kwa wananchi wote serikali ya CHADEMA imejiandaa kutoa bima kwa wananchi wote ili kuhakikisha wananchi wake wanapata huduma ya Afya bora katika muda wote. Hii itapunguza vifo ambavyo mara kadhaa vimesababishwa na wagonjwa kukosa fedha za matibabu kwa wakati.


13. Kodi ya wafanyakazi kwenye mshahara (PAYE) haitazidi 8%. Serikali ya CHADEMA chini ya Mh. Tundu Antipas Lissu imepanga kutoza kuchukua kodi ya PAYE isiyozidi 8% ili kupunguza kodi kubwa ambayo ni mzigo kwa Wafanyakazi.


14. Masharti ya mikopo kwa Vijana itakua nafuu. Wanafunzi wa elimu ya juu hawata daiwa madeni yao waliyokopeshwa na HESLB mpaka pale watakapoajiriwa either katika sekta ya umma ama binafsi.

15. Upatikanaji wa Maji Safi na salama kwa gharama nafuu. Serikali ya CHADEMA ikishirikiana na sekta binafsi imejipanga kusambaza na kutengeneza miundombinu ya maji Safi na salama kwa ustawi wa Watanzania.



16. kuboresha miundombinu vijijini. Vijijini ikiwa ndiyo sehemu inayokaliwa na watu wengi ambao ni wazalishaji wa Chakula na malighafi kwa ajili ya viwanda, serikali ya CHADEMA chini ya Mh. Tundu Antipas Lissu imepanga kuimarisha miundombinu vijijini ili kuunganishwa maeneo ya kimkakati ya uzalishaji malighafi shambani na bidhaa viwandani.

Nawasilisha haya machache.

#Mpiga-kura_huru
#Uchaguzi2020
#TUKAPIGE_KURA
#TANZANIA-AFRICA
#VISION2025
#AGENDA2063


View attachment 1552566View attachment 1552568View attachment 1552569View attachment 1552570View attachment 1552571View attachment 1552572
Kwanza watupe mrejesho wa sadaka walizochangisha kwenye uzinduzi wa kampeni zao matumizi yake na kiasi gani kinachopatikanaaaa. Nani wakuwaamini chademaaa.
 
Sio watabeza, ni takataka, alisema atafuta kodi, kwamba Leo kuna kodi 15 kwa wafanyabiashara na hazitaji, kwamba akifuta kodi bidhaa kutoka nje zitamwagika nchini, nani alimwambia tunahitaji kurudi kwenye ukoloni wa kuifanya nchi yetu dampo la bidhaa za mabeberu? UPUUZI.
Kwa bahati mbaya siwezi kujibizana na mshamba na limbukeni ambaye hajui dunia inatoka wapi inaelekea wapi, shenzi type.
 
Kwa bahati mbaya siwezi kujibizana na mshamba na limbukeni ambaye hajui dunia inatoka wapi inaelekea wapi, shenzi type.
Poleni sana, jiandaeni kwa aibu hiyo 28 October, hatuchagui mtu alotumwa kutafutia soko mabwana zake na kuifanya nchi yetu dampo la bidhaa zao, kagombeeni uRais wa hiyo dunia ili muipeleke inakoenda na si Tanzania.
 
Sio watabeza, ni takataka, alisema atafuta kodi, kwamba Leo kuna kodi 15 kwa wafanyabiashara na hazitaji, kwamba akifuta kodi bidhaa kutoka nje zitamwagika nchini, nani alimwambia tunahitaji kurudi kwenye ukoloni wa kuifanya nchi yetu dampo la bidhaa za mabeberu? UPUUZI.

ELIMU BILA MAARIFA
 
Hatuhitaji kuwa dampo la bidhaa, hatuhitaji kuwa koloni tena, hatutauzwa tukijiona, huwezi fanya hayo bila kodi kama hujauzwa..bora tufunge mkanda tukiwa huru.

Kodi za madini zinaenda wp?
 
Unazungumza hayo yote, ukiwa umevaa suruali, shati, saa na viatu kutoka China. Sasa bidhaa gani ambazo hazipo zitamwagika nchini. Wacha kuwa na mawazo finyu.

Fuatilia sera za viwanda utajua pole sana
 
Back
Top Bottom