Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Mandonga amekuja na kauli mbiu kwa game inayokuja mwezi ujao.
Sea never dry ,man don't cry.
Ameelezea zaidi atakayekutana naye "atapigwa kama ngoma refa akizembea kidogo tu anakuta mtu amekufa.
Ameongezea kuhusu Kaoneka kulalamika hapati promo, amesema Kaoneka kalaani hela mi sijalaani, nitamtumia kwenye simu ila anapoziokota lazima ale konzi.
Sea never dry ,man don't cry.
Ameelezea zaidi atakayekutana naye "atapigwa kama ngoma refa akizembea kidogo tu anakuta mtu amekufa.
Ameongezea kuhusu Kaoneka kulalamika hapati promo, amesema Kaoneka kalaani hela mi sijalaani, nitamtumia kwenye simu ila anapoziokota lazima ale konzi.