Waache wajipe matumaini tu
Watalia sana hao Mikia FC siku hiyo.
Katika mwaka mashabiki wa Yanga watakao miliki jezi, za timu nyingi ni mwaka huu.Yani mnahama tu timu yatawakuta yaliyowakuta kwenye mechi ya Nkana.
Yes we can.
Simba nguvu Moja.[emoji123][emoji123][emoji123]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ili mradi iwe ya njano,nyeusi na kijaniKatika mwaka mashabiki wa Yanga watakao miliki jezi, za timu nyingi ni mwaka huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila lakheri Saoura