Kauli mbiu ya wana Yanga baada ya Mechi ya leo na Al hilal

Kauli mbiu ya wana Yanga baada ya Mechi ya leo na Al hilal

Yanga anashinda kwa kishibdo leo.timu ngumu kwetu ilikuwa mtibwa naye kala tatu bila.Al Ahlyhawana muunganiko kukaa pamoja tangu wasajili wachezaji.Yanga ya Nabi ni Esparence ya Tunisia. Njoo kesho ucheke mwana yanga !napinga nyumba yangu wewe nipe ndizi,Yanga anashinda leo
 
Leo kushinda mtashinda ila kushinda na NJAA
Yanga anashinda kwa kishibdo leo.timu ngumu kwetu ilikuwa mtibwa naye kala tatu bila.Al Ahlyhawana muunganiko kukaa pamoja tangu wasajili wachezaji.Yanga ya Nabi ni Esparence ya Tunisia. Njoo kesho ucheke mwana yanga !napinga nyumba yangu wewe nipe ndizi,Yanga anashinda leo
 
SEMA INAUMA SANA MTU ANAKUITA NYANI NA ANATAKA MMLIPE[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
"Tunaenda kupindua meza Sudan halafu tar 23 tunawarudia nyie"

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Rage aliwatunuku akili za kuvukia barabara, mnadhindwa kuiongelea timu yenu trip shamba trip gereji mnabaki kuiongelea timu iliyokamilika kila idara? Timu unbeaten mechi 42, aliyewaroga alishaga kufa sio bure,
 
Fei anapiga mbili zlle za nje ya 18.
Nimekaa pale.
 
Yanga anashinda leo. Lakini atatolewa kule sudani
 
Akiruhusu goli hata moja tu, safari yake itakuwa ngumu sana.
 
Yanga anashinda kwa kishibdo leo.timu ngumu kwetu ilikuwa mtibwa naye kala tatu bila.Al Ahlyhawana muunganiko kukaa pamoja tangu wasajili wachezaji.Yanga ya Nabi ni Esparence ya Tunisia. Njoo kesho ucheke mwana yanga !napinga nyumba yangu wewe nipe ndizi,Yanga anashinda leo
Al Hilal hawana muunganiko kabisa.
 
Back
Top Bottom