KAULI NYINGINE HUIBUA FIKRA MCHANGANYIKO

KAULI NYINGINE HUIBUA FIKRA MCHANGANYIKO

Ritchy Breezy

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2020
Posts
479
Reaction score
727
Habari za wakati huu

By nature mimi ni mkimya sana,napenda sana kukaa mwenyewe na huwa nafeel comfortable sana, sipendi kuongea sana ila nikimatch na mtu ni mtu wa kucheka na kuongea sana..Napenda utani.
Kimuonekano niko very humbe,i mean sura yangu ni very innocent kiasi kwamba ni rahisi sana mtu kumweleza jambo na kuniamini haraka..
Post yangu ya mwisho nilieleza kuna mahali nilikuwa,walikuwa wakiniita mchungaji nilijitahidi kukataa mimi si mchungaji kwa kukufanya mambo ya ajabu(cruely)lakini walishikilia sana mwisho nikawa naitika tu japo sikuwa napenda kuitwa hivyo.
Kiuhalisia walikuwa wananiita hivyo sababu ya namna nilivyo na muonekano wa kipole+innocent face lakini hawakujua mimi ni mkorofi mbayaa pale mtu aki mess up kwenye njia zangu asee☠
Tuachane nayo hayo yote,leo nimechill gheto tangu asubuhi ila baadae nkaona siyo kweli acha nitoke niende sehemu fulani,nilipotoka niliwaza na kujiapiza mimi na sigara basi(hii kauli si ngeni kwa watumiaji wa sigara au kilevi chochote)lakini ile kutoka hatua kadhaa nikawaza hii safari bila sigara ni ndefu acha nichukue moja mpaka inaisha nitakuwa nishafika nusu safari,moja kwa moja nkaunga kwa mangi nikaomba moja shida ikawa chenchi ikabidi nichukue mbili(sport)250/=×2 nikachukua na bubylish kukata harufu.
Nikawasha safari na fegi mdogo mdogo ilipokata bahati mbaya nkatupa kile kipande kabla sijawasha nyingine,maduka yako mbali sabu nilipita chocho soln niliyopata nkupita kwa mama mmoja wa genge kuomba kuwasha,nkamsalimia nkaomba kuwasha fegi yangu..akashtuka kidogo then akaniambia "kijana **** hivi unavuta sigara,nkajifanya sijasikia nkamuuliza unasema?! Akarudia vile vile..
Nilicheka kiaina nkawasha nkamshukuru nkaondoka.
Ilibaki kwenye akili yangu sababu ni mtu wa 4 ananiambia maneno haya haya.
Nimebaki najiuliza mimi ni nani?? Anyway ni binadamu kama wengine,Je nafanania au sifananii na hiki ninachokifanya... mambo ni mengi nimetafakari mengine siwezi andika hapa

Je kwako ni kipi uliambiwa na mtu au watu kikakufanya ufikiri au utafakari mustakabali au mwenendo wako?

Mwisho.
 
Upole na ustaarabu unafichia mengi sana, kuna wadau walikuwa wanajuaga mimi ni bubu. Kuna siku kwenye banda umiza ndio wakabaki wanashangaa kumbe huyu mwamba anaongeaga, baada ya hapo tukawa wana sana.

Ukinikuta nimepoa zangu earphone masikioni, data on nipo jf unaweza hisi ni bubu kweli ila nachojipendea ni kuwa naweza kujichanganya popote na yeyote.
 
Upole na ustaarabu unafichia mengi sana, kuna wadau walikuwa wanajuaga mimi ni bubu. Kuna siku kwenye banda umiza ndio wakabaki wanashangaa kumbe huyu mwamba anaongeaga, baada ya hapo tukawa wana sana.

Ukinikuta nimepoa zangu earphone masikioni, data on nipo jf unaweza hisi ni bubu kweli ila nachojipendea ni kuwa naweza kujichanganya popote na yeyote.
Upo kama mimi mkuu,nikiamua nawezakujichanganya na mtu yoyote na popote kwa muda mfupi sana..tofauti na hivyo kimya,earphone music jf>>> banda umiza🙂playstation ndo starehe zangu
 
Habari za wakati huu

By nature mimi ni mkimya sana,napenda sana kukaa mwenyewe na huwa nafeel comfortable sana, sipendi kuongea sana ila nikimatch na mtu ni mtu wa kucheka na kuongea sana..Napenda utani.
Kimuonekano niko very humbe,i mean sura yangu ni very innocent kiasi kwamba ni rahisi sana mtu kumweleza jambo na kuniamini haraka..
Post yangu ya mwisho nilieleza kuna mahali nilikuwa walikuwa wakiniita mchungaji nilijitahidi kukataa mimi si mchungaji kwa kukufanya mambi ya ajabulakini walishikilia sana mwisho nikawa naitika tu japo.
Kiuhalisia walikuwa wananiita hivyo sababu ya namna nilivyo na muonekano wa kipole+innocent face lakini hawakujua mimi ni mkorofi mbayaa pale mtu aki mess up kwenye njia zangu asee☠
Tuachane nayo hayo yote,leo nimechill gheto tangu asubuhi ila baadae nkaona siyo kweli acha nitoke niende sehemu fulani,nilipotoka niliwaza na kujiapiza mimi na sigara basi(hii kauli si ngeni kwa watumiaji wa sigara au kilevi chochote)lakini ile kutoka hatua kadhaa nikawaza hii safari bila sigara ni ndefu acha nichukue moja mpaka inaisha nitakuwa nishafika nusu safari,moja kwa moja nkaunga kwa mangi nikaomba moja shida ikawa chenchi ikabidi nichukue mbili(sport)250/=×2 nikachukua na bubylish kukata harufu.
Nikawasha safari na fegi mdogo mdogo ilipokata bahati mbaya nkatupa kile kipande kabla sijawasha nyingine,maduka yako mbali sabu nilipita chocho soln niliyopata nkupita kwa mama mmoja wa genge kuomba kuwasha,nkamsalimia nkaomba kuwasha fegi yangu..akashtuka kidogo then akaniambia "kijana **** hivi unavuta sigara,nkajifanya sijasikia nkamuuliza unasema?! Akarudia vile vile..
Nilicheka kiaina nkawasha nkamshukuru nkaondoka.
Ilibaki kwenye akili yangu sababu ni mtu wa 4 ananiambia maneno haya haya.
Nimebaki najiuliza mimi ni nani?? Anyway ni binadamu kama wengine,Je nafanania au sifananii na hiki ninachokifanya... mambo ni mengi nimetafakari mengine siwezi andika hapa

Je kwako ni kipi uliambiwa na mtu au watu kikakufanya ufikiri au utafakari mustakabali au mwenendo wako?

Mwisho.
Miki kuna mademu zaidi ya wanne alijua siwezi shoo ila walivyonitunuku nyapi wengine walienda kushonwa
 
Back
Top Bottom