Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio huyo mwehu wenu ni makondakta.Wezi, wala rushwa na mafisadi wana umoja sana..!
Ni kweliiiii🤸
kituo cha kwanza Baaaaresa, katikati hatushushiiiiKauli ipi ilikishangaza toka kwa Kondakta wa Daladala?
Konda anakuambia "oya dingi sogea nyuma apo geuka kiubavu chuma hakijai hiki inajaa ndoo ya maji"kituo cha kwanza Baaaaresa, katikati hatushushiiii
Etihad hiyo, chuma ya Zingiziwa Sokoni
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Konda anakuambia "oya dingi sogea nyuma apo geuka kiubavu chuma hakijai hiki inakaa ndoo ya maji"
MonduliWezi, wala rushwa na mafisadi wana umoja sana..!
Ni kweliiiii🤸
Kuna wengine ukimwambia nishushe unasikia anasema "oraa davoo mweke apo kati"Uku arusha makondakta badala ya kumuuliza abiria unaenda? Wao wanauliza UNAITAKA?
Mkuu sasa atakaa tu nyumbani kama hana cha kufanya?!Kuna kazi ambazo mtoto wangu akizifanya namuua, Bodaboda za pikipiki na Ukonda wa magari ya mjini!
tlime ardhi tunayo, uvivu tuMkuu sasa atakaa tu nyumbani kama hana cha kufanya?!
Au mwanao si riziki ndicho kikuogopeshacho?Kuna kazi ambazo mtoto wangu akizifanya namuua, Bodaboda za pikipiki na Ukonda wa magari ya mjini!
🤣🤣"Siwezi kumsaliti Mag"😎Wezi, wala rushwa na mafisadi wana umoja sana..!
Ni kweliiiii🤸
Ukorofii😂🤣🤣"Siwezi kumsaliti Mag"😎
Mzee mwenye tshirt shika upande mmoja
Pole rafiki🤣🚶♂️🚶♂️🚶♂️Ukorofii😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Uku arusha makondakta badala ya kumuuliza abiria unaenda? Wao wanauliza UNAITAKA?