Kauli utakayosisitizwa na mdada wa JF siku mkionana

Hahaaaaa. Mpaka mtu anakubali kuonana na member mwenzie inaonyesha dhahiri amekubaliana na yote. Sasa hayo ya kuambiana usinifungulie uzi yanafuata nini nadhani ni kutokujiamini tu hapo.

Pia kuna watu ukionana nao yaani kwa jinsi mnavyokuwa mmeshibana hata hayo mawazo huwa hayapo kabisa zaidi ya kufurahi kwa kufanikiwa kuonana.

Poleni msiochuja wa kuonana nao.
 
Sio kwa raha hizi ulizonazo. Embu nimegee ubuyu, ushawahi kuunganisha kijojoleo na member yeyote wa JF?
 
Wanyumbani unaweza kutana na mtu kiroho safi tu labda akakuta alivyokuona ni tofauti na alivyokua anajudhania. Ni vile unatakiwa kuangalia nani unakutana nae. Kuna watu uandishi wao tu unaweza kujua akili yake ya ajabu kiasi gani kwenye maisha ya kawaida.
 
Mimi ukinipm tu nakufungulia uzi.
 
That is the main goal. Yan mfano nikutane na wewe mtoto Emmy alafu nakuona unalipa, kwa nini nisitangaze nia ya kuunganisha 'vyama' vya ASP na TANU?
Hahaaaaa. Aiseeee.

Watu kama nyie ndio mtafanya watu waogope kuwaona yaani ukishaonana na mwanamke mzuri tu basi umeshabadili mawazo. Mmh.

Mie sijawahi. Nilioonana nao naheshimiana nao na hakuna hata mmoja aliyewaza mambo ya kuunganisha viko**leo.
 
Hahaaaaa. Aiseeee.

Watu kama nyie ndio mtafanya watu waogope kuwaona yaani ukishaonana na mwanamke mzuri tu basi umeshabadili mawazo. Mmh.

Mie sijawahi. Nilioonana nao naheshimiana nao na hakuna hata mmoja aliyewaza mambo ya kuunganisha vikojoleo.
Bac mie ntakuwa mwana JF wa kwanza kukuomba unyumba. Plz count on me as your future project...
 
Hahaaaaa. Aiseeee.

Watu kama nyie ndio mtafanya watu waogope kuwaona yaani ukishaonana na mwanamke mzuri tu basi umeshabadili mawazo. Mmh.

Mie sijawahi. Nilioonana nao naheshimiana nao na hakuna hata mmoja aliyewaza mambo ya kuunganisha vikojoleo.
Acha utani Emmy ina maana kama umekutana na mtu humu na anajua uko single na umemvutia unadhani hatatangaza nia ya kuchukua jimbo? Labda kama wanajua umeolewa au uko na mchumba ndo hawataweza maana itakua sio adabu ila wakijua jimbo huru watajaribu tu kutupia wajaribu bahati zao.
 

Kweli kabisa wa nyumbani. Na hizo Imagination za kwamba fulani atakuwa hivi ndio inakuwa sababu ya yote hayo.

Mie naona tuzidi kuwa makini na maandishi ya watu sababu wengine ndio kama hao yaani kajaribu kujikaza kutokuanzisha uzi ila kajikuta kashindwa lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…