Kauli utakayosisitizwa na mdada wa JF siku mkionana

naomba tuonene emmyta wangu...
 
Hivi kwani kuonana kwa member wa jf mpaka wale wakuunganisha vikojoleo. [emoji15] [emoji15] [emoji15]
hahaaa emmyta bhana haya maneno machafu waachie wenyew wazaramo ..wewe sio desturi yako hii
 
hahaaa aisee
 
Hahaa. Hiyo ni kwa wale ma Single ila kama mie haijawahi nitokea Wanyumbani sababu wote ninaoonana nao hakuna aliyewaza tofauti nadhani sababu ni hiyo.
sasa wajua vipi kuwa hajawahi kuwaza tofauti wakati Mawazo huwa nisiri ya mtu kwanza kabla hajaamua kuyawasilisha kwa muhusika Ana wahusika...huwenda wapo wanaokuwazia tofauti ila kwaajili ya vijisababu flani wameamua kuendelea kuyahifadhi Mawazo yao pasipo kukueleza fukuto linalo tokota mioyoni mwao
 
Bora aanzishe uzi aongelee vizuri kama huyu hajaandika kibaya. Kuna mwingine utakuta mmemaliza kuachana anakuja kuweka uzi humu halafu anavyoongelea unaona kabisa anakugusa wewe na anaweka vitu ambavyo vitakuumiza.
Aisee inabidi ufikirie mara mbili kabla hujakubali kukutana na mtu aisee
 
hahaaa emmyta bhana haya maneno machafu waachie wenyew wazaramo ..wewe sio desturi yako hii
Pole Kaka nisamehe bure ndugu yako. Ila nimerekebisha.

Ahsante sana. [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Hahaaaa Haya bana.
 
Duh!unanikumbusha rafiki yangu anatokea maeneo ya mtwara, lindi."ntu na ntu","ntoto".mzima lakini bibie?
Mie mzima kabisa. Sijui wewe?

Nina mdogo wangu ndio huwa ananiharibu. Hahaaaa.
 
Isee !!! Kumbe kuunganisha vikojoleo ni bahati !!? Ngoja nifanye tafiti [emoji16][emoji16][emoji16] !!
 
Isee !!! Kumbe kuunganisha vikojoleo ni bahati !!? Ngoja nifanye tafiti [emoji16][emoji16][emoji16] !!
Eeeh si mpaka unaemtaka akukubali si bahati hiyo kupewa kati ya wengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…