Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchwa wanafaidi huko aliko. Alifikiri ataua upinzani kaenda yeye.
Mungu fundi sana.
Mnajitekenya na kucheka wenyewe.
Magufuli chuma, jiwe, jabaliMchwa wanafaidi huko aliko. Alifikiri ataua upinzani kaenda yeye.
Mungu fundi sana.
Utalialia sana bado ujasema. Chuma kaicha CCM very strong.Mnajitekenya na kucheka wenyewe.
Kwani Upinzani bado upo? 🐼Mchwa wanafaidi huko aliko. Alifikiri ataua upinzani kaenda yeye.
Mungu fundi sana.
Wapinzani mmegawana 1.222%Mnajitekenya na kucheka wenyewe.
Yajayo ndio yatafurahisha ZaidiYule jamaa fulani ndo alisababisha haya yote hadi kufika hii hatua alikuwa mshenzi sana
Mm bnafs skuchaguwa chama sababu n moja naona upizan awako sriaz ivi kwl mgombea asubh na wajumbe wake wanakuja wamelewa alaf ss vjana weng wetu hatpg kura alaf mnategemea watu wazma wamchaguwe kiongoz mlevi upzan ujitafakar kuwaweka wagombea wenye uelewa nn anaenda kukjfanya kweny mtaa wake syo tu anajua kusema P'ps power. hiilipia ni tatzo niliyo iona mtaan kwanguUnajua kauli kama hizi zinachochea vurugu mtaani pasipo na sababu.
CCM imeshinda kwa 99%, ni ushindi mnono sana, hakuna sababu ya kuwazomea waliopata asilimia moko, kufanya hivyo kuna ashiria ushindi huo haukuwa wa kweli.
Wacha visingizio..Kwenye kila sehemu walioshinda CCM walijitokeza maelfu ya watu wakishangilia ushindi walioupata.Kelele za wapinzani zilisikika sehemu chache sana wengi wao wakilalamika bila ushahidi.Inategemea tafsiri ya ushindi. Kuna ule wa kutangazwa na wa uhalisia. Ni mtu kuchagua tu anaouamini.
Amandla...