kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Katiba inawaruhusu, ni wao milele.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajifanya kusahau kuwa mlitaka kuwaengua takriban wabombea wote kutoka upinzani. Ni baada ya kuona aibu ndio mkarudisha baadhi yao. Nia ya kushinda viti vyote kwa hila mlionyesha tokea mwanzo. Na kwenye hilo mmefanikiwa.Wacha visingizio..Kwenye kila sehemu walioshinda CCM walijitokeza maelfu ya watu wakishangilia ushindi walioupata.Kelele za wapinzani zilisikika sehemu chache sana wengi wao wakilalamika bila ushahidi.
Mfano kuna mtaa USA river unaitwa Mji mwema CCM wamepata kura takriban 5000 Chadema kura 120.Bado unalalama na kutafuta visingizio?
Mawakala wamejitokeza na kusema uchaguzi haukuwa na figisu. Badala ya kutafuta chanzo cha kushindwa vibaya mnaleta visingizio.
Huwezi kushinda uchaguzi bila grassroots votes.Kufanya kosa na kulirudia mara kwa mara na kutegemea matokeo tofauti ni ukichaa.