LGE2024 Kauli ya Chadema ya " Watake Wasitake Tutashiriki na Kushinda" imeishia wapi? Naona wamekuwa Wapole mno kuliko enzi za Shujaa Magufuli!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kwa hi
Unajifanya kusahau kuwa mlitaka kuwaengua takriban wabombea wote kutoka upinzani. Ni baada ya kuona aibu ndio mkarudisha baadhi yao. Nia ya kushinda viti vyote kwa hila mlionyesha tokea mwanzo. Na kwenye hilo mmefanikiwa.

Sasa ni wajibu wenu kuboresha maisha ya wananchi wenu kutoka pale zaidi ya miaka 60 ya utawala wenu umewafikisha. Hamna tena kisingizio kuwa wapinzani wanawazuia. Hizo nafasi mlizotangazwa kushinda zina majukumu yake. Fanyeni hima mkawatumikie wananchi wa Tanzania bara. Miaka mitano sio mingi.

Amandla...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…