Wacha visingizio..Kwenye kila sehemu walioshinda CCM walijitokeza maelfu ya watu wakishangilia ushindi walioupata.Kelele za wapinzani zilisikika sehemu chache sana wengi wao wakilalamika bila ushahidi.
Mfano kuna mtaa USA river unaitwa Mji mwema CCM wamepata kura takriban 5000 Chadema kura 120.Bado unalalama na kutafuta visingizio?
Mawakala wamejitokeza na kusema uchaguzi haukuwa na figisu. Badala ya kutafuta chanzo cha kushindwa vibaya mnaleta visingizio.
Huwezi kushinda uchaguzi bila grassroots votes.Kufanya kosa na kulirudia mara kwa mara na kutegemea matokeo tofauti ni ukichaa.