Pre GE2025 Kauli ya DC Longido, Marco Ng’umbi imetibua kidonda cha Uchafuzi wa Uchaguzi sasa wanahaha kujisafisha

Pre GE2025 Kauli ya DC Longido, Marco Ng’umbi imetibua kidonda cha Uchafuzi wa Uchaguzi sasa wanahaha kujisafisha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
426
Kauli ya aliyekua mkuu wa wilaya ya Loliondo mkoa wa Arusha Marco Ng’umbi kua serikali iliwezesha ushindi wa madiwani na baadhi ya wabunge nchini katika uchaguzi uliopita, imetibua kidonda cha madai kua mifumo ya sheria za uchaguzi ili viongozi wanaopatikana watokane na matakwa ya wananchi walio wachagua.

Pia soma: DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Aidha, kauli hiyo imeelezwa kua inakwenda kinyume na falsafa za Rais Samia Suluhu Hassan ambapo amekua akihubiri siasa za maridhiano na kufanyikia kwa uchaguzi ulio huru na wa haki, na kuwataka wasaidizi wake kuhakikisha wanaziishi falsafa hizo za kidemokrasia.

Pia soma: Kuelekea 2025 - DC wa Longido aliyesema alihusika kutengeneza mazingira ya Madiwani kushinda 2020 atenguliwa

IMG_3572.jpeg
 
Kauli ya aliyekua mkuu wa wilaya ya Loliondo mkoa wa Arusha Marco Ng’umbi kua serikali iliwezesha ushindi wa madiwani na baadhi ya wabunge nchini katika uchaguzi uliopita, imetibua kidonda cha madai kua mifumo ya sheria za uchaguzi ili viongozi wanaopatikana watokane na matakwa ya wananchi walio wachagua. Aidha, kauli hiyo imeelezwa kua inakwenda kinyume na falsafa za Rais Samia Suluhu Hassan ambapo amekua akihubiri siasa za maridhiano na kufanyikia kwa uchaguzi ulio huru na wa haki, na kuwataka wasaidizi wake kuhakikisha wanaziishi falsafa hizo za kidemokrasia.View attachment 3085653
Wanatimiza maagizo toka juu
 
Kauli ya aliyekua mkuu wa wilaya ya Loliondo mkoa wa Arusha Marco Ng’umbi kua serikali iliwezesha ushindi wa madiwani na baadhi ya wabunge nchini katika uchaguzi uliopita, imetibua kidonda cha madai kua mifumo ya sheria za uchaguzi ili viongozi wanaopatikana watokane na matakwa ya wananchi walio wachagua. Aidha, kauli hiyo imeelezwa kua inakwenda kinyume na falsafa za Rais Samia Suluhu Hassan ambapo amekua akihubiri siasa za maridhiano na kufanyikia kwa uchaguzi ulio huru na wa haki, na kuwataka wasaidizi wake kuhakikisha wanaziishi falsafa hizo za kidemokrasia.View attachment 3085653
Ameeleza ukweli mchungu sana kuhusu suala la Uchaguzi wa Siasa hapa Tanzania
 
Back
Top Bottom