hizo shule zake zenyewe hazina maadili kabisa, ameruhusu wasichana kuvaa sketi fupi kupita kiasi mpaka inahamasisha ngono hasa wakikaa mapaja yanaonekana barabara,sijui wavulana pale wanasomaje, wasichana wanaruhusiwa kutengeneza nywele kama chuo wanafanya kila aina ya kujiremba, matokeo ya shule four na zero