Huyu Mheshimiwa amenukuliwa na vyombo vya habari kuwa biashara ile kongwe kuliko biashara zingine ya Umalaya ihalalishwe ili kuongezea mapato halmashauri ya wilaya ya Kinondoni.
Ni ukweli mchungu kuwa hii biashara imeshamiri kwenye wilaya ya Kinondoni , ila wasiwasi wangu ni ile kofia nyingine anayovaa kama mmiliki na mwendashaji wa Shule za Green Acre, kwa kauli kama hizi za kushododia biashara ya Umalaya tena wazi wazi na kweupe , watoto wetu kwenye hizo Shule zake wapo kweli kwenye mikono salama?
Kweli hapa tunaweza tukasema ya Kaisari mpe Kaisari?
Ni ukweli mchungu kuwa hii biashara imeshamiri kwenye wilaya ya Kinondoni , ila wasiwasi wangu ni ile kofia nyingine anayovaa kama mmiliki na mwendashaji wa Shule za Green Acre, kwa kauli kama hizi za kushododia biashara ya Umalaya tena wazi wazi na kweupe , watoto wetu kwenye hizo Shule zake wapo kweli kwenye mikono salama?
Kweli hapa tunaweza tukasema ya Kaisari mpe Kaisari?