kauli ya Dr. Slaa kuwa Serikali pekee ndo intakiwa kufungua kesi za jinai

Balacuda

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2013
Posts
1,389
Reaction score
714
Naomba kujua kuhusu kauli hii. Mimi ninavyojua kwa uelewa mdogi nilionao wa mambo ya mahakama. Ni kwamba unaweza kufungua kesi ya jinai ila huna uwezo wa kuifuta au kumsamehe kwani hata kama umefungua kesi bado utaendelea kuhesabiwa ni shahidi. Kwa mfano ukivamiwa na mtu ukaenda kutoa taarifa. Kimsingi ni kesi ya jinai japo kuwa imasimamiwa na serikali lakini wewe uliefungua utahesabiwa kuwa ni shahidi. Kwa maana nyingine hakuna mantiki ya Slaa kukwepa kwenda kufungua kesi. Ni propaganda za kisiasa anazojua kabisa hatafanikiwa mahakamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…