ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Dullah Mbabe akasema alipiga ili watoto wapate ridhiki ya kula na shule japo ni mgonjwa na ana majeraha makubwa, hii ni kauli ya kishujaa Kwa mwanaume inauma kuona watoto wanakosa chakula na masomo ukiwa hai, laZima utafanya shughuli yoyote ya hatari watoto wapate ridhiki.
Dullah Mbabe ni kati ya mabondia maarufu Tanzania, Kwa umaarufu wake tulitarajia atakuwa na kipato cha kulisha familia na mambo yakaenda bila kihatarisha afya yake zaidi
Kupigana akiwa na majeraha ni kuzidi kujiuma na kuuwa kipaji chake ambacho ni faida Kwa Watanzania
Dullah Mbabe anatufikirisha wadau wa ngumi kuwa labda hawa vijana Huwa wanalipwa kiasi kidogo Kwa mchezo wa hatari kama boxing 🥊, huku promotors wakifaidi jasho la hawa vijana wa Kimasikini
Sasa kama Dullah Mbabe ambaye ni professional boxer anapigana akiwa na majeraha ili watoto wale itakuwaje Kwa mabondia wengine wadogo
Hii ni hujuma hata Kwa watazamaji ambao wao wanalipia kiingilio wakijua ni mchezo kumbe boxers wameenda kujitoa mhanga na wapo tayari kupigwa kikubwa wavumilie na kupata pesa ya chakula, hii sio sawa
Juzi tulitoka kumpoteza kijana aliyepigana Kwa malipo ya elf 60 na kuishia kupigwa vibaya labda sababu ya njaa na lishe mbovu yule kijana akapoteza maisha
Bodi ya ngumu tazama maslahi ya mabondia wenu, wawe na uchumi imara na WA one boxing ni kazi ya kuwapa utajiri sio sehemu ya kutafutia pesa ya kula
Dullah Mbabe ni kati ya mabondia maarufu Tanzania, Kwa umaarufu wake tulitarajia atakuwa na kipato cha kulisha familia na mambo yakaenda bila kihatarisha afya yake zaidi
Kupigana akiwa na majeraha ni kuzidi kujiuma na kuuwa kipaji chake ambacho ni faida Kwa Watanzania
Dullah Mbabe anatufikirisha wadau wa ngumi kuwa labda hawa vijana Huwa wanalipwa kiasi kidogo Kwa mchezo wa hatari kama boxing 🥊, huku promotors wakifaidi jasho la hawa vijana wa Kimasikini
Sasa kama Dullah Mbabe ambaye ni professional boxer anapigana akiwa na majeraha ili watoto wale itakuwaje Kwa mabondia wengine wadogo
Hii ni hujuma hata Kwa watazamaji ambao wao wanalipia kiingilio wakijua ni mchezo kumbe boxers wameenda kujitoa mhanga na wapo tayari kupigwa kikubwa wavumilie na kupata pesa ya chakula, hii sio sawa
Juzi tulitoka kumpoteza kijana aliyepigana Kwa malipo ya elf 60 na kuishia kupigwa vibaya labda sababu ya njaa na lishe mbovu yule kijana akapoteza maisha
Bodi ya ngumu tazama maslahi ya mabondia wenu, wawe na uchumi imara na WA one boxing ni kazi ya kuwapa utajiri sio sehemu ya kutafutia pesa ya kula