Kauli ya Feitoto kusema ili arudi Yanga sharti Eng. Hersi aondoke ilikuwa ya ovyo ndiyo maana kaishia magoli 19

Kauli ya Feitoto kusema ili arudi Yanga sharti Eng. Hersi aondoke ilikuwa ya ovyo ndiyo maana kaishia magoli 19

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Huyu jamaa anatakiwa aombe radhi ili afanikiwe. Kati ya vitu nililaani hatochukua kiatu ni yale maneno aliulizwa eti unaongeleaje kurudi Yanga akasema yeye kurudi Yanga labda Eng. Hersi aondoke.

Wewe una akili kweli? Eng. Hersi aondoke kabisa, kha pole sana Feitoto utaishia hivihivi kupambana wenzio wanachukua.

Tukutane ligi ijayo.
 
Yote maisha.
Acha na fei nae apambane .
Sisi mashabiki ndo hatuachi team ila mchezaji ni mtafuta pesa.
 
Huyu jamaa anatakiwa aombe radhi ili afanikiwe. Kati ya vitu nililaani hatochukua kiatu ni yale maneno aliulizwa eti unaongeleaje kurudi Yanga akasema yeye kurudi Yanga labda Eng. Hersi aondoke.

Wewe una akili kweli? Eng. Hersi aondoke kabisa, kha pole sana Feitoto utaishia hivihivi kupambana wenzio wanachukua.

Tukutane ligi ijayo.
Tutajie mchezaji mwingne wa yanga mwenye goli kumi na tisa ukiacha Azizi hamisa!!
 
Yule ni mtoto mdogo alikuwa katumwa na ramba ramba ili wabebe ubingwa huoni wamenufaika sana msimu huu,

Kawafungia magoli 18 yaliyowafanya azam watinge CAF CL msimu ujao huku simba wakilala na viatu
 
Yule ni mtoto mdogo alikuwa katumwa na ramba ramba ili wabebe ubingwa huoni wamenufaika sana msimu huu,

Kawafungia magoli 18 yaliyowafanya azam watinge CAF CL msimu ujao huku simba wakilala na viatu
Hakika Simba walishabikia sana Fei kugombana na Yanga na wakamsapoti 100% sasa amefunga goli za kutosha ambazo zimesababisha MAKOLO WASICHEZE LIGI YA MABINGWA.

Huyu MUNGU huyu!!!
 
Huyu jamaa anatakiwa aombe radhi ili afanikiwe. Kati ya vitu nililaani hatochukua kiatu ni yale maneno aliulizwa eti unaongeleaje kurudi Yanga akasema yeye kurudi Yanga labda Eng. Hersi aondoke.

Wewe una akili kweli? Eng. Hersi aondoke kabisa, kha pole sana Feitoto utaishia hivihivi kupambana wenzio wanachukua.

Tukutane ligi ijayo.
Simba itashinda kuanzia Sasa mfululizo miaka 10
 
Huyo Fei kubwa magoli aliyopata ya mchongo tu ! Mnasahau mechi ya Azam na Tabora United walikuwa wachezaji saba wa Tabora United uwanjani ndipo huyo popoma Fei kubwa akafunga magoli yake manne ya mchongo ! Na hii yote ilikuwa
TIFUA TIFUA wanaindalia Azam ubingwa toka day one ! Lakini wameshindwa !
 
Huyo Fei kubwa magoli aliyopata ya mchongo tu ! Mnasahau mechi ya Azam na Tabora United walikuwa wachezaji saba wa Tabora United uwanjani ndipo huyo popoma Fei kubwa akafunga magoli yake manne ya mchongo ! Na hii yote ilikuwa
TIFUA TIFUA wanaindalia Azam ubingwa toka day one ! Lakini wameshindwa !
Likizo zitaanza Fei atasoma hoja yako huku akaunt imenona pesa za Azam.
 
Aliongea shabiki mmoja wa vyura fc wakati uwo kapakata matako kwenye sofa la shemegi yake akiangalia tv
 
Back
Top Bottom