Kauli ya IGP Sirro inafikirisha kuhusu mauaji ya Mwangosi na uonevu wa polisi

Kauli ya IGP Sirro inafikirisha kuhusu mauaji ya Mwangosi na uonevu wa polisi

kilambimkwidu

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2017
Posts
6,097
Reaction score
7,199
Wakati huu Sirro anapaswa kua mnyenyekevu na kuongoza vikosi vyake kujitathimini na kujirekwbisha kwa mauaji na uonevu waliofanya dhidi ya 'raia wema'.

Ni kweli na ni ukweli mtupu maisha ya polisi hayana thamani yoyote zaidi ya maisha ya raia.

Lakini vipigo, uporaji, mauaji na dhukuma ndicho polisi wanachofanya mara nyingi dhidi ya raia. Ushahidi upo mwingi ikiwemo mauaji ya Mwangosi (mwandishi wa habari)

Itoshe kusema POLISI WANACHOPANDA NDICHO WALICHOVUNA NA WATAENDELEA KUVUNA

CP.jpg
 
Hamza ka act as a catalyst kuamsha morali za wanyonge.Polisi ifike hatua wakue na watambue nao ni watu sio vyuma
 
Hii aione Sirro alafu ajitathmini kama alikuwa na moral authority ya kusema aliyosema jana
 
Hao kwenye picha ni sawa na yule polisi aliekaba mtu Marekani mpaka akaua, yeye alishatakiwa ila hawa waliogombania goli wanapeta tu! Utawala huu shida.
 
Hili jeshi Polisi limekaa kikoloni Kama la ujerumani enzi zile!

Ukatili tu pumbaf zao,kutumia nguvu kwenye kitu Cha kutumia akili

Na ndio maana Kibanga alimpiga mkoloni aliyekua anaogopeka na kuitwa bwana mkubwa

Juzi Hamza kawapiga Polisi wenye Tabia zile zile!

Kibanga ampiga mkoloni

Mkoloni🏃
 
Back
Top Bottom