Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Mhe. Rais Mstaafu J. Kikwete ameandika katika ukurusa wake wa Twitter maneno haya;
Ndoto ya wananchi nikuona vijana wanapata ajira na maslahi yanayoendana na Hali ya uchumi ya Sasa. Nikipata nafasi yakuzungumza na Rais sitasahau kumweleza haya.
Je, Mzee anawashwa Kama akina Hapi, Makonda na vijana wa CCM walivyotuaminisha miaka michache iliyopita? Au yupo sahihi kwamba maslahi na ajira nikipaumbele Cha vijana?
Ndoto ya wananchi nikuona vijana wanapata ajira na maslahi yanayoendana na Hali ya uchumi ya Sasa. Nikipata nafasi yakuzungumza na Rais sitasahau kumweleza haya.
Je, Mzee anawashwa Kama akina Hapi, Makonda na vijana wa CCM walivyotuaminisha miaka michache iliyopita? Au yupo sahihi kwamba maslahi na ajira nikipaumbele Cha vijana?