Kauli ya Jaji Tiganga kwamba huenda Shahidi Ling'wenya alikuwa anapewa majibu ya maswali aliyoulizwa yawaibua Wadau

Dawa ni kuwasomea Albadiri majaji wote wanaonyesha kuleta uonevu kwenye kesi ya mbowe
 
Toka tumboni mwa mama yake and he thought he will get away with it but uovu una mwisho hapa duniani kabla ya hukumu ya haki mbele ya Mungu wake.
Ridiculous !.
 
Kuna uwezekano jaji aliingiza utani kwa jinsi mshitakiwa anavyo jieleza tofauti na mashahidi upande wa mashtaka wanavyo jikanganya kwenye maelezo yao.
 
Nami naliona kwa mtazamo huo. Huenda Jaji, amekinwa na majibu ya shahidi kiasi cha kuonesha utofauti na ushahisi wa mashahidi waliopita.
 
Kuna uwezekano jaji aliingiza utani kwa jinsi mshitakiwa anavyo jieleza tofauti na mashahidi upande wa mashtaka wanavyo jikanganya kwenye maelezo yao.
hata mimi nahisi hivyo hakutegema alivyo smat
 
Mkuu asikupotezee mood huyo, hicho ni kimalaya Cha kwenye mitandao.kinatafuta bwana wa kuki.......
 
Mkuu asikupotezee mood huyo, hicho ni kimalaya Cha kwenye mitandao.kinatafuta bwana wa kuki.......
 
Kachanganyikiwa kabisa yaani!
 
Mna visingizio sana tulieni dawa iwaingie maana mlitamba sana mama anaupiga mwingi.

Mkome kabisa tabia ya kuingilia mahakama.
Huyu shahidi kwanza ametoa ushahidi wake kwa kustukizwa , yaani hakuwa ameandaliwa kabla baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuendelea na mashahidi kwenye kesi ndogo, ni maoni ya watu wengi kwamba maelezo anayotoa yana ukweli wa kiasi kikubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…