Kauli ya kwanza ya Kada wa CHADEMA George Sanga baada ya kuachiwa huru na Mahakama

Kauli ya kwanza ya Kada wa CHADEMA George Sanga baada ya kuachiwa huru na Mahakama

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Kauli ya kwanza ya Kada wa CHADEMA George Sanga baada ya kuachiwa huru na Mahakama.

Hii inakuja baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Iringa alipotangaza kuachia huru wanachama watatu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA akiwemo aliyekuwa Katibu wa Jimbo George Sanga na wenzake Gudluck Mfuse na Octatus Mkwela kutokana na kutokutwa na hatia ya kuhusika na mauaji ya kada wa Chama cha Mapinduzi CCM Emmanuel Mlelewa.

Soma Pia:

 
Kauli ya kwanza ya Kada wa CHADEMA George Sanga baada ya kuachiwa huru na Mahakama.

Hii inakuja baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Iringa alipotangaza kuachia huru wanachama watatu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA akiwemo aliyekuwa Katibu wa Jimbo George Sanga na wenzake Gudluck Mfuse na Octatus Mkwela kutokana na kutokutwa na hatia ya kuhusika na mauaji ya kada wa Chama cha Mapinduzi CCM Emmanuel Mlelewa.
Iko wapi hiyo kauli ???
 
Kauli ya kwanza ya Kada wa CHADEMA George Sanga baada ya kuachiwa huru na Mahakama.

Hii inakuja baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Iringa alipotangaza kuachia huru wanachama watatu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA akiwemo aliyekuwa Katibu wa Jimbo George Sanga na wenzake Gudluck Mfuse na Octatus Mkwela kutokana na kutokutwa na hatia ya kuhusika na mauaji ya kada wa Chama cha Mapinduzi CCM Emmanuel Mlelewa.
Kauli sasa iko wapi?
 
Kauli ya kwanza ya Kada wa CHADEMA George Sanga baada ya kuachiwa huru na Mahakama.

Hii inakuja baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Iringa alipotangaza kuachia huru wanachama watatu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA akiwemo aliyekuwa Katibu wa Jimbo George Sanga na wenzake Gudluck Mfuse na Octatus Mkwela kutokana na kutokutwa na hatia ya kuhusika na mauaji ya kada wa Chama cha Mapinduzi CCM Emmanuel Mlelewa.

Soma Pia:

Ahimiddiwe Bwana kwa Kuwa amesikiliza Dua yako.

Wanafamilia wote wa Chadema tujipongeze tumeanza Mwaka vizuri
 
Kwanza kabla ya yote, huyo George Sanga aulizwe: anamuunga mkono tapeli a.k.a Nkurunzinza wa Machame ama anamuunga mkono mwanamabadiliko a.k.a ukweli na uwazi?
Mkuu si usubiri apumzike kidogo


Hata familia yake hajaisalimia bado.
 
Kwanza kabla ya yote, huyo George Sanga aulizwe: anamuunga mkono tapeli a.k.a Nkurunzinza wa Machame ama anamuunga mkono mwanamabadiliko a.k.a ukweli na uwazi?
Tuanzie hapa kwanza au sio?😂😂

Kwa jinsi hali ilivyo sasa jibu litakalotoka linaweza kufanya raia wakatamani warudi tu ngome
 
Kwanza kabla ya yote, huyo George Sanga aulizwe: anamuunga mkono tapeli a.k.a Nkurunzinza wa Machame ama anamuunga mkono mwanamabadiliko a.k.a ukweli na uwazi?
Watu wote makini wako kwa Lissu nyumbu ndiyo wako kwa Sultan Mbowe
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Kabisa kumkubali Sultan Mbowe ni sawa na kumkubali shetani na mambo yake yote.
Kwahiyo apewe A,B,Cs kabla hajatoa jibu. Aambiwekabisa kuwa, Mbowe aliyekuwa anamjua alikuwa wa bandia, Mbowe halisi amejulikana baada ya Lisu kuchukua fomu ya kugombea umwenyekiti
 
Kauli ya kwanza ya Kada wa CHADEMA George Sanga baada ya kuachiwa huru na Mahakama.

Hii inakuja baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Iringa alipotangaza kuachia huru wanachama watatu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA akiwemo aliyekuwa Katibu wa Jimbo George Sanga na wenzake Gudluck Mfuse na Octatus Mkwela kutokana na kutokutwa na hatia ya kuhusika na mauaji ya kada wa Chama cha Mapinduzi CCM Emmanuel Mlelewa.

Soma Pia:

Jamaa anaonekana ni muimbaji mzuri wa nyimbo za injili.
Gospel anaijua.
 
Kwanza kabla ya yote, huyo George Sanga aulizwe: anamuunga mkono tapeli a.k.a Nkurunzinza wa Machame ama anamuunga mkono mwanamabadiliko a.k.a ukweli na uwazi?
Anamuunga mkono mtu anayechangia chama, sio mwenye maneno matupu halafu michango hatoi
 
anakipaji kilichokua kimejificha sasa kimeonekana kwa watanzania
 
Back
Top Bottom