Kauli ya Lissu dhidi ya madai ya kukutanishwa na Abdul mwezi Oktoba

Kauli ya Lissu dhidi ya madai ya kukutanishwa na Abdul mwezi Oktoba

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA na mgombea nafasi ya Uenyekiti, TunduALissu akizungumza kupitia clubhouse usiku huu amesema, kauli ya Mhe. Ezekiel Wenje hazina ukweli wowote na kwamba hamdai hata shilingi moja na hajawahi kumkopesha.

"kama anasema alinikutanisaha na huyo Abdul basi yeye ni dalali, anasema tulikutana mwezi Oktoba sio kweli mimi nilirudi Tanzania mwezi Novemba hayo aliyozumza hayana ukweli wowote" amesema Lissu na kuongeza kuwa.

"Katika hili niseme wazi hapa, kama kweli nimewahi kuomba msamaha kwenye Kamati Kuu kuhusu suala hilo la Abdul kama Wenje alivyosikika akisema, niombe watoe hadharani ile video nzima iliyokuwa inarekodiwa kikaoni pasipo kuihariri jambo lolote kama watathubutu kufanya hivyo, kwa kuwa walirekodi ili itumike kama ushahidi wa kuondoa sintofahamu kwa umma, mimi napendekeza iwekwe hadharani ama hata sauti tu umma usikilize halafu umma wenyewe utasema umeelewa nini kuhusu chama chao kilipofika na kinapoelekea kama ni salama ama sio salama chini ya watu hao hao watakaosikia uchafu wao".
 
Makamu Mwenyekiti wa
@ChademaTz
na mgombea nafasi ya Uenyekiti,
@TunduALissu
akizungumza kupitia clubhouse usiku huu amesema, kauli ya Mhe. Ezekiel Wenje hazina ukweli wowote na kwamba hamdai hata shilingi moja na hajawahi kumkopesha.

"kama anasema alinikutanisaha na huyo Abdul basi yeye ni dalali, anasema tulikutana mwezi Oktoba sio kweli mimi nilirudi Tanzania mwezi Novemba hayo aliyozumza hayana ukweli wowote" amesema Lissu na kuongeza kuwa.

"Katika hili niseme wazi hapa, kama kweli nimewahi kuomba msamaha kwenye Kamati Kuu kuhusu suala hilo la Abdul kama Wenje alivyosikika akisema, niombe watoe hadharani ile video nzima iliyokuwa inarekodiwa kikaoni pasipo kuihariri jambo lolote kama watathubutu kufanya hivyo, kwa kuwa walirekodi ili itumike kama ushahidi wa kuondoa sintofahamu kwa umma, mimi napendekeza iwekwe hadharani ama hata sauti tu umma usikilize halafu umma wenyewe utasema umeelewa nini kuhusu chama chao kilipofika na kinapoelekea kama ni salama ama sio salama chini ya watu hao hao watakaosikia uchafu wao".
Mbona kichwa cha habari na content yako ni vitu viwili tofauti.....mbona Mbowe anawafunga kila kona CCM na Mbowe wenu mmesha mrambisha asali sasa inakula kwenu hatakua mwenyekiti tena watanzania wanataka vibrate opposition, sio mbowe mzee wa maridhiano.
 
Mtu akiongea ukweli n lazima aonekane mbaya
 
Ktk siasa hilo kweli, ktk dini ukweli ndio unatakiwa, siasa ni uongo tu. Ndio maana kila miaka 5 kuna uchaguzi
Haa haa🤪🤪🤪haa...

Kwa hiyo Tundu Lissu kama anataka kuusema ukweli wote atoke kwenye siasa aende kwenye kueneza dini, au siyo...?

Mimi nikuambie kitu kimoja muhimu sana kuhusu "UKWELI...."

Chanzo cha "KWELI" ni Mungu mwenyewe. Na Mungu huyu anatufundisha wanadamu kuizingatia "KWELI" kwa sababu ndiyo amani na salama ya maisha yetu ya hapa duniani....

Ukitaka kuishi maisha ya taabu na vurugu hapa duniani, itupe au ipuuze "KWELI" kisha chukua au kumbatia "UONGO..."

Nakuambia hivi, hata kama uongo huo utakupa manufaa au faida, basi hayo manufaa ama faida itakuwa ya kitambo kifupi na baada ya muda mateso ya milele...

"UKWELI" ni nyenzo muhimu na ya usalama wa kila mtu ktk nyanja zote za maisha iwe ni ktk siasa, michezo, misikitini, kanisani, kwenye familia nk nk...

Ndiyo maana tunapotambua kuwa tumesema uongo nyakati fulani, huwa tunakimbilia haraka sana kuomba msamaha. Kwanini? Ni kwa sababu KWELI HUMWEKA MTU AWAYE YEYOTE HURU na UONGO SIKU ZOTE NI NIRA NA KIFUNGO CHA NAFSI YA MTU...!!
 
Wajumbe twendeni na lisu,Mr nyeusi nyeusi,nyeupe nyeupe.
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA na mgombea nafasi ya Uenyekiti, TunduALissu akizungumza kupitia clubhouse usiku huu amesema, kauli ya Mhe. Ezekiel Wenje hazina ukweli wowote na kwamba hamdai hata shilingi moja na hajawahi kumkopesha.

"kama anasema alinikutanisaha na huyo Abdul basi yeye ni dalali, anasema tulikutana mwezi Oktoba sio kweli mimi nilirudi Tanzania mwezi Novemba hayo aliyozumza hayana ukweli wowote" amesema Lissu na kuongeza kuwa.

"Katika hili niseme wazi hapa, kama kweli nimewahi kuomba msamaha kwenye Kamati Kuu kuhusu suala hilo la Abdul kama Wenje alivyosikika akisema, niombe watoe hadharani ile video nzima iliyokuwa inarekodiwa kikaoni pasipo kuihariri jambo lolote kama watathubutu kufanya hivyo, kwa kuwa walirekodi ili itumike kama ushahidi wa kuondoa sintofahamu kwa umma, mimi napendekeza iwekwe hadharani ama hata sauti tu umma usikilize halafu umma wenyewe utasema umeelewa nini kuhusu chama chao kilipofika na kinapoelekea kama ni salama ama sio salama chini ya watu hao hao watakaosikia uchafu wao".
Lisu i muongo sana aise,

Wenje alidai walikutana mwezi November na sio October kama anvy obwabwaja kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi.

wenje alidai kama walikutana mwezi wa 11 mwaka jana, na kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi akaja kusema mwezi wa 5 mwaka huu, hapa katikati kilikua kinaendelea nini? :pedroP:
 
Back
Top Bottom