Kauli ya Makonda huenda ikaibua mgogoro mkubwa wa Kikatiba

Kauli ya Makonda huenda ikaibua mgogoro mkubwa wa Kikatiba

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Nipo mahali nimejichimbia nasikia zakunyapia nyapia kauli aliyo itowa mh Makonda ikiwa itatekelezwa itaibua mgogoro mkubwa wakikakatiba jambo litaisumbuwa serikal na hasa ukizingatia mh Makonda yeye sii sehem ya bunge wala sio msemaji wa Bunge.

Pili mwenye Mamlaka na wabunge sio Serikal kuu bali ni bunge na bunge ni muhimili usio na mahusiano na serikali kuu. Hivyo mwenye Mamlaka ni spika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tz.

Tatu raia yeyote wa Tanzania anahaki yakuishi mkoa wowote ilimradi hajavunja sheria yeyote. Raia wa Tanzania anahaki ya kuzaliwa na kuishi ktk eneo lolote la jamuhuri ya muungano hivyo ikiwa kauli ya mh makaonda itafanyiwa kazi kutaibuka jambo lingine linalo weza leta hatari kwa usalama wa nchi.

Nne inasemekana kuwa kuna kitu nyuma ya kauli hata hivyo vyama vya upinzani wna akili sana ndio maana dakika chache baada ya mh makonda kutoa tamko zito alimjibu tena kwa kejeli! Unajuwa Kwanini? Just subiri saa 24 zitapita na hakuna kitakacho tekelezwa.

Tano Rais anaenda kuvunja bunge this people out smart spika na Rais kwa kutokuwepo ktk kuvunja bunge kama walivyo fanya kwenye uzinduz. Ila wametumia njia no body atajuwa nia ya ndani. Na kikatiba wako sawa.



Kiufupi wenye akili wamesha tathmin nakumpa ushauri mwenye taifa akiacha haya akisema haya japo nasikia hatosema wala ahakuna atakaye jibu chochote na huwo ndio mwisho wa picha.
Asante ni tetesi lakini toka huku shimoni.

Update.
Nadhani mmesikia kauli ya spika muda mchache baada ya hii tetesi. Wameshatenguwa kitendawili kimoja sasa bado cha 24 Spika hajasema atawakamata tusubiri..
 
Ile kauli ya lema yakuangalia jicho la tatu
Ameongea ukweli na reference ya kesi ya Mwamwindi dhidi ya Jamuhuri ni relevant katika situation kama hii kwasababu Dr. Kleruu alikua hivi hivi na sifa kama Bashite.

Hivi huyu jamaa hana elimu hata kidogo juu ya sheria. Yeye ana jurisdiction gani juu ya wabunge? Anapata wapi mamlaka ya kufananisha wabunge na machangudoa au wazururaji?
 
Rais Alivyokua Chato mbona mlikuwa mnataka arudi Dar acheni unyumbu pumbavu zenu
 
Ameongea ukweli na reference ya kesi ya Mwamwindi dhidi ya Jamuhuri ni relevant katika situation kama hii kwasababu Dr. Kleruu alikua hivi hivi na sifa kama Bashite.

Hivi huyu jamaa hana elimu hata kidogo juu ya sheria. Yeye ana jurisdiction gani juu ya wabunge? Anapata wapi mamlaka ya kufananisha wabunge na machangudoa au wazururaji?
Hivi ilikuwaje kwani wajameni?
 
Rais Alivyokua Chato mbona mlikuwa mnataka arudi Dar acheni unyumbu pumbavu zenu
Kwani ameshaondoka Chattle? Hatujui sababu za yeye kuwa Chattle badala ya Magogoni au Chamwino, job description yake imempa hizo ofisi kuwa maeneo yake ya kazi tuliyonwajiri. Wabunge wametoa taarifa na sababu za kutokuwa kazini. Sababu zao zina mashiko. Hadi sasa hatujajua sababu za huyo alieko Chattle. Next time usitumie kinyeo kufikiria!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bashite nyoosha hizi nyumbu zinzotaka posho za bure bure wakati wananchi wanaishi kwa jasho mtaani

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo posho whether zinalipwa au hazilipwi, maisha yenu mtaani yataendelea kuwa hivyo hivyo kwa sababu kuna wa.pu.mbavu kama wewe wanaodhani Makonda ana mamlaka ya kumpangia mtu mahali pa kuishi au kuwepo. Endeleeni kufurahia uvunjwaji wa Katiba ila siku mkianza kulawitiwa tena hadharani na hao mnaowashangilia, it will be too late kupata Msaada!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kesi yake IPO tu hata miaka 100 ....Damu za watu haziendi bure
 
Nipo mahali nimejichimbia nasikia zakunyapia nyapia kauli aliyo itowa mh Makonda ikiwa itatekelezwa itaibua mgogoro mkubwa wakikakatiba jambo litaisumbuwa serikal na hasa ukizingatia mh Makonda yeye sii sehem ya bunge wala sio msemaji wa Bunge.

Pili mwenye Mamlaka na wabunge sio Serikal kuu bali ni bunge na bunge ni muhimili usio na mahusiano na serikali kuu. Hivyo mwenye Mamlaka ni spika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tz.

Tatu raia yeyote wa Tanzania anahaki yakuishi mkoa wowote ilimradi hajavunja sheria yeyote. Raia wa Tanzania anahaki ya kuzaliwa na kuishi ktk eneo lolote la jamuhuri ya muungano hivyo ikiwa kauli ya mh makaonda itafanyiwa kazi kutaibuka jambo lingine linalo weza leta hatari kwa usalama wa nchi.

Nne inasemekana kuwa kuna kitu nyuma ya kauli hata hivyo vyama vya upinzani wna akili sana ndio maana dakika chache baada ya mh makonda kutoa tamko zito alimjibu tena kwa kejeli! Unajuwa Kwanini? Just subiri saa 24 zitapita na hakuna kitakacho tekelezwa.

Tano Rais anaenda kuvunja bunge this people out smart spika na Rais kwa kutokuwepo ktk kuvunja bunge kama walivyo fanya kwenye uzinduz. Ila wametumia njia no body atajuwa nia ya ndani. Na kikatiba wako sawa.



Kiufupi wenye akili wamesha tathmin nakumpa ushauri mwenye taifa akiacha haya akisema haya japo nasikia hatosema wala ahakuna atakaye jibu chochote na huwo ndio mwisho wa picha.
Asante ni tetesi lakini toka huku shimoni.

Update.
Nadhani mmesikia kauli ya spika muda mchache baada ya hii tetesi. Wameshatenguwa kitendawili kimoja sasa bado cha 24 Spika hajasema atawakamata tusubiri..
Naam umenena vyema mkuu!
Kwa mantik hiyo mimi nichukue nafasi hii kumuambia KondaBoy mbingunikwetu ww ni mtu wa hovyo sana bro!
mbingunikwetu ww ni kiongozi wa hovyo hujawahi kutokea katika historia ya mama Tanzania!

Umekosa akili, umekosa elimu, huna maarifa wala uelewa wowote, umejaa sifa za kijinga na za kipumbavu, ushabiki wa chama tu ili kutetea ugali wako!

Huna hekma wala busara, nashindwa kuelewa ni criteria gani zimetumika ww kuteuliwa hapo ulipo!
Hovyo sana ww KondaBoy, jirekebishe, maisha kuna leo na kesho, usije kupata tabu sana kesho yako
 
Back
Top Bottom