Kauli ya mbunge Sugu kwamba CCM inachukua watu "Wajinga wajinga" kutoka CHADEMA siyo ya kiungwana

Kauli ya mbunge Sugu kwamba CCM inachukua watu "Wajinga wajinga" kutoka CHADEMA siyo ya kiungwana

Wana kuwa tayari washakatwa mikia ili waingie zizini
Kama mazuzu. Mi sijawahi kuona waliohama wakiwa wachangamfu. Wanakuwa wamezubaazubaa kama wamekamatwa ugoni au kama Waethiopia waliokamatwa Morogoro. Ni kama wanatupiwa nguvu ya giza fulani. Bahati mbaya sina picha.

In God we Trust
 
Wanatukumbusha masaibu yaliyo wakuta mababu zetu
Binadamu anayekubali kugeuzwa geuzwa kama chapati na kufanywa bidhaa huyo ni juha. CCM inaongeza majuha kwenye chama chao.

Sent using Jamii Forums mobile app
FB_IMG_1521609809883.jpeg


In God we Trust
 
Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.

Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.

Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.

Maendeleo hayana vyama!
Na yule mkuu wa nchi wa zamani aliyewaita wateule wake wa ngazi ya juu kabisa kuwa ni malofa, wapumbavu, ulimwambia aachane na lugha za kihuni amuachie Manara?.
 
Katika hali ya kawaida, mtu mwenye akili, hata ile ya kawaida tu, huwezi kukubali kununuliwa kama gunia la maharage.

Kwangu walikuja kundi la viongozi wa CCM wilaya, wakasema kuwa nikikubali kuungana nao nitakuwa mgombea pekee kupitia CCM kwenye ubunge, niliwajibu kiungwana lakini kwa uthabiti. Hawakurudia tena. Wamebakia kuwasumbua ndugu zangu kuwa wanishawishi. Lakini nao majibu yao yamekuwa waxi - kwani ninyi huwa hammwoni anaporudi likizo?

Sioni ubaya kwa chama kushawishi, ndiyo siasa zenyewe. Ni vibaya pale ambapo mtu akikataa, anafanywa adui.
 
Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.

Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.

Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.

Maendeleo hayana vyama!
Alichosema Sugu, kama ni kweli wanatongozwa na wao kukubali, hao ni malaya wa kisiasa na wanachofanya ni tabia ya umalaya malaya alioizungumzia Baba wa Taifa.

Ila sio wote wanaohamia CCM wametongozwa,
Kuna makundi matatu ya wahamaji kutoka Chadema kwenda CCM.
1. Wanasiasa malaya malaya waliotongozwa wakatongozeka, hawa ni watu wa hovyo na hawana maana hata huko CCM, japo wamepokelewa lakini wanadharaulika.

2. Men of principles, hawa ni wanasiasa mature, wanaojua siasa ni nini, walijiunga Chadema kwa sababu ya principles fulani, walipobaini Chadema imeachana na hizo principles nao wakaiacha kundi hili lina kina Masha, Dr. Slaa, Professor Safari and the likes, kamwe hutawasikia wakiibeza Chadema.
3. Survivors, hawa ni wasaka fursa, wasaka tonge na gold diggers ambao wamajitambua kuwa jahazi la Chadema linayumba and soon litazama, hivyo Chadema hakuna fursa tena mambo yote sasa ni CCM, hivyo kuliko kusubiri wazame jumla, wameamua to jump ships kujiokoa, to survive, na kusaka fursa.

Nasisitiza wasibezwe.


P
 
Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.

Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.

Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.

Maendeleo hayana vyama!
Kama ninyi ni wajinga kubalini tu. Wala sio dhambi
 
Mjinga ni yule anashawishi ujinga kufanyika, katika hili KK hakwepi sifa hii. Nenda Tanzania Visiwani nenda sehemu yoyote ile kwenye siasa makini za ushindani, huwezi kukuta ujinga kama huu wa kuwanunua wapinzani wako ili waunge juhudi.

Upuuzi huu umeandikwa kwa wino wa "kinyesi cha kitimoto" ambao watoto na wajukuu wao watakuja kuwadharau daima, upuuzi ambao waasisi wa taifa letu ijapokuwa walikuwa ndio waasisi wa CCM, lkn katu wasingelithubutu kuutenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu acha kufananisha kinyesi cha kitimoto na huo upuuzi wa CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.

Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.

Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.

Maendeleo hayana vyama!
Ana haki ya kikatiba ya kujieleza.

Neno ujinga ni sifa, si tusi.

Hata Nyerere alilitumia katika hotuba.

Sasa na Nyerere naye alikosa uungwana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.

Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.

Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.

Maendeleo hayana vyama!
Mimi nimeirekodi hiyo. Siku akiunga mkono juhudi za Jiwe, tutamtumia.
 
Back
Top Bottom