Kama mazuzu. Mi sijawahi kuona waliohama wakiwa wachangamfu. Wanakuwa wamezubaazubaa kama wamekamatwa ugoni au kama Waethiopia waliokamatwa Morogoro. Ni kama wanatupiwa nguvu ya giza fulani. Bahati mbaya sina picha.
Binadamu anayekubali kugeuzwa geuzwa kama chapati na kufanywa bidhaa huyo ni juha. CCM inaongeza majuha kwenye chama chao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwashee unamwamini Sugu?
Amenituma Sugu!Hata wewe mleta uzi ni mjinga,mnyonge na aliyekutuma naye mwambie ni mjinga.
Na yule mkuu wa nchi wa zamani aliyewaita wateule wake wa ngazi ya juu kabisa kuwa ni malofa, wapumbavu, ulimwambia aachane na lugha za kihuni amuachie Manara?.Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.
Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.
Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.
Maendeleo hayana vyama!
Kweli wajinga wajinga.
Sugu Moto Chini
Nimewasamehe bure bwashee!Pole kwa matusi Mkuu uliyopewa humu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaaaa........ Nimekusamehe bure bwashee!Nikibabu kilicho pigika kimaisha
In God we Trust
Alichosema Sugu, kama ni kweli wanatongozwa na wao kukubali, hao ni malaya wa kisiasa na wanachofanya ni tabia ya umalaya malaya alioizungumzia Baba wa Taifa.Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.
Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.
Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.
Maendeleo hayana vyama!
Kama ninyi ni wajinga kubalini tu. Wala sio dhambiNimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.
Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.
Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu acha kufananisha kinyesi cha kitimoto na huo upuuzi wa CCMMjinga ni yule anashawishi ujinga kufanyika, katika hili KK hakwepi sifa hii. Nenda Tanzania Visiwani nenda sehemu yoyote ile kwenye siasa makini za ushindani, huwezi kukuta ujinga kama huu wa kuwanunua wapinzani wako ili waunge juhudi.
Upuuzi huu umeandikwa kwa wino wa "kinyesi cha kitimoto" ambao watoto na wajukuu wao watakuja kuwadharau daima, upuuzi ambao waasisi wa taifa letu ijapokuwa walikuwa ndio waasisi wa CCM, lkn katu wasingelithubutu kuutenda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana haki ya kikatiba ya kujieleza.Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.
Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.
Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.
Maendeleo hayana vyama!
Mimi nimeirekodi hiyo. Siku akiunga mkono juhudi za Jiwe, tutamtumia.Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.
Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.
Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.
Maendeleo hayana vyama!
O.P. Hoja ya kipumbavu sana kwenye mjadaĺa wenye maslahi mapana kwa Chama chenu CCM. Mbona wewe mpaka leo unaishi kwenu?Labda ye sugu angetuambia kwa nini yupo chadema na kwa nini mpaka leo chadema haina ofisi ya makao makuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika mkuu!Mimi nimeirekodi hiyo. Siku akiunga mkono juhudi za Jiwe, tutamtumia.