Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Nitajie mgombea urais aliyepitishwa na tume ya uchaguzi ya Taifa aliyeanza kampeni mapema ?Nyie upinzani mnajiona nyingi tuuu...ndio mpo..kwann ni nyinyi tuu mnalalama mbona vyama vingine havilalamiki..mna matatizo gani..it means mna matatizo Sana subirini matokeo
Kingunge Ngombale-Mwiru : Kuyumba kwa waTanzania kwa kukaa kimya na kukosa ujasiri wa kusema ukweli ili kudai haki yao ni balaa kubwa lililoikumba nchi ya Tanzania na hata ndani ya chama kama CCM kuna woga huo wa kufuata zile ahadi zaBernard Membe ni mwoga hata akinyimwa haki yake yeye anakubali kwa vile wameshazoea kutii mamlaka hata kama imekosea alisema Mzee Kingunge Ngombale-Mwiru ( RIP)/QUOTE]
Nitajie mgombea urais aliyepitishwa na tume ya uchaguzi ya Taifa aliyeanza kampeni mapema ?Rais wa nyumbu anakatwa mapema xana. Amini usiamini
Mataga project at work. Lete kifungu cha sheria kinachosema hayo maneno yakoTundu lissu, hajatumia busara kabisa katika hili, sitashangaa wala kusikitika endapo tume ikimuengua
Vituko vya kipumbavu vya taifa hili maskini kifikra ni pale wagombea wote wa ccm huwa wanajua kujaza form za kugombea kwa usahihi isipokuwa wagombea wa upinzani.Halafu hii tabia ya kuanza kumuwekea mshindani wako vizingiti mlangoni ili asiingie ulingoni mpambane kwa maoni yangu ni woga uliopitiliza, hasa ikizingatiwa kwamba wewe mwenyewe unajinasibu kwamba umefanya mengi na makubwa. Ningekuwa na uwezo sheria au vikwazo vinavyowekwa ili kum disqualify mgombea vingefutiliwa mbali, hata kama amekosea kujaza fomu aitwe na aelekezwe, ili mwisho wa siku wagombea wakutane uso kwa uso mwenyewe na wapiga kura wao. Pia kwenye kupigiwa kura kwenye masanduku ya kura nyuma yake iwekwe picha ya anayeomba kuchaguliwa na masanduku yapangwe mstari ili kila mpiga kura aende moja kwa moja kwenye mstari wa boksi analomtaka kumpigia kura na iwe live au waandishi waruhusiwe kuchukua matukio moja kwa moja, kama ilivyokuwa uchaguzi wa wajumbe wa CCM.
Aliwapigia kama Nan Rais wa nchi au Mgombea????Walikuwa 200 na magufuli akawapigia simu kwamba amefurahisgwa na nyimbo zinamtukana lissu chadema na wapinzani naamini hajuna sheria ya kumuenguwa Lissu Tume sidhani wanaweze kujishusha hadhi kiasi hicho
Usimsikilize huyo mataga wewe! Mwambie akupe icho kifungu cha sheria cha kuanza kampeniNi kweli Lisu anaweza kukatwa, na sababu zitakazotumika ni hizo ulizotaja, lakini sababu haswa ya yeye kukatwa ni kwakuwa Magufuli hawezi kushindana na Lisu kisiasa, hivyo atatumia madaraka yake kushurutisha Lisu aenguliwe. Na NEC wanajua idadi yao ya kubumba ya wapiga kura 29m+, haiwezi kufanya kazi vizuri iwapo Lisu atakuwa mgombea wa urais, kwani hatakubali matokeo ya kihuni.
Mimi sioni kosa.Mikutano inaruhusia Magufuli mwenyewe alishasema sasa watu wafanye mikutano yeye alikuwa nje miaka mitatu akipita kuwasalimia. Wananchi kosa lipo wapi
Kama kuna mtu hatakuelewa hapa basi ni sikio la kufa.Ni kweli Lisu anaweza kukatwa, na sababu zitakazotumika ni hizo ulizotaja, lakini sababu haswa ya yeye kukatwa ni kwakuwa Magufuli hawezi kushindana na Lisu kisiasa, hivyo atatumia madaraka yake kushurutisha Lisu aenguliwe. Na NEC wanajua idadi yao ya kubumba ya wapiga kura 29m+, haiwezi kufanya kazi vizuri iwapo Lisu atakuwa mgombea wa urais, kwani hatakubali matokeo ya kihuni.
Tulieni dawa ziwaingie vizuri. Maana naona degedege zinawasumbua sana!! Si kwa kuweweseka huko na Lissu 😂😂Aende akagombee Ubeligiji kwa mabwana zake wanaomfilimba!
Msijitoe ufahamu, Lissu ni Makamu Mwenyekiti wa chama chake. Wakati wowote na muda wowote ule hakuna sheria inayomzuia kuwasiliana na Wanachama wake kama ilivyo kwa polepole, mangula, bashiru na wengineo wanavyofanya. CCM acheni bange.Habari wadau,
Kwanza niwapongeze viongozi wote wa vyama vya kisiasa walio Tia Nia ya Kugombea Urais bila kuonyesha dalili zozote za kuchafua nchi
Nanukuu
Rais Magufuli alipoenda kuchukua form Alisema nimekuja peke yangu kwa sababu sitaki kuvunja sheria kwani hairuusiw Mgombea kuongozana na umati wa watu kwenye ofisi za kuchukulia form
Membe Leo kasema kua wametafuta wadhamin Ndani ya mikoa 10 kimia kimia ili kukwepa Mtego. Je, huo Mtego ni upi?
Juzi Tundu Lissu ameanza kutoa vitisho kuwa anasikia wanataka kumkata japo wahusika hawaja taja Jina mtu yeyote wala hawaja ongea habar za kumkata mtu ila wao wamejikita katika misingi ya kuendelea kuwakumbusha wagombea kufata sheria na kusema Atae junja sheria ya uchaguzi Basi wata mshuhulikia
Nacho jiuliza mimi ni haya maneno ya Membe na kwanini Tundu Lissu na chadema wajihisi ni Wao ndio walio Anza kampen kabla ya muda kwanin wajihisi ni wao ndio walio tukana kwann wajihisi ni wao ndio Wata katwa!?
Au wanajua walilo yatenda?
Tukisema tuweke na jeshi la polisi pembeni hakika nakwambia ccm haipiti.Halafu hii tabia ya kuanza kumuwekea mshindani wako vizingiti mlangoni ili asiingie ulingoni mpambane kwa maoni yangu ni woga uliopitiliza, hasa ikizingatiwa kwamba wewe mwenyewe unajinasibu kwamba umefanya mengi na makubwa. Ningekuwa na uwezo sheria au vikwazo vinavyowekwa ili kum disqualify mgombea vingefutiliwa mbali, hata kama amekosea kujaza fomu aitwe na aelekezwe, ili mwisho wa siku wagombea wakutane uso kwa uso mwenyewe na wapiga kura wao. Pia kwenye kupigiwa kura kwenye masanduku ya kura nyuma yake iwekwe picha ya anayeomba kuchaguliwa na masanduku yapangwe mstari ili kila mpiga kura aende moja kwa moja kwenye mstari wa boksi analomtaka kumpigia kura na iwe live au waandishi waruhusiwe kuchukua matukio moja kwa moja, kama ilivyokuwa uchaguzi wa wajumbe wa CCM.
Amefanyaje kwani mkuuTundu lissu, hajatumia busara kabisa katika hili, sitashangaa wala kusikitika endapo tume ikimuengua
Usimsikilize huyo mataga wewe! Mwambie akupe icho kifungu cha sheria cha kuanza kampeni
Wanahatarisha maslahi yao kisissaChadema waliwafanyia nini sisiemu?
Sema ukweli kwanza kwa mwenyekit nyumbu kuvunja Katiba ya chadema na kungangania Madaraka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kingunge Ngombale-Mwiru : Kuyumba kwa waTanzania kwa kukaa kimya na kukosa ujasiri wa kusema ukweli ili kudai haki yao ni balaa kubwa lililoikumba nchi ya Tanzania na hata ndani ya chama kama CCM kuna woga huo wa kufuata zile ahadi za
- "Nitasema Kweli Daima Fitina Kwangu Mwiko",
- "Binadamu Wote Ni Sawa Na Wanastahili Heshima Na Utu",
- "Nitatumia Akili Zangu Zote "
WanaCCM hawawezi kutumia akili zao zote kujenga hoja za kweli
Kauli ya Membe inatuibitisha kuwa yeye Ni pandikizi mzoefu kama Lowassa anatengeneza mazingira ya nec yawe rahisi.Habari wadau,
Kwanza niwapongeze viongozi wote wa vyama vya kisiasa walio Tia Nia ya Kugombea Urais bila kuonyesha dalili zozote za kuchafua nchi
Nanukuu
Rais Magufuli alipoenda kuchukua form Alisema nimekuja peke yangu kwa sababu sitaki kuvunja sheria kwani hairuusiw Mgombea kuongozana na umati wa watu kwenye ofisi za kuchukulia form
Membe Leo kasema kua wametafuta wadhamin Ndani ya mikoa 10 kimia kimia ili kukwepa Mtego. Je, huo Mtego ni upi?
Juzi Tundu Lissu ameanza kutoa vitisho kuwa anasikia wanataka kumkata japo wahusika hawaja taja Jina mtu yeyote wala hawaja ongea habar za kumkata mtu ila wao wamejikita katika misingi ya kuendelea kuwakumbusha wagombea kufata sheria na kusema Atae junja sheria ya uchaguzi Basi wata mshuhulikia
Nacho jiuliza mimi ni haya maneno ya Membe na kwanini Tundu Lissu na chadema wajihisi ni Wao ndio walio Anza kampen kabla ya muda kwanin wajihisi ni wao ndio walio tukana kwann wajihisi ni wao ndio Wata katwa!?
Au wanajua walilo yatenda?
Upinzan hasa chadema kinacho wakost ujuaji tu kama Jana tundulisu anatoka kwenye kiapo eti nimetoka kusain makaratasVituko vya kipumbavu vya taifa hili maskini kifikra ni pale wagombea wote wa ccm huwa wanajua kujaza form za kugombea kwa usahihi isipokuwa wagombea wa upinzani.
Kaweke pingamizi hapa sio NEC na wala tusifokeane.Ile UHURU kuna jambo wana muziki zaidi ya 100 haikuwa kampeni?? Tusifokeane
Anajiona ana akili kushinda waTz wote hivyo yeye kuwa kiongozi wa nchi inamfaa.Upinzan hasa chadema kinacho wakost ujuaji tu kama Jana tundulisu anatoka kwenye kiapo eti nimetoka kusain makaratas
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app