hamidshaban
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 262
- 32
Kwani rais ana mtoto mmoja tu? Wamuombe mwingine awasaidie?iv wangekuwa wamemsainisha angendaje yanga? Hope alihisi uswahili flan.Two wrongs do not make it right
Kama Rage ni mhalifu basi sio sababu ya Ridhiwan
kuinyang'anya Simba mchezaji waliomsajili kwa ubabe wa 'mtoto wa Rais'
Kama mlimsikiliza jana akilalamika alivyozungukwa na Yanga kuhusu yule mchezaji wa APR na Limpompo ya DRC.. Kama ulimsikiliza vizuri kuna mahali kamtunishia misuri hata mkuu wa inchi, hivi Rage yukoje? Na maovu yote aliyonayo ya wizi, kufungwa, bado mkuu wa inchi kenda Tabora wakati wa uchaguzi mkuu kamnadi kamshika na mkono amewaonyeshea wapiga kura wake,amemfanyia kampeni, leo hii anamtunishia misuri .
Nimechoka mwili mzima.
Two wrongs do not make it right
Kama Rage ni mhalifu basi sio sababu ya Ridhiwan
kuinyang'anya Simba mchezaji waliomsajili kwa ubabe wa 'mtoto wa Rais'
Kama mlimsikiliza jana akilalamika alivyozungukwa na Yanga kuhusu yule mchezaji wa APR na Limpompo ya DRC.. Kama ulimsikiliza vizuri kuna mahali kamtunishia misuri hata mkuu wa inchi, hivi Rage yukoje? Na maovu yote aliyonayo ya wizi, kufungwa, bado mkuu wa inchi kenda Tabora wakati wa uchaguzi mkuu kamnadi kamshika na mkono amewaonyeshea wapiga kura wake,amemfanyia kampeni, leo hii anamtunishia misuri .
Nimechoka mwili mzima.
Dhaifu wake ndo unamfanya aonekane mpuuzi tu;huwez kulalamika kwa jambo unalolihusudu nawe pia smba na yanga ubabaishaji tu;why hajazungumzia tuhuma za redondo toka azam?
Umechoka labda umevujwa na damu nyingi leo..Rage hajamlalamikia mkuu wa nchi bali amemlalamikia mtoto wa kigogo serikalini,pili mchezaji si wa fc Lupopo bali wa APR na ushahidi upo kwamba amekuwa APR kwa miaka 6...
inawezekana huyo raisi naye alitengenezwa akiulizwa amruke rage,maneno ya rage yanaweza kuwa na ukweli pia ukizingatia huu mwezi watu wa imani yake huwa wanauheshimu sana,cdhani kama anaweza kungopa ingawaje inawezekana pia kwani binadamu pia hatueleweki
kwa hiyo yanga ilipigwa 5 na matapeli...? mbona huzungumzii MAFISADI WANAOIFANYA YANGA CHAKA LA KUFICHA UOVU WAO?....AMA KWELI CHONGO NI MFALME WA VIPOFU....Ndugu wapenzi wa michezo
najua wapo wanaochekelea kinachoendelea mzozo wa mchezaji m.twite wa kutoka rwanda
lakini kabla ya kuanza kushangilia m kama mpenda michezo sipendi kuamini kilichotokea
ila napenda kuona masahahihisho kwa yaliotokea..najua kuna mtu mmoja alimwingiza
chaka mzee wetu aden rage na kukimbilia kigali na kumkabidhi kijana hela na kusainisha
kabla ya kupiga nae picha na kuzituma dar
nafikiri imefika wakati wa mashabiki wa simba kujiuliza mna uongozi ama mna matapeli wa uongozi??sisemi kw ambaya nasema kwa ajili ya kulinda fedha zenu kwa matukio yafuatayo
.dan mrwanda
huyu alishuka kwenye ndege mkamkimbilia mkijua kijana amefika kaamua kuudi zamazake na kumkabidhi kitita kikubwa tu..sisemi kwa mabaaya ila naweka wazi kuna viongozi wa simba wanakula pesa za simba na wachezaji kwa minajili ya kuwasajili..hata wakiwachinjia baharini awaoni umuhimu wa pesa waliopoteza hata kidogo
amekuja mchezaji kutoka nje wakamshupalia kwelii oooh kaja kumaliza tatizo la yondani wewe rage wewe siaisa mchezon mbaya na hazina adabu hata kidogo mh hon....sidhani kama mnajutia zile pesa mmlizompa yule kijana mbaya zaidi akaleta mwenzake nae akawala hela zenu majuzi mmewastaafisha kwa manufaa ya umma na danymrwanda..
Sasa basi ni wakati wenu wanachama kudai haki zenu ikiwa ni pamoja nakudai zile pesa viongozi wachache waliotoa kwa wachezaji zaidi ya 4 alafu amkuwasajili hizo pesa anarusiha nani??na zimetoka wapi??na kama ni za simba iweje kila mtu anasajili ***** alafu watu wanakamata chao....amuoni kuna watu wanajinufaisha kipindi cha usajili kwa mgongo wa wachezaji wa nje..nasema hivi subirini vituko mlivyoletakutoka ivorycoast naamini mtakuwa mashahidi simba na yanga na naamini amtawafukuza maana dirisha litakuwa limeshafungwa
washabiki wa simba juen haki zenu sio kila mtu anasajili kisa mnaambiwa katoka nje wenzenu wanaenda nje kusema nao kabisa nakupa hiki mshahara kiasi fulan na kila mwezi naitaji kiasi fulani na kikiingia tu naingia atm nijue umetuma ama lah else kiwango chako kitashuka shauri zako
wauliezeni yanga jamani na mba ....waulizeni assamoah walipoona mishara aiji kwa muda wakafwatilia wlaikuta wanalipwa ngapi na wanazopata ngapi ni vituko/.....hawa wachezaji wa nje ni mitaji ya viongozi muwe makini
mwisho naamini makosa aliofanya rage ameyaelewa pamoja na ujuzi kwwenye mpira basi kosa hili alitorudiwa tena else twakukaribisha jumamosi airport jnia kumpokea m.t