900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
Kwanini police wasijue kazi yao kutafuta ushahidi au kwasababu wao ndo watuhumiwaMsingi wa kesi ni ushahidi. Wanajua wakishasema hivyo hakuna atakauejitokeza na kesi inafia japo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini police wasijue kazi yao kutafuta ushahidi au kwasababu wao ndo watuhumiwaMsingi wa kesi ni ushahidi. Wanajua wakishasema hivyo hakuna atakauejitokeza na kesi inafia japo.
Sasa watafute ushahidi ili uwafunge wenyewe? Wewe unaweza kutafuta ushahidi wa kukutia hatiani wewe mwenyewe?Kwanini police wasijue kazi yao kutafuta ushahidi au kwasababu wao ndo watuhumiwa
HAPA HAWANA INTELLENSIA ILA SUBURI CHADEMA WASEME MKUTANOYaani police na idara zake Bado Zinataka taarifa Gani mpya kuhusu kutekwa Kwa Mzee Kibao
1. Mzee Kibao katekwa mchana mbele ya abiria zaidi ya 60
Fuatilia abiria wawape ushahidi
3 Akipanda bus la Tashrif kampuni inajulikana
Wafateni dereva na kondakta wawape ushahidi
3.Gari zilizo block njia inasemekana lilikuwa na plate namba za serikali.
Kwaiyo walipokuwa na hilo gari hawajulikani
4 TANZANIA yetu watu wa kutembea na bunduku na pingu wanatoka wapi.
Waziri Masauni umetia hasira kuongea kauli hiyo msibani badala uamrishe polisi kuchukua hatua haraka.
Masauni unamkwamisha na kumchafua Rais wetu
Masauni jiuzulu haraka