Kauli ya Naibu Waziri Katambi itoshe kufukuzwa kazi

Kauli ya Naibu Waziri Katambi itoshe kufukuzwa kazi

Na Mwigulu alivyosema tusiozilewa tozo twende burundi twende burundi kwani mlimfanyaje.

Mwingine alishawahi kusema tule manyasi.
Kuna haja ya mawaziri baada ya kuapishwa wapewe semina elekezi kuhusu diplomasia.
Inashangaza mtu ana elimu ya uzamivu lakini anakuwa mweupe kabisa kwenye nyanja ya diplomasia.
Ukisha kuwa kiongozi ngazi ya waziri,ukitamka neno lolote ni tamko la serkali hivyo ili kulinda heshima ya Serkali kwa wakati wote, ni vyema viongozi wakafundwa ili kunusuru aibu na uvunjifu wa diplomasia (Breach of diplomacy).
 
Kuna haja ya mawaziri baada ya kuapishwa wapewe semina elekezi kuhusu diplomasia.
Inashangaza mtu ana elimu ya uzamivu lakini anakuwa mweupe kabisa kwenye nyanja ya diplomasia.
Ukisha kuwa kiongozi ngazi ya waziri,ukitamka neno lolote ni tamko la serkali hivyo ili kulinda heshima ya Serkali kwa wakati wote, ni vyema viongozi wakafundwa ili kunusuru aibu na uvunjifu wa diplomasia (Breach of diplomacy).
Anayewafunda nani hadi akafundika ikiwa kipaumbele ni kujibu maswali ya wabunge ili kumfurahisha mteuzi siyo kukidhi kwa vitendo mahitaji ya watu.MFUNDAJI NANI? Au naye anahitaji kufundwa
 
Support kuwadhihaki vijana Ni kuwakosea heshima.
 
Ni fedheha na aibu kubwa kwa naibu waziri ndugu Katambi kutoa majibu yale ya kudhalilisha vijana wa nchi hii Kwa swali aliloulizwa.

Kujibu kuwa vijana ambao hawajafanikiwa kupata mikopo inayotolewa na halmashauri watokako kutokana na fedha kidogo zinazokusanywa na halmashauri ama wingi wa vijana wenye uhitaji kuwa sio wazawa wa Tanzania au ATI ni wakenya haivumiliki na itoshe aiachie ofisi na nafasi yake na ikimpendeza CCM imvue ubunge anaoringia.

Nawashangaa UVCCM wameuchuna kana kwamba kauli hiyo ya Naibu Waziri ni pambio la kusifu na kuabudu.

Mh. Rais Yale mabega uliyoonya yasipandishwe Katambi kaipuuza na kulinanga kundi kubwa la wapiga kura wako ambao kimsingi wanataabika kwa shida mbalimbali zikiwemo kufukuzwa maeneo wanakofanyia shughuli zao na kuharibiwa mitaji Yao ambayo serikali haijui waliipataje.

Nitakushangaa Sana wewe Mh. Rais na UVCCM kumvumilia Naibu Waziri Katambi kwani amejidhihirisha wazi kuwa kati ya viongozi wanaokuhujumu na kukuchonganisha wewe na vijana ambao Kwa wingi wao wakiamua kujibu mapigo itakuwia vigumu mno kuwatuliza! Mtimue aende zake.
Tatizo sio uyo kipenyo,tatizo ni Bunge la chama kimoja, watu wako mle hawasomi ,hawafanyi tafiti, ukisema hata kwamba KWa Mara ya KWANZA tz nyoka amegeuka kuwa chura,ni makofi ni makofi tu, bila kuuliza ,how,where, true, how possible,
Sasa Kama Bunge lingekua liko vizuri mda hule angejuta

Tusiangalie tatizo ila chanzo Cha tatizo ,mfano Ndugai sio speaker je kipi kimebadilika? Thanks
 
Kuna haja ya mawaziri baada ya kuapishwa wapewe semina elekezi kuhusu diplomasia.
Inashangaza mtu ana elimu ya uzamivu lakini anakuwa mweupe kabisa kwenye nyanja ya diplomasia.
Ukisha kuwa kiongozi ngazi ya waziri,ukitamka neno lolote ni tamko la serkali hivyo ili kulinda heshima ya Serkali kwa wakati wote, ni vyema viongozi wakafundwa ili kunusuru aibu na uvunjifu wa diplomasia (Breach of diplomacy).
Bora angekuwa mjinga tungesema semina ingemsaidia ila anakipaji cha upumbavu, ushamba na uzuzu hasaidiki.
 
Ni fedheha na aibu kubwa kwa naibu waziri ndugu Katambi kutoa majibu yale ya kudhalilisha vijana wa nchi hii Kwa swali aliloulizwa.

Kujibu kuwa vijana ambao hawajafanikiwa kupata mikopo inayotolewa na halmashauri watokako kutokana na fedha kidogo zinazokusanywa na halmashauri ama wingi wa vijana wenye uhitaji kuwa sio wazawa wa Tanzania au ATI ni wakenya haivumiliki na itoshe aiachie ofisi na nafasi yake na ikimpendeza CCM imvue ubunge anaoringia.

Nawashangaa UVCCM wameuchuna kana kwamba kauli hiyo ya Naibu Waziri ni pambio la kusifu na kuabudu.

Mh. Rais Yale mabega uliyoonya yasipandishwe Katambi kaipuuza na kulinanga kundi kubwa la wapiga kura wako ambao kimsingi wanataabika kwa shida mbalimbali zikiwemo kufukuzwa maeneo wanakofanyia shughuli zao na kuharibiwa mitaji Yao ambayo serikali haijui waliipataje.

Nitakushangaa Sana wewe Mh. Rais na UVCCM kumvumilia Naibu Waziri Katambi kwani amejidhihirisha wazi kuwa kati ya viongozi wanaokuhujumu na kukuchonganisha wewe na vijana ambao Kwa wingi wao wakiamua kujibu mapigo itakuwia vigumu mno kuwatuliza! Mtimue aende zake.
Acheni wivu mbona mwigulu aliwaambia mkaishi Burundi
 
Ni fedheha na aibu kubwa kwa naibu waziri ndugu Katambi kutoa majibu yale ya kudhalilisha vijana wa nchi hii Kwa swali aliloulizwa.

Kujibu kuwa vijana ambao hawajafanikiwa kupata mikopo inayotolewa na halmashauri watokako kutokana na fedha kidogo zinazokusanywa na halmashauri ama wingi wa vijana wenye uhitaji kuwa sio wazawa wa Tanzania au ATI ni wakenya haivumiliki na itoshe aiachie ofisi na nafasi yake na ikimpendeza CCM imvue ubunge anaoringia.

Nawashangaa UVCCM wameuchuna kana kwamba kauli hiyo ya Naibu Waziri ni pambio la kusifu na kuabudu.

Mh. Rais Yale mabega uliyoonya yasipandishwe Katambi kaipuuza na kulinanga kundi kubwa la wapiga kura wako ambao kimsingi wanataabika kwa shida mbalimbali zikiwemo kufukuzwa maeneo wanakofanyia shughuli zao na kuharibiwa mitaji Yao ambayo serikali haijui waliipataje.

Nitakushangaa Sana wewe Mh. Rais na UVCCM kumvumilia Naibu Waziri Katambi kwani amejidhihirisha wazi kuwa kati ya viongozi wanaokuhujumu na kukuchonganisha wewe na vijana ambao Kwa wingi wao wakiamua kujibu mapigo itakuwia vigumu mno kuwatuliza! Mtimue aende zake.
Mkuu wewe una chuki binafisi na katambi, kauli aliyoitia haimanishi kuwa amewadharau vijana wa kitanzania isipokuwa yeye amesema waluowengi na wenye sifa za kupewa mikopo hiyo walishapewa na kuhusu kusema kuwa ni wakazi wa kenya amemaanisha kuwa kama ni mkazi wa tanzania na anasifa za kupata mkopo tayari ameshafikiwa na mkopo huo! Kauli hizo kwa wanasiasa ni za kawaida isipokuwa mapokeo ya umma ndiyo mtihani unakuja
 
Back
Top Bottom