Kauli ya Nape imenisononesha hata kama ni utani

Kauli ya Nape imenisononesha hata kama ni utani

tripof

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2024
Posts
829
Reaction score
1,120
Mimi ni mwanachama wa chama cha Mapinduzi CCM kindakindaki lakini ninaamini katika demokrasia, uchaguzi huru na wa haki katika kuijenga nchi na umoja wa kitaifa. Nimesikitishwa na kauli ya Waziri Nape kuwa matokeo yana tegemea anayehesabu na kutangaza matokeo ya kupiga kura na uchaguzi na siyo sanduku la kura.

Kauli kama hii inapingana na falsafa ya CCM ya 4R inalenga kurejesha Umoja uliomomonyoka kipindi cha awamu ya 5, kipindi cha JPM ambapo hata yeye amesahau kuwa ni mhanga na aliathirika na utawala huo,alipaswa aongoze kutetea haki,demokrasia na utawala bora.

Matokeo ya Uchaguzi 2019/2020 yalikosa uthamani na maana kiasi ya kuwa na Bunge lenye Taswira ya chama kimoja na bado upinzani tumesaidia kuungozea nguvu nje ya Bunge hatukuweza kuuzika tujifunze, Kauli ya Nape kisiasa ina maanisha kuwa CCM haina uhalali wa kutawala, kisheria ilivunja katiba na haizingatii maadili ya uchaguzi.

Si kweli, kauli kama hizi ni za dharau na huchochea machafuko. Nape amezoea kuropoka asome mazingira ya kisiasa kwa sasa. Akiwa kama kijana mwanasiasa anayetarajiwa kwa baadaye ajifunze kuzungumza kwa busara na hekima bila kukichafua chama. Makamu Mwenyekiti wa CCM ametumia muda mwingi sana kuwasihi vyama vya upinzani na wananchi kuwa safari hii hayatatokea madhaifu kama ya 2019/2020. Na kuwataka warudishe imani kwa chama cha CCM.

Pia Rais akaja na 4R ambazo alizitetea mbele ya mabarozi nchi za nje kuwahakikishia wawakilishi hao kuwa uchaguzi utakuwa wa huru na haki. Tusikubali ccm kuingia kwenye mtego huo. Tumesikia akina Msigwa nao wakilalamikia michezo michafu upande wa pili. Sisi ni chama kiongozi tuongoze kwa mifano bora. kujenga imani ya wananchi ni kazi kubwa kuliko kuibomoa. Kwa sasa wananchi wengi wanaweza kuacha kujiandikisha wakiamini matokeo ya uchaguzi tayari yameishapangwa kama yale ya 2020.

Dr Kitima alisema tutasambaratisha nchi kwa hali hii. Tusimkwaze mama yetu ambaye amejidhihiri ni mcha Mungu wa kweli na mwana demokrasia wa kweli duniani.

Pia soma==>> Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
 
See
 

Attachments

  • IMG-20240717-WA0000.jpg
    IMG-20240717-WA0000.jpg
    78.3 KB · Views: 6
Hivi huwa mnasahau kirahisi,au mnadhani kuwa watu hawajui kinachofanyika kkwenye uchaguzi?

Kauli ya Nape sii ya bahati mbaya,wala sii utani.Ni ukweli halisi wa kile ambacho CCM hufanya ili kushinda.

Hii siyo kauli ya kwanza kutoka kwa Nape kuhusu uchaguzi na kutangaza matokeo.Alishawahi kusema kuwa CCM itashinda hata kwa bao la mkono.Kauli za namna hii kutoka kwa mtu ambaye amekuwa kwenye kitovu cha madaraka haziwezi kuwa utani wala bahati mbaya.
Shida ni kwenu ninyi mnaotaka kuiaminisha jamii kuwa Nape anatania.Tofauti yenu na Nape ni kuwa yeye anao ujasiri wa kukiri kuwa ccm huwa inaiba uchaguzi wakati nyie huo ujasiri hamna.
 
Kamdharau aliemteua kwa 💯
Watu wa hivi ni kuwafuta kwenye siasa kabisa yaani apigwe ban hata ya kuwa balozi wa nyumba 10
Hakuna cha katiba wala nini
 
Mimi ni mwanachama wa chama cha Mapinduzi CCM kindakindaki lakini ninaamini katika demokrasia, uchaguzi huru na wa haki katika kuijenga nchi na umoja wa kitaifa. Nimesikitishwa na kauli ya Waziri Nape kuwa matokeo yana tegemea anayehesabu na kutangaza matokeo ya kupiga kura na uchaguzi na siyo sanduku la kura.

Kauli kama hii inapingana na falsafa ya CCM ya 4R inalenga kurejesha Umoja uliomomonyoka kipindi cha awamu ya 5, kipindi cha JPM ambapo hata yeye amesahau kuwa ni mhanga na aliathirika na utawala huo,alipaswa aongoze kutetea haki,demokrasia na utawala bora.

Matokeo ya Uchaguzi 2019/2020 yalikosa uthamani na maana kiasi ya kuwa na Bunge lenye Taswira ya chama kimoja na bado upinzani tumesaidia kuungozea nguvu nje ya Bunge hatukuweza kuuzika tujifunze, Kauli ya Nape kisiasa ina maanisha kuwa CCM haina uhalali wa kutawala, kisheria ilivunja katiba na haizingatii maadili ya uchaguzi.

Si kweli, kauli kama hizi ni za dharau na huchochea machafuko. Nape amezoea kuropoka asome mazingira ya kisiasa kwa sasa. Akiwa kama kijana mwanasiasa anayetarajiwa kwa baadaye ajifunze kuzungumza kwa busara na hekima bila kukichafua chama. Makamu Mwenyekiti wa CCM ametumia muda mwingi sana kuwasihi vyama vya upinzani na wananchi kuwa safari hii hayatatokea madhaifu kama ya 2019/2020. Na kuwataka warudishe imani kwa chama cha CCM.

Pia Rais akaja na 4R ambazo alizitetea mbele ya mabarozi nchi za nje kuwahakikishia wawakilishi hao kuwa uchaguzi utakuwa wa huru na haki. Tusikubali ccm kuingia kwenye mtego huo. Tumesikia akina Msigwa nao wakilalamikia michezo michafu upande wa pili. Sisi ni chama kiongozi tuongoze kwa mifano bora. kujenga imani ya wananchi ni kazi kubwa kuliko kuibomoa. Kwa sasa wananchi wengi wanaweza kuacha kujiandikisha wakiamini matokeo ya uchaguzi tayari yameishapangwa kama yale ya 2020.

Dr Kitima alisema tutasambaratisha nchi kwa hali hii. Tusimkwaze mama yetu ambaye amejidhihiri ni mcha Mungu wa kweli na mwana demokrasia wa kweli duniani.

Pia soma==>> Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
Kwani,ukikaa ukatulia na kama umeshawahi kusimamia uchaguzi,unadhani ni wapi Nape ameongea uongo?Nini ambacho si kweli katika yote aliyoyaongea?Unadhani yeye ni mwehu?
 
Nape akili ndogo, Bado anajiona katibu wa itikadi na uenezi wa ccm.
 
Mimi ni mwanachama wa chama cha Mapinduzi CCM kindakindaki lakini ninaamini katika demokrasia, uchaguzi huru na wa haki katika kuijenga nchi na umoja wa kitaifa. Nimesikitishwa na kauli ya Waziri Nape kuwa matokeo yana tegemea anayehesabu na kutangaza matokeo ya kupiga kura na uchaguzi na siyo sanduku la kura.

Kauli kama hii inapingana na falsafa ya CCM ya 4R inalenga kurejesha Umoja uliomomonyoka kipindi cha awamu ya 5, kipindi cha JPM ambapo hata yeye amesahau kuwa ni mhanga na aliathirika na utawala huo,alipaswa aongoze kutetea haki,demokrasia na utawala bora.

Matokeo ya Uchaguzi 2019/2020 yalikosa uthamani na maana kiasi ya kuwa na Bunge lenye Taswira ya chama kimoja na bado upinzani tumesaidia kuungozea nguvu nje ya Bunge hatukuweza kuuzika tujifunze, Kauli ya Nape kisiasa ina maanisha kuwa CCM haina uhalali wa kutawala, kisheria ilivunja katiba na haizingatii maadili ya uchaguzi.

Si kweli, kauli kama hizi ni za dharau na huchochea machafuko. Nape amezoea kuropoka asome mazingira ya kisiasa kwa sasa. Akiwa kama kijana mwanasiasa anayetarajiwa kwa baadaye ajifunze kuzungumza kwa busara na hekima bila kukichafua chama. Makamu Mwenyekiti wa CCM ametumia muda mwingi sana kuwasihi vyama vya upinzani na wananchi kuwa safari hii hayatatokea madhaifu kama ya 2019/2020. Na kuwataka warudishe imani kwa chama cha CCM.

Pia Rais akaja na 4R ambazo alizitetea mbele ya mabarozi nchi za nje kuwahakikishia wawakilishi hao kuwa uchaguzi utakuwa wa huru na haki. Tusikubali ccm kuingia kwenye mtego huo. Tumesikia akina Msigwa nao wakilalamikia michezo michafu upande wa pili. Sisi ni chama kiongozi tuongoze kwa mifano bora. kujenga imani ya wananchi ni kazi kubwa kuliko kuibomoa. Kwa sasa wananchi wengi wanaweza kuacha kujiandikisha wakiamini matokeo ya uchaguzi tayari yameishapangwa kama yale ya 2020.

Dr Kitima alisema tutasambaratisha nchi kwa hali hii. Tusimkwaze mama yetu ambaye amejidhihiri ni mcha Mungu wa kweli na mwana demokrasia wa kweli duniani.

Pia soma==>> Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
Tutamshukuru Nape daima kwa kutufumbua macho kila wakati hasa kuhusu uchaguzi:
  • Bao la mkono 2015
  • Halali/nusu halali/Haramu 2024/25

4Rs za bi kizmkazi ni ulaghai wa kiwango cha lami
 
Mimi ni mwanachama wa chama cha Mapinduzi CCM kindakindaki lakini ninaamini katika demokrasia, uchaguzi huru na wa haki katika kuijenga nchi na umoja wa kitaifa. Nimesikitishwa na kauli ya Waziri Nape kuwa matokeo yana tegemea anayehesabu na kutangaza matokeo ya kupiga kura na uchaguzi na siyo sanduku la kura.

Kauli kama hii inapingana na falsafa ya CCM ya 4R inalenga kurejesha Umoja uliomomonyoka kipindi cha awamu ya 5, kipindi cha JPM ambapo hata yeye amesahau kuwa ni mhanga na aliathirika na utawala huo,alipaswa aongoze kutetea haki,demokrasia na utawala bora.

Matokeo ya Uchaguzi 2019/2020 yalikosa uthamani na maana kiasi ya kuwa na Bunge lenye Taswira ya chama kimoja na bado upinzani tumesaidia kuungozea nguvu nje ya Bunge hatukuweza kuuzika tujifunze, Kauli ya Nape kisiasa ina maanisha kuwa CCM haina uhalali wa kutawala, kisheria ilivunja katiba na haizingatii maadili ya uchaguzi.

Si kweli, kauli kama hizi ni za dharau na huchochea machafuko. Nape amezoea kuropoka asome mazingira ya kisiasa kwa sasa. Akiwa kama kijana mwanasiasa anayetarajiwa kwa baadaye ajifunze kuzungumza kwa busara na hekima bila kukichafua chama. Makamu Mwenyekiti wa CCM ametumia muda mwingi sana kuwasihi vyama vya upinzani na wananchi kuwa safari hii hayatatokea madhaifu kama ya 2019/2020. Na kuwataka warudishe imani kwa chama cha CCM.

Pia Rais akaja na 4R ambazo alizitetea mbele ya mabarozi nchi za nje kuwahakikishia wawakilishi hao kuwa uchaguzi utakuwa wa huru na haki. Tusikubali ccm kuingia kwenye mtego huo. Tumesikia akina Msigwa nao wakilalamikia michezo michafu upande wa pili. Sisi ni chama kiongozi tuongoze kwa mifano bora. kujenga imani ya wananchi ni kazi kubwa kuliko kuibomoa. Kwa sasa wananchi wengi wanaweza kuacha kujiandikisha wakiamini matokeo ya uchaguzi tayari yameishapangwa kama yale ya 2020.

Dr Kitima alisema tutasambaratisha nchi kwa hali hii. Tusimkwaze mama yetu ambaye amejidhihiri ni mcha Mungu wa kweli na mwana demokrasia wa kweli duniani.

Pia soma==>> Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
He meant what he said !
Hakuna utani hapo 😳🙌
 
kama kasema ukweli tufanye nini sasa! tumpeleke mahakamani,Tumpeleke kwenye Tume ya Maadili, Tufanye nini,toa suluhu!
 
kama kasema ukweli tufanye nini sasa! tumpeleke mahakamani,Tumpeleke kwenye Tume ya Maadili, Tufanye nini,toa suluhu!
Kwani tumpeleke Mahakama ipi ??!
Au tumpeleke tume ipi ya maadili ??!
Au tufanye nini sasa ???!
😳😳🙄🙄😱🤦🏽‍♂️

Mimi Naona labda tuwaulize watu wanaoamini Mungu 😳
Je mtu kusema kweli ni kosa ??!
😂😂😂
 
Back
Top Bottom