Kauli ya Nape imenisononesha hata kama ni utani

Kauli ya Nape imenisononesha hata kama ni utani

Mimi ni mwanachama wa chama cha Mapinduzi CCM kindakindaki lakini ninaamini katika demokrasia, uchaguzi huru na wa haki katika kuijenga nchi na umoja wa kitaifa. Nimesikitishwa na kauli ya Waziri Nape kuwa matokeo yana tegemea anayehesabu na kutangaza matokeo ya kupiga kura na uchaguzi na siyo sanduku la kura.

Kauli kama hii inapingana na falsafa ya CCM ya 4R inalenga kurejesha Umoja uliomomonyoka kipindi cha awamu ya 5, kipindi cha JPM ambapo hata yeye amesahau kuwa ni mhanga na aliathirika na utawala huo,alipaswa aongoze kutetea haki,demokrasia na utawala bora.

Matokeo ya Uchaguzi 2019/2020 yalikosa uthamani na maana kiasi ya kuwa na Bunge lenye Taswira ya chama kimoja na bado upinzani tumesaidia kuungozea nguvu nje ya Bunge hatukuweza kuuzika tujifunze, Kauli ya Nape kisiasa ina maanisha kuwa CCM haina uhalali wa kutawala, kisheria ilivunja katiba na haizingatii maadili ya uchaguzi.

Si kweli, kauli kama hizi ni za dharau na huchochea machafuko. Nape amezoea kuropoka asome mazingira ya kisiasa kwa sasa. Akiwa kama kijana mwanasiasa anayetarajiwa kwa baadaye ajifunze kuzungumza kwa busara na hekima bila kukichafua chama. Makamu Mwenyekiti wa CCM ametumia muda mwingi sana kuwasihi vyama vya upinzani na wananchi kuwa safari hii hayatatokea madhaifu kama ya 2019/2020. Na kuwataka warudishe imani kwa chama cha CCM.

Pia Rais akaja na 4R ambazo alizitetea mbele ya mabarozi nchi za nje kuwahakikishia wawakilishi hao kuwa uchaguzi utakuwa wa huru na haki. Tusikubali ccm kuingia kwenye mtego huo. Tumesikia akina Msigwa nao wakilalamikia michezo michafu upande wa pili. Sisi ni chama kiongozi tuongoze kwa mifano bora. kujenga imani ya wananchi ni kazi kubwa kuliko kuibomoa. Kwa sasa wananchi wengi wanaweza kuacha kujiandikisha wakiamini matokeo ya uchaguzi tayari yameishapangwa kama yale ya 2020.

Dr Kitima alisema tutasambaratisha nchi kwa hali hii. Tusimkwaze mama yetu ambaye amejidhihiri ni mcha Mungu wa kweli na mwana demokrasia wa kweli duniani.

Pia soma==>> Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
Tatizo la watz hawapendi kuambiwa ukweli,Nape ameongea kinachofanyika miaka yote
 
Mimi ni mwanachama wa chama cha Mapinduzi CCM kindakindaki lakini ninaamini katika demokrasia, uchaguzi huru na wa haki katika kuijenga nchi na umoja wa kitaifa. Nimesikitishwa na kauli ya Waziri Nape kuwa matokeo yana tegemea anayehesabu na kutangaza matokeo ya kupiga kura na uchaguzi na siyo sanduku la kura.

Kauli kama hii inapingana na falsafa ya CCM ya 4R inalenga kurejesha Umoja uliomomonyoka kipindi cha awamu ya 5, kipindi cha JPM ambapo hata yeye amesahau kuwa ni mhanga na aliathirika na utawala huo,alipaswa aongoze kutetea haki,demokrasia na utawala bora.

Matokeo ya Uchaguzi 2019/2020 yalikosa uthamani na maana kiasi ya kuwa na Bunge lenye Taswira ya chama kimoja na bado upinzani tumesaidia kuungozea nguvu nje ya Bunge hatukuweza kuuzika tujifunze, Kauli ya Nape kisiasa ina maanisha kuwa CCM haina uhalali wa kutawala, kisheria ilivunja katiba na haizingatii maadili ya uchaguzi.

Si kweli, kauli kama hizi ni za dharau na huchochea machafuko. Nape amezoea kuropoka asome mazingira ya kisiasa kwa sasa. Akiwa kama kijana mwanasiasa anayetarajiwa kwa baadaye ajifunze kuzungumza kwa busara na hekima bila kukichafua chama. Makamu Mwenyekiti wa CCM ametumia muda mwingi sana kuwasihi vyama vya upinzani na wananchi kuwa safari hii hayatatokea madhaifu kama ya 2019/2020. Na kuwataka warudishe imani kwa chama cha CCM.

Pia Rais akaja na 4R ambazo alizitetea mbele ya mabarozi nchi za nje kuwahakikishia wawakilishi hao kuwa uchaguzi utakuwa wa huru na haki. Tusikubali ccm kuingia kwenye mtego huo. Tumesikia akina Msigwa nao wakilalamikia michezo michafu upande wa pili. Sisi ni chama kiongozi tuongoze kwa mifano bora. kujenga imani ya wananchi ni kazi kubwa kuliko kuibomoa. Kwa sasa wananchi wengi wanaweza kuacha kujiandikisha wakiamini matokeo ya uchaguzi tayari yameishapangwa kama yale ya 2020.

Dr Kitima alisema tutasambaratisha nchi kwa hali hii. Tusimkwaze mama yetu ambaye amejidhihiri ni mcha Mungu wa kweli na mwana demokrasia wa kweli duniani.

Pia soma==>> Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
Ufisadi kwa serikali ya ccm hautaisha hadi wauze kila kitu.

Kwani wana nyenzo muhimu za kuwabakisha madarakani na hata waboronge vipi hamna cha kuwafanya.
 
Kauli kama hii inapingana na falsafa ya CCM ya 4R inalenga kurejesha Umoja uliomomonyoka kipindi cha awamu ya 5, kipindi cha JPM ambapo hata yeye amesahau kuwa ni mhanga na aliathirika na utawala huo,alipaswa aongoze kutetea haki,demokrasia na utawala bora.
Pole Pole alishasema "Uchaguzi ukiwa Huru na Haki basi CCM wajiandae kupisha Ikulu" ni Hamphrey Pole Pole sio MIMI sio Nape Nnauye narudia "Uchaguzi ukiwa Huru na Haki basi CCM wajiandae kupisha Ikulu" alisema Pole Pole enzi hizo kwa hio Nape Nnauye alichofanya ni kuteleza ulimi Ila amesema ukweli kwamba bila kuchezesha matokeo na kumlipa refarii (Msimamizi wa Matokeo) CCM haiingii Ikulu

Sijui unamuelewa Nape Nnauye ? Yaan alimaanisha bila kuchezesha matokeo kwenye 1 weka 10 kwenye 10 weka 100 na kuja na matokea ya mfukoni CCM Ikulu itaisikia kwenye bomba
 
Haya maneno ya NAPE yapigwe screenshot au yawe copied yatunzwe, ya Kikwete akiwaonya ccm kwenye mkutano mkuu kutotegemea polisi, maneno ya Magufuli kuwa nikuteue mimi, nyumba nikupe na gari halafu umtangaze mpinzani, ya Samiah kuwa hata msipoipigia ccm itaunda serikali na ya Mkapa kwenye kitabu chake kuhusu wizi kwenye chaguzi,maneno ya Bashiru kubaki madarakani kwa kutegemea vyombo vya dola,na Mwenezi Polepole,Abdulhaman akikiri uchaguzi kuharibiwa 2019/2020 nk halafu yatunzwe ikibidi kitungwe kitabu kitachoelezea hali ya chaguzi zetu TZ na kunukuu yote hayo itakuwa ni ushahidi na vielelezo tosha kwa baadaye. Aidha,kama ni kweli kuna wizi kwenye chaguzi,Je hali hii mpaka lini? kwa muskabali wa nchi yetu.
 
Haya maneno ya NAPE yapigwe screenshot au yawe copied yatunzwe, ya Kikwete akiwaonya ccm kwenye mkutano mkuu kutotegemea polisi, maneno ya Magufuli kuwa nikuteue mimi, nyumba nikupe na gari halafu umtangaze mpinzani, ya Samiah kuwa hata msipoipigia ccm itaunda serikali na ya Mkapa kwenye kitabu chake nk halafu yatunzwe ikibidi kitungwe kitabu kitachoelezea hali ya chaguzi zetu TZ na kunukuu yote hayo kwa lolote baadaye.
Baadae ipi Mzee kwa hiki kizazi au kizazi kijacho?
 
Hakuna cha 4R hapo! Hiyo haiwezi kuifanya CCM isiibe kura.
 
Mimi ni mwanachama wa chama cha Mapinduzi CCM kindakindaki lakini ninaamini katika demokrasia, uchaguzi huru na wa haki katika kuijenga nchi na umoja wa kitaifa. Nimesikitishwa na kauli ya Waziri Nape kuwa matokeo yana tegemea anayehesabu na kutangaza matokeo ya kupiga kura na uchaguzi na siyo sanduku la kura.

Kauli kama hii inapingana na falsafa ya CCM ya 4R inalenga kurejesha Umoja uliomomonyoka kipindi cha awamu ya 5, kipindi cha JPM ambapo hata yeye amesahau kuwa ni mhanga na aliathirika na utawala huo,alipaswa aongoze kutetea haki,demokrasia na utawala bora.

Matokeo ya Uchaguzi 2019/2020 yalikosa uthamani na maana kiasi ya kuwa na Bunge lenye Taswira ya chama kimoja na bado upinzani tumesaidia kuungozea nguvu nje ya Bunge hatukuweza kuuzika tujifunze, Kauli ya Nape kisiasa ina maanisha kuwa CCM haina uhalali wa kutawala, kisheria ilivunja katiba na haizingatii maadili ya uchaguzi.

Si kweli, kauli kama hizi ni za dharau na huchochea machafuko. Nape amezoea kuropoka asome mazingira ya kisiasa kwa sasa. Akiwa kama kijana mwanasiasa anayetarajiwa kwa baadaye ajifunze kuzungumza kwa busara na hekima bila kukichafua chama. Makamu Mwenyekiti wa CCM ametumia muda mwingi sana kuwasihi vyama vya upinzani na wananchi kuwa safari hii hayatatokea madhaifu kama ya 2019/2020. Na kuwataka warudishe imani kwa chama cha CCM.

Pia Rais akaja na 4R ambazo alizitetea mbele ya mabarozi nchi za nje kuwahakikishia wawakilishi hao kuwa uchaguzi utakuwa wa huru na haki. Tusikubali ccm kuingia kwenye mtego huo. Tumesikia akina Msigwa nao wakilalamikia michezo michafu upande wa pili. Sisi ni chama kiongozi tuongoze kwa mifano bora. kujenga imani ya wananchi ni kazi kubwa kuliko kuibomoa. Kwa sasa wananchi wengi wanaweza kuacha kujiandikisha wakiamini matokeo ya uchaguzi tayari yameishapangwa kama yale ya 2020.

Dr Kitima alisema tutasambaratisha nchi kwa hali hii. Tusimkwaze mama yetu ambaye amejidhihiri ni mcha Mungu wa kweli na mwana demokrasia wa kweli duniani.

Pia soma==>> Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
Kosa la Nape ni kusema ukweli tu
 
Nani kasema ukweli kati ya Makalla na Nape
 
Mimi ni mwanachama wa chama cha Mapinduzi CCM kindakindaki lakini ninaamini katika demokrasia, uchaguzi huru na wa haki katika kuijenga nchi na umoja wa kitaifa. Nimesikitishwa na kauli ya Waziri Nape kuwa matokeo yana tegemea anayehesabu na kutangaza matokeo ya kupiga kura na uchaguzi na siyo sanduku la kura.

Kauli kama hii inapingana na falsafa ya CCM ya 4R inalenga kurejesha Umoja uliomomonyoka kipindi cha awamu ya 5, kipindi cha JPM ambapo hata yeye amesahau kuwa ni mhanga na aliathirika na utawala huo,alipaswa aongoze kutetea haki,demokrasia na utawala bora.

Matokeo ya Uchaguzi 2019/2020 yalikosa uthamani na maana kiasi ya kuwa na Bunge lenye Taswira ya chama kimoja na bado upinzani tumesaidia kuungozea nguvu nje ya Bunge hatukuweza kuuzika tujifunze, Kauli ya Nape kisiasa ina maanisha kuwa CCM haina uhalali wa kutawala, kisheria ilivunja katiba na haizingatii maadili ya uchaguzi.

Si kweli, kauli kama hizi ni za dharau na huchochea machafuko. Nape amezoea kuropoka asome mazingira ya kisiasa kwa sasa. Akiwa kama kijana mwanasiasa anayetarajiwa kwa baadaye ajifunze kuzungumza kwa busara na hekima bila kukichafua chama. Makamu Mwenyekiti wa CCM ametumia muda mwingi sana kuwasihi vyama vya upinzani na wananchi kuwa safari hii hayatatokea madhaifu kama ya 2019/2020. Na kuwataka warudishe imani kwa chama cha CCM.

Pia Rais akaja na 4R ambazo alizitetea mbele ya mabarozi nchi za nje kuwahakikishia wawakilishi hao kuwa uchaguzi utakuwa wa huru na haki. Tusikubali ccm kuingia kwenye mtego huo. Tumesikia akina Msigwa nao wakilalamikia michezo michafu upande wa pili. Sisi ni chama kiongozi tuongoze kwa mifano bora. kujenga imani ya wananchi ni kazi kubwa kuliko kuibomoa. Kwa sasa wananchi wengi wanaweza kuacha kujiandikisha wakiamini matokeo ya uchaguzi tayari yameishapangwa kama yale ya 2020.

Dr Kitima alisema tutasambaratisha nchi kwa hali hii. Tusimkwaze mama yetu ambaye amejidhihiri ni mcha Mungu wa kweli na mwana demokrasia wa kweli duniani.

Pia soma==>> Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
Daah sas yanini kwenda kupiga kuraa lnachosa... Sema hii nchi ngumu maana naona kama upinzani wako kimya na ndo mda wa kuchukua point
 
Mimi ni mwanachama wa chama cha Mapinduzi CCM kindakindaki lakini ninaamini katika demokrasia, uchaguzi huru na wa haki katika kuijenga nchi na umoja wa kitaifa. Nimesikitishwa na kauli ya Waziri Nape kuwa matokeo yana tegemea anayehesabu na kutangaza matokeo ya kupiga kura na uchaguzi na siyo sanduku la kura.

Kauli kama hii inapingana na falsafa ya CCM ya 4R inalenga kurejesha Umoja uliomomonyoka kipindi cha awamu ya 5, kipindi cha JPM ambapo hata yeye amesahau kuwa ni mhanga na aliathirika na utawala huo,alipaswa aongoze kutetea haki,demokrasia na utawala bora.

Matokeo ya Uchaguzi 2019/2020 yalikosa uthamani na maana kiasi ya kuwa na Bunge lenye Taswira ya chama kimoja na bado upinzani tumesaidia kuungozea nguvu nje ya Bunge hatukuweza kuuzika tujifunze, Kauli ya Nape kisiasa ina maanisha kuwa CCM haina uhalali wa kutawala, kisheria ilivunja katiba na haizingatii maadili ya uchaguzi.

Si kweli, kauli kama hizi ni za dharau na huchochea machafuko. Nape amezoea kuropoka asome mazingira ya kisiasa kwa sasa. Akiwa kama kijana mwanasiasa anayetarajiwa kwa baadaye ajifunze kuzungumza kwa busara na hekima bila kukichafua chama. Makamu Mwenyekiti wa CCM ametumia muda mwingi sana kuwasihi vyama vya upinzani na wananchi kuwa safari hii hayatatokea madhaifu kama ya 2019/2020. Na kuwataka warudishe imani kwa chama cha CCM.

Pia Rais akaja na 4R ambazo alizitetea mbele ya mabarozi nchi za nje kuwahakikishia wawakilishi hao kuwa uchaguzi utakuwa wa huru na haki. Tusikubali ccm kuingia kwenye mtego huo. Tumesikia akina Msigwa nao wakilalamikia michezo michafu upande wa pili. Sisi ni chama kiongozi tuongoze kwa mifano bora. kujenga imani ya wananchi ni kazi kubwa kuliko kuibomoa. Kwa sasa wananchi wengi wanaweza kuacha kujiandikisha wakiamini matokeo ya uchaguzi tayari yameishapangwa kama yale ya 2020.

Dr Kitima alisema tutasambaratisha nchi kwa hali hii. Tusimkwaze mama yetu ambaye amejidhihiri ni mcha Mungu wa kweli na mwana demokrasia wa kweli duniani.

Pia soma==>> Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani

Nape kasema ukweli, hakuna mcha Mungu mwizi wa kura. Kama angekuwa mcha Mungu kweli angeruhusu tume huru ya uchaguzi. Unasema kutakuwa na uchaguzi wa haki, ila tume ya uchaguzi inabaki vile vile?!
 
Back
Top Bottom